LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

Ukisoma haya malumbano siku yako inakuwa boraaa kabisa, washabiki mna raha sana, kandanda linachezwa Emirate matusi Bongo. Keep it up guys
Mimi sio Gunners na japo sikutabiri kwenye jamii forums lakini nilijua gunners wanapigwa.niliona post ime kuwa edited dakika chache baada ya game nikatia mashaka na sikuona any comment reflecting the game zaidi ya results

Matusi ya nini mzee wa Milan, mpenzi wa Ronaldinho. Hauwezi kujieleza bila kuandika matusi? acha kuwa kama mshabiki wa kariakoo lindi!

Hajachamba na maumivu ya libolo juu, maaaanina!

Kakurupuka hajachamba...
Achana nae

Umekurupuka bila kuchamba ona sasa Nzi wanavyo kufuata...
nime edit ili nikuwekee ofisi zangu za unajimu na utabiri zinapopatikana.
Tazama watu walioninakili hapo awali utagundua utabiri wangu ulikuwaje...

Both,
naona we ulikua bize kutoa updates za match kama vile ulianzisha uzi wewe, Au ulizani hatuoni hiyo match mpaka ugeuke Halima Mchuka kujifanya commentator?

Sio kweli hiyo prediction ilikuwepo kwa uzi wa kwanza zaidi, me natoa comment yangu ya kwanza mchana kwenye huu uzi prediction ilikua hivyohivyo.

Kama una maumivu ya LIBOLO Munich tafuta tu mtu akukande sio kuja kutoa ushuzi hadharani!
 
2 - 0.........

Hapana sio kweli,, arsenal amefungwa 3-1 emirates, so bayern ana 3 away goals,,, arsenal akishinda 2-0 munich anakuwa na 2 away goals, so bayern anapita kwa away goals maana ana mengi kuliko arsenal..

Ili arsenal apite anapaswa kushinda goals 3-0 au zaidi.. Lakini lazima ayafute magoli 3 ya bayern aliyofungwa away kwa yeye naye kupata magoli zaidi ya matatu away
 
Poleni Arsenal,ila usilete mbwembwe kwa mamba kabla hujavuka mto..
 
Matusi ya nini mzee wa Milan, mpenzi wa Ronaldinho. Hauwezi kujieleza bila kuandika matusi? acha kuwa kama mshabiki wa kariakoo lindi!
Sasa si unapenda mwenyewe kutukanwa pale inapobidi? mimi nilichangia huu uzi jana MCHANA ukiwa na utabiri wa Gang Chomba lakini wewe ukajiona unaelewa zaidi angalia sasa, sijui bado una kiwewe cha LIBORO?
 
Last edited by a moderator:
Hebu soma makamasi yako hayo, mpira upi wa kujitahidi usiokua na mbinu za kushinda? Kwani watu wanaingia uwanjani kusaka nini? Sasa kama hawana mbinu za kushinda wanakua wanajitahidi katika nini? Kufungwa?

ilikuwaje gemu ya barca na chelski msimu ulipita tumia akili mkuu sio unaropoko na unazi maandazi panapoonekana sema sio unaumia tu walipakisha basi ila walikuwa hawana ujanja wakujaribu ndio maana wakafungwa na ukiangalia goli la kwanza kroos alipiga mbali au basi tu unaandika tu kinazinazi..
 
Gang Chomba kama uliBET jana kwenye michezo yao ile basi utakua umevuta mkwanja wa maana. Safiiii sana mkuu.
 
Gang Chomba kama uliBET jana kwenye michezo yao ile basi utakua umevuta mkwanja wa maana. Safiiii sana mkuu.

hapo bayern kajitahidi alipewa point 2.17 wakati podoski kufunga goli kwanza kapewa point 8.5.. kwa upande wa bayern hela ni ndogo sana kwan wanajua lazima washinde..
 

yaani umeandika maelezo yote haya maana yake huyo mtu anashabikia mpira siku zote alikua hajui?
 
Sasa si unapenda mwenyewe kutukanwa pale inapobidi? mimi nilichangia huu uzi jana MCHANA ukiwa na utabiri wa Gang Chomba lakini wewe ukajiona unaelewa zaidi angalia sasa, sijui bado una kiwewe cha LIBORO?

Hahaha haya bwana habari ya LIBORO waeleze wana Simba au Arsenal mimi sihusiki na AC Milan nao unaweza kuwaeleza maana leo lazima MESSI awalambishe
 

Ma bad, thanx for correction Mkuu!
 
Daah!Bora Arsenal ishuke hadi daraja la 3 watu wabaki na amani,manake jana ev.body was against us,kama mnajua siye vilaza kwanini mlijaa sana jana kujua nini kitajiri?jana angepigwa liverpool,comments zisingefika hata 20 na ukiangalia history,liver wako juu zaidi yetu.
 
Kama Sheikh Yahya,haya na leo Turati itakuwaje,angalia unaweza run away,ila huwezi runaway from yourself(unaweza kutukimbia ila hauwezi kujikimbia mwenyewe)
 
Kama Sheikh Yahya,haya na leo Turati itakuwaje,angalia unaweza run away,ila huwezi runaway from yourself(unaweza kutukimbia ila hauwezi kujikimbia mwenyewe)

Gang chomba njoo utupe utabiri wa Turati leo,,, usije ukajikimbia mwenyewe tu...

Milan has a tough test in europe than any other team this year... By Tom hicks espn football analyst (he said that soon after watching champions league draw)
 
Ma bad, thanx for correction Mkuu!
aseno akishind 4-2,5-3,6-4 anapita,haya mimi nimeamini Gang Chomba alisema mpira haudundi baharini,haya na leo Barcelona ni = na bahari au sio Chomba?
 
Hata ujae vp hauwezi kudunda Baharini...
miujiza ya mwisho ni ile ya yule mzee wa Loliondo ambaye juzi kati ameonekana anatoka pharmacy kununua mkojo wa Punda

chomba unakumbuka Intermilan alimpiga arsenal 3 bila! highbury park , je unakumbuka alikwenda kumfanya nini alipofika Stadio Giuseppe Meazza..? ni mapema sana kuwaondoa arsenal .. ngoma bado mbichi hii! though kombe ni la JUVE!

jikubushe mkuu! video hii
 
Last edited by a moderator:
Viper Ulikuwa umejificha wapi,pole sana kwa yaliyokukuta Emirates

Hiyo iliyomfunga Inter ilikuwa ni Arsenal hii ya sasa ni Arsenane kuna tofauti kubwa sana
 
Last edited by a moderator:
Viper Ulikuwa umejificha wapi,pole sana kwa yaliyokukuta Emirates

Hiyo iliyomfunga Inter ilikuwa ni Arsenal hii ya sasa ni Arsenane kuna tofauti kubwa sana


Belo umenena vyema kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Arsenal hii ndoo ya UEFA champions league in wenyewe. Ni timu 3 tu za EPL zenye kuitwaa hii ndoo, but si Arsenal, Totenham wala Man C
 
Ubora wa timu ni pamoja na kufungwa, wakuu tupo halftime maneno mengi kama pilipili manga nini kinawasukuma kama sio wivu? Wacha nicheke mie .. ... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…