Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Jan 31, 2015 #101 grafani11 said: Furaha ya yanga ni mpaka Simba ifungwe na timu nyingine. Lakini mkikutana na Simba lazima mchapane bakora wenyewe kwa wenyewe. Click to expand... Hamjiamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu.
grafani11 said: Furaha ya yanga ni mpaka Simba ifungwe na timu nyingine. Lakini mkikutana na Simba lazima mchapane bakora wenyewe kwa wenyewe. Click to expand... Hamjiamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu.
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Jan 31, 2015 #102 NAMKONG'O said: polis morogoro 1, mbeya city 0 Click to expand... Haya matokeo si mazuri kwangu hata kidogo.
NAMKONG'O said: polis morogoro 1, mbeya city 0 Click to expand... Haya matokeo si mazuri kwangu hata kidogo.
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Jan 31, 2015 #103 Bantu lady said: Hamjihamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu. Click to expand... Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa.
Bantu lady said: Hamjihamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu. Click to expand... Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa.
Jospina JF-Expert Member Joined Apr 19, 2013 Posts 2,421 Reaction score 1,395 Jan 31, 2015 #104 Polisi morogoro 1 mbeya city 0 mfungaji: Said bahanuz
L lokomu JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 4,916 Reaction score 3,509 Jan 31, 2015 #105 kila lakher msimbaz
Crashwise JF-Expert Member Joined Oct 23, 2007 Posts 22,227 Reaction score 8,760 Jan 31, 2015 #106 NGANU said: Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa. Click to expand... tunachungulia Kwa mbali...
NGANU said: Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa. Click to expand... tunachungulia Kwa mbali...
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Jan 31, 2015 #107 Bantu lady said: Hamjihamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu. Click to expand... Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi.
Bantu lady said: Hamjihamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu. Click to expand... Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi.
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Jan 31, 2015 #108 Crashwise said: tunachungulia Kwa mbali... Click to expand... Kwani hamjiamini mkuu mpaka mchungulie kwa mbaliiiiiiiiiii!!!!!!!!.
Crashwise said: tunachungulia Kwa mbali... Click to expand... Kwani hamjiamini mkuu mpaka mchungulie kwa mbaliiiiiiiiiii!!!!!!!!.
namanyele JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 1,852 Reaction score 611 Jan 31, 2015 #109 Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ?
Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ?
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Jan 31, 2015 #110 NGANU said: Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa. Click to expand... Tungewasusia mechi yao leo. Maana matokeo yakienda hivi mpaka mwisho, huwezi amini watakesha hapa.
NGANU said: Matokeo yakibaki hivi baadaye watafulika ajabu wakati muda huu wamesusa. Click to expand... Tungewasusia mechi yao leo. Maana matokeo yakienda hivi mpaka mwisho, huwezi amini watakesha hapa.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Jan 31, 2015 #111 namanyele said: Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ? Click to expand... Masuke yupo na simba anaongoza 2-1 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
namanyele said: Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ? Click to expand... Masuke yupo na simba anaongoza 2-1
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Jan 31, 2015 #112 Masuke said: Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi. Click to expand... Ulisusa mkuu kulikoni, leo naona mtalala vizuri
Masuke said: Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi. Click to expand... Ulisusa mkuu kulikoni, leo naona mtalala vizuri
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Jan 31, 2015 #113 NGANU said: Kwani hamjiamini mkuu mpaka mchungulie kwa mbaliiiiiiiiiii!!!!!!!!. Click to expand... Hapa sio suala la kujiamini au kutokujiamini ni maamuzi tu. Lakini tupo kwenye huu uzi tunaangalia wenye JKT Ruvu yenu na kocha wenu Minziro jinsi mnavyofurahi.
NGANU said: Kwani hamjiamini mkuu mpaka mchungulie kwa mbaliiiiiiiiiii!!!!!!!!. Click to expand... Hapa sio suala la kujiamini au kutokujiamini ni maamuzi tu. Lakini tupo kwenye huu uzi tunaangalia wenye JKT Ruvu yenu na kocha wenu Minziro jinsi mnavyofurahi.
shabhibhii nafwa JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 300 Reaction score 148 Jan 31, 2015 #114 Revocatus Kashaga said: Polisi morogoro 1 mbeya city 0 mfungaji: Said bahanuz Click to expand... dkk ya ngapi mkuu
Revocatus Kashaga said: Polisi morogoro 1 mbeya city 0 mfungaji: Said bahanuz Click to expand... dkk ya ngapi mkuu
yahoo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 3,526 Reaction score 1,410 Jan 31, 2015 #115 Simba 2 jkt 2
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Jan 31, 2015 #116 namanyele said: Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ? Click to expand... Nipo Mkuu, bado tuko mbele kwa goli mbili dhidi ya moja.
namanyele said: Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ? Click to expand... Nipo Mkuu, bado tuko mbele kwa goli mbili dhidi ya moja.
mkolaj JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 3,023 Reaction score 1,092 Jan 31, 2015 #117 Mikia inachungulia na kutoka, wamekosa imani na timu yao.
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Jan 31, 2015 #118 Masuke said: Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi. Click to expand... Ha ha hahaaaa sawa bana, leo mtafura sana. Siye kesho na wale inategemea ntu na ntu.
Masuke said: Tunawaangalia jinsi wenye JKT Ruvu yenu mnavyofurahi. Click to expand... Ha ha hahaaaa sawa bana, leo mtafura sana. Siye kesho na wale inategemea ntu na ntu.
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Jan 31, 2015 #119 Bantu lady said: Tungewasusia mechi yao leo. Maana matokeo yakienda hivi mpaka mwisho, huwezi amini watakesha hapa. Click to expand... Acha tuendelee kuwawakilisha sisi si waoga kama wao.
Bantu lady said: Tungewasusia mechi yao leo. Maana matokeo yakienda hivi mpaka mwisho, huwezi amini watakesha hapa. Click to expand... Acha tuendelee kuwawakilisha sisi si waoga kama wao.
L lokomu JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 4,916 Reaction score 3,509 Jan 31, 2015 #120 mkolaj said: Mikia inachungulia na kutoka, wamekosa imani na timu yao. Click to expand... ndo tunaitwa die hard fanz
mkolaj said: Mikia inachungulia na kutoka, wamekosa imani na timu yao. Click to expand... ndo tunaitwa die hard fanz