nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...
nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...
Vuvuzela hawa watu wa Boxing ni wajanja mno...
Yaani wakati Dunia inalisubiri pambano la Maywether na Man Pac, wao wanazidi kutengeneza uhasama baina ya watu hawa ili mradi tu kutengeneza tension kwa waathirika wa mchezo huu...
Na haswa ukizingatia kuwa uzito huu ndo unaokimbiza kwa sasa kushinda hata Uzito wa Juu