Kushinda mechi hii tulimuhitaji Mahera awe referee wa kati na Sirro awe getini kulinda ubao wa matangazo wenye ushindi feki.Labda kama CAF wataruhusu NEC na Geshi la polisi wawe sehemu ya waamuzi vinginevyo kamwe sisi hatuwezi shinda jambo lolote lenye mazingira ya haki na usawa tumeshazoe utapeli na ulaghai kwa kila jambo lenye ushindani.Leo tusipokula 3-0 basi Mungu Mkubwa...
Aliifikisha Simba wapi.Kapombe anacheza nafasi nyingi
Kipindi kocha wa simba ni le chantre mbona kapombe ndio alikuwa akicheza juu ya mkude na Jkotei?
Mechi ya simba na Al masri zote mbili halafu utaniambia alikosea wapi
Hata kama ni mbovu lakini lazima tutafute solution ya matatizo yetuAliifikisha Simba wapi.
Acha kuleta ubishi hapa. Tanzania ni timu mbovu. Wachezaji wabovu. Full stop.
Mbadala ni timu ivunjwe hela zikasaidie wasiojiweza.Hata kama ni mbovu lakini lazima tutafute solution ya matatizo yetu
Na Tatizo kubwa ni hilo la attacking mildfider ambapo ni lazima tutafute mbadala
Siasa zinatuharibia vijana wetu, kila kitu lazima agusie siasa kwanza.Kushinda mechi hii tulimuhitaji Mahera awe referee wa kati na Sirro awe getini kulinda ubao wa matangazo wenye ushindi feki.
Timu yetu inatakiwa kuwfanyiwa TOTAL Over allKaribuni wazalendo tumnyooshe Tunisia nyumban kwake
Mechi ni ya kufuzu Afcon ikiwa ni mechi ya 3,Tanzania alishinda mechi zake 1 na kupoteza 1
Tunisia yeye alishinda mechi zote mbili
kikosi cha Tanzania
manula
Kapombe
m husein
Mwamnyeto
mao
Mkude
sureboy
Msuva
bocco
Farid
Ombi:Mwenye link ya online YouTube a shere
Halafu huyo mchezaji dizaini ya Chama / Niyonzima tunae. Kuna muda kocha inabidi amuite Ajib, kwenye club hapati namba si kwa sababu hana ubora ila ni kwa sababu kuna wachezaji kama yeye wengi. Ila katika timu ya taifa hakuna mchezaji wa aina yakeMtu aliefeli ni sureboy kwa kuwa hakupiga pass yeyote kwa washambuliaji watatu.
Vilevile fei Toto nae ni holding kama wenzake tungepata kiungo kama chama au nionzima tungewaua
Nadhani kocha angefanya hivi
Nafasi ya sureboy acheze Farid halafu pembeni acheze Nado /Dilunga
Au nafasi ya sureboy acheze Shomary kapombe na nafasi ya kapombe izibwe na mtu mwingine
Options ya mwisho ni kumjumuisha kikosini Haruna chanongo ndio anaecheza hilo eneo natural au yule Dilunga wa Ruvu shooting
Dah,umenikumbusha kweli yupo Ajibu na pia Mo Ibrahim kabla hajawa mleviHalafu huyo mchezaji dizaini ya Chama / Niyonzima tunae. Kuna muda kocha inabidi amuite Ajib, kwenye club hapati namba si kwa sababu hana ubora ila ni kwa sababu kuna wachezaji kama yeye wengi. Ila katika timu ya taifa hakuna mchezaji wa aina yake
TFF 1-0TFFNgapi huko?
Simba hatuna kocha ,Leo Nyoni kaonyesha kocha wa simba anabahatisha
Yani bado mnawaza hao wakina Ajib hahahahaDah,umenikumbusha kweli yupo Ajibu na pia Mo Ibrahim kabla hajawa mlevi
Ila Ajib siku za karibuni an a improve sana
Mambo ya Nyoni.....umepuyanga hujaeleweka nn unataka.We ni m'bishi usie na aibu.. hii ni timu ya taifa futa mawazo ya club.. kisha tuendelee..! mkude na nyoni nani kapiga pasi nyingi na kwanini? na amepora mpira mara ngapi?
sure boy amepeleka mipira mingapi mbele?
himid mao ametimiza malengo yake kwa washambuliaji..
hawa wote nature yao ni holding mildfilder. bado mechi ilikua haimuitaji fei?
πππππΎKushinda mechi hii tulimuhitaji Mahera awe referee wa kati na Sirro awe getini kulinda ubao wa matangazo wenye ushindi feki.
Le chante alikuwa bonge la kocha ila alishindwana na simba kwenye mshahara aliweza kumsogeza Kapombe kuwa kiungo mkabaji lakini kocha wa sasa kakariri mkude , Mzamiru na DilungaHata kama ni mbovu lakini lazima tutafute solution ya matatizo yetu
Na Tatizo kubwa ni hilo la attacking mildfider ambapo ni lazima tutafute mbadala
Hahahaaa we jamaa.. kiungo gani alikua anakaba ile mechi?Mambo ya Nyoni.....umepuyanga hujaeleweka nn unataka.
Unacheza dhidi ya Tunisia, bado unataka uweke mchezaji anayepiga back pass na square pass nyingi kuliko za kwenda mbele ( Fei).
Mechi ilituhitaji sisi kukaba zaidi ( Kubali kataa hatupo level moja na Tunisia lazima tuwaheshimu).
Kwa viungo walioanza fei anamzidi nani ukabaji?
Mkuu unauliza nani alikuwa ana kaba ina maana hukuona?Hahahaaa we jamaa.. kiungo gani alikua anakaba ile mechi?
himid mao?
sureboy?
mkude?
nini kilimfanya mwamnyeto na nyoni wawe wanakabia mpira katikati wanapeleka mbele?
uliangalia mechi yetu na burundi afu unanambia fei hajui kukaba..?
Tatizo sio kukaba tatizo ni pale kiungo unakaba lakini pasi zako unapoteza.. mkude anahitaji kiungo anae kaba sana bila hivyo hamna kitu.. kwa kikosi kile ilikua lazima tufungwe.. ukiachana na feitoto sio lazima hawa wanaocheza nje, au klabu kubwa za simba na yanga wawe wanaanza.. mi naona kocha alianza kupuyanga kwenye kikosi.. mwisho akamalizia kwenye formation.Mkuu unauliza nani alikuwa ana kaba ina maana hukuona?
Asa fei anamzidi nani kukaba kati ya hao?
Unaongea yote unasahau unayecheza naye ana uwezo gani..Tatizo sio kukaba tatizo ni pale kiungo unakaba lakini pasi zako unapoteza.. mkude anahitaji kiungo anae kaba sana bila hivyo hamna kitu.. kwa kikosi kile ilikua lazima tufungwe.. ukiachana na feitoto sio lazima hawa wanaocheza nje, au klabu kubwa za simba na yanga wawe wanaanza.. mi naona kocha alianza kupuyanga kwenye kikosi.. mwisho akamalizia kwenye formation.