LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

jamani msaada tunabishana hapa, ili aseno asonge mbele anatakiwa ashinde ngapi?
 
Gang Chomba kumbe wewe ndio umeachiwa mikoba na Shekh Yahya??
 
Last edited by a moderator:
Arsenal inaingia Dimbani leo kupambana na ngoma ngumu barani Uropa yaani Bayern Munich kutoka Bavaria Ujerumani.

Arsenal ikiwa na kumbukumbu mbaaya zaidi kwa kutolibeba kombe la klabu Bingwa Barani Ulaya, inaingia dimbani ikiwa haipewi nafasi yoyote ya kuweza kufanya vyema na kuingia hatua ya robo fainali kiasi kwamba wachambuzi wa maswala ya Soka wametanabaisha kuwa hata mechi zote mbili zingalichezwa uwanjani Emirates basi Arsenal wangeyaaga mashindano.

Bayern wanaingia uwanjani wakiwa wamekamilika kila Idara. Wana kocha mzuri, wana kocha mtarajiwa mzuri pia.
Wana wachezaji weengi wa kiwango cha juu tofauti na kilabu cha Arsenal.

DID YOU KNOW?
Arsenal and Bayern Munich have met four times before in the Champions League, with the Gunners
victorious just once.
Their last meeting was also at the Champions
League last-16 stage, which the German side won
3-2 on aggregate in 2004-05.

Olivier Giroud has four assists in the group stages of
the Champions League this season; only Zlatan
Ibrahimovic has more with five.

Lukas Podolski has scored three goals from three
shots on target in the Champions League this term. He is 17/2 to score the first goal in the game
with BetVictor.
Bayern Munich had the most different goalscorers in the group stage, with nine.
The German side also conceded the fewest shots on
target in the group stage, with just 17 against. TThe Bavarians last won in England in April 2001,
with a 1-0 quarter-final victory over Manchester
Utnited on course to winning the tournament. Mario Gomez (mnyama) has scored 25 goals
in 26 Champions League starts.

Gang Chomba Prediction...
Arsenal 1-3 Bayern Munich


Ofisi zangu za utabiri zipo Magogoni...

Last edited by GangChomba today at 00:39 ( The game was over by then ) Prediction Arsenal 1 -3 Bayern Munich
 
Sidhani kama arsenal they can come up from the defeat,now they can just enjoy playing football but not expecting to win any trophy.
 
kipigo kilikuwa hakiepukiki kwa upande wa arsenal..cha msingi ni kuwa wavumilivu na kuzoea matokeo ya namna hii coz bado yataendelea kutukia
 
kwa mpira tu aseno wanajitahidi ila mbinu za kushinda hawana..

Hebu soma makamasi yako hayo, mpira upi wa kujitahidi usiokua na mbinu za kushinda? Kwani watu wanaingia uwanjani kusaka nini? Sasa kama hawana mbinu za kushinda wanakua wanajitahidi katika nini? Kufungwa?
 
Last edited by GangChomba today at 00:39 ( The game was over by then ) Prediction Arsenal 1 -3 Bayern Munich

Sio kweli hiyo prediction ilikuwepo kwa uzi wa kwanza zaidi, me natoa comment yangu ya kwanza mchana kwenye huu uzi prediction ilikua hivyohivyo.

Kama una maumivu ya LIBOLO Munich tafuta tu mtu akukande sio kuja kutoa ushuzi hadharani!
 
ulikuwa unaangalia au unasikiliza... chefu!!

Both,
naona we ulikua bize kutoa updates za match kama vile ulianzisha uzi wewe, Au ulizani hatuoni hiyo match mpaka ugeuke Halima Mchuka kujifanya commentator?
 
Last edited by GangChomba today at 00:39 ( The game was over by then ) Prediction Arsenal 1 -3 Bayern Munich


Umekurupuka bila kuchamba ona sasa Nzi wanavyo kufuata...
nime edit ili nikuwekee ofisi zangu za unajimu na utabiri zinapopatikana.
Tazama watu walioninakili hapo awali utagundua utabiri wangu ulikuwaje...
 
Sio kweli hiyo prediction ilikuwepo kwa uzi wa kwanza zaidi, me natoa comment yangu ya kwanza mchana kwenye huu uzi prediction ilikua hivyohivyo.

Kama una maumivu ya LIBOLO Munich tafuta tu mtu akukande sio kuja kutoa ushuzi hadharani!


Kakurupuka hajachamba...
Achana nae
 
Bad day at the office.........We are out of all Trophies this year............. We are not good enough...........We gonna get nothing in German.

WHATEVER HAPPEN. IN ARSENE, WE TRUST
 
Sio kweli hiyo prediction ilikuwepo kwa uzi wa kwanza zaidi, me natoa comment yangu ya kwanza mchana kwenye huu uzi prediction ilikua hivyohivyo.

Kama una maumivu ya LIBOLO Munich tafuta tu mtu akukande sio kuja kutoa ushuzi hadharani!

Mimi sio Gunners na japo sikutabiri kwenye jamii forums lakini nilijua gunners wanapigwa.niliona post ime kuwa edited dakika chache baada ya game nikatia mashaka na sikuona any comment reflecting the game zaidi ya results
 
Umekurupuka bila kuchamba ona sasa Nzi wanavyo kufuata...
nime edit ili nikuwekee ofisi zangu za unajimu na utabiri zinapopatikana.
Tazama watu walioninakili hapo awali utagundua utabiri wangu ulikuwaje...

Matusi ya nini mzee wa Milan, mpenzi wa Ronaldinho. Hauwezi kujieleza bila kuandika matusi? acha kuwa kama mshabiki wa kariakoo lindi!
 
Arsenal waliteseka sana jana!
Ubishi wa kocha wao pamoja na wamiliki wa timu ndo umewafikisha hapa.
Mashabiki wao wamezoea kujifariji kwamba wao ni "wazee wa burudani"..Uwezo wa Bayern Munich ni mkubwa sana!
Waliwazidi sana sana Arsenal, kwa nguvu, pasi za uhakika, kasi ya mpira..hawakuwa wakiwaruhusu Arsenal kupumua.

"Victory is won not in miles but in inches. Win alittle now, hold your ground, and later, win a little more"
 
Back
Top Bottom