KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Nimefurahishwa na mwamkoa wa wananchi katika kujitokeza kutumia aki yao ya msingi nikiwa miongoni mwao.nimefurahishwa na jinsi vijana wanavyoamasisha wenzao kwenda kupiga kura.
Nimetembelea zaidi ya vituo viwili achilia kituo changu hali ni shwari kila mtu yupo makini na kazi yake.
Big up tume vijana wapo shap nimetumia chini ya dakika tano kuakiki jina na kupiga kura.
Magari ya polisi yanarandaranda mitaani .
Stay tune...
Nimetembelea zaidi ya vituo viwili achilia kituo changu hali ni shwari kila mtu yupo makini na kazi yake.
Big up tume vijana wapo shap nimetumia chini ya dakika tano kuakiki jina na kupiga kura.
Magari ya polisi yanarandaranda mitaani .
Stay tune...