Ni mh. Dr Mgimwa.
Anaendelea kushusha nondo kuhusu tulikotoka,tulipo na wapi tunaelekea kama nchi katika maendeleo ya kiuchumi.ameainisha ukuaji wa uchumi,mafanikio na changamoto mbalimbali zinazoikabili Tanzania ikiwa ni pamoja na deni la Taifa.
Tuendelee kufuatilia.
Anaendelea kushusha nondo kuhusu tulikotoka,tulipo na wapi tunaelekea kama nchi katika maendeleo ya kiuchumi.ameainisha ukuaji wa uchumi,mafanikio na changamoto mbalimbali zinazoikabili Tanzania ikiwa ni pamoja na deni la Taifa.
Tuendelee kufuatilia.