Kodi zetu zinatumika ovyo ovyo tu, asante waziri Magufuli kwa kuliona hili. Sisi wananchi tunakuombea kwa Mungu akulinde dhidi ya waovu hao.
Hiyo ni kawaida sana kwa haya magari ya serikali kuwa na plate namba zaidi ya moja! Uhalifu tu na matumizi mabaya ya rasilimali za umma!
Mkuu hata ukipiga kelele unaambiwa wewe utakuwa ni Chadema tu na una wivu wa kike dhidi ya magamba,tuliempa mamlaka na wa kutusikiliza malalamiko yetu ndie huyo huyo nae analia lia kuhusu suala la rushwa...tunahitaji ukombozi soon.Hata huyo asijisumbue. Utakuta ujambazi huo unafanywa na wenye madaraka ndiyo maana huyo jamaa asipate taabu. Yaana Tanzania imefikia hapo? Kwanini wananchi wamejirahisisha na kukubali kuwa mashahidi wa maangamizi yao kama kwamba wao ni mataahira?
picha ya kitambo sana jf. lakini ni vizuri kujikumbusha mambo muhimu kama haya. mia[/QUOTE=
loo nimekubamba humu uje kule unakesi yako nasubirije majibu kwa hamu
hapa napaheshimu naogopa kuchakachua thread
back to topic hiyo kiboko two in one!!!!
Kitendo cha mkuu wa kaya kulia kuhusu suala la rushwa pasipo kuchukua hatua yeyote ni sawa na baba kushindwa kusimamia familia yake na kukimbia!!Hii dhana ya kuwa jamaa ni dhaifu mwanzoni nilikuwa naona kama joke vile, but rightnow naiunga mkono kwa zaidi ya asilimia 100 huyu mtu hatufai kabisa!!ukishika nyazifa kubwa kama iyo ujue watu wana imani sana na wewe,ni lazima uwe na maamuzi magumu kwa faida ya umma ulio nyuma yako!!Mkuu hata ukipiga kelele unaambiwa wewe utakuwa ni Chadema tu na una wivu wa kike dhidi ya magamba,tuliempa mamlaka na wa kutusikiliza malalamiko yetu ndie huyo huyo nae analia lia kuhusu suala la rushwa...tunahitaji ukombozi soon.
Naunga mkono hoja 100 kwa 100....:A S-cry:!!!Aaaaaaghh!!Kitendo cha mkuu wa kaya kulia kuhusu suala la rushwa pasipo kuchukua hatua yeyote ni sawa na baba kushindwa kusimamia familia yake na kukimbia!!Hii dhana ya kuwa jamaa ni dhaifu mwanzoni nilikuwa naona kama joke vile, but rightnow naiunga mkono kwa zaidi ya asilimia 100 huyu mtu hatufai kabisa!!ukishika nyazifa kubwa kama iyo ujue watu wana imani sana na wewe,ni lazima uwe na maamuzi magumu kwa faida ya umma ulio nyuma yako!!
Aliyosema magufuli ndo haya