Arsenal inaingia Dimbani leo kupambana na ngoma ngumu barani Uropa yaani Bayern Munich kutoka Bavaria Ujerumani.
Arsenal ikiwa na kumbukumbu mbaaya zaidi kwa kutolibeba kombe la klabu Bingwa Barani Ulaya, inaingia dimbani ikiwa haipewi nafasi yoyote ya kuweza kufanya vyema na kuingia hatua ya robo fainali kiasi kwamba wachambuzi wa maswala ya Soka wametanabaisha kuwa hata mechi zote mbili zingalichezwa uwanjani Emirates basi Arsenal wangeyaaga mashindano.
Bayern wanaingia uwanjani wakiwa wamekamilika kila Idara. Wana kocha mzuri, wana kocha mtarajiwa mzuri pia.
Wana wachezaji weengi wa kiwango cha juu tofauti na kilabu cha Arsenal.
DID YOU KNOW?
Arsenal and Bayern Munich have met four times before in the Champions League, with the Gunners
victorious just once.
Their last meeting was also at the Champions
League last-16 stage, which the German side won
3-2 on aggregate in 2004-05.
Olivier Giroud has four assists in the group stages of
the Champions League this season; only Zlatan
Ibrahimovic has more with five.
Lukas Podolski has scored three goals from three
shots on target in the Champions League this term. He is 17/2 to score the first goal in the game
with BetVictor.
Bayern Munich had the most different goalscorers in the group stage, with nine.
The German side also conceded the fewest shots on
target in the group stage, with just 17 against. TThe Bavarians last won in England in April 2001,
with a 1-0 quarter-final victory over Manchester
Utnited on course to winning the tournament. Mario Gomez (mnyama) has scored 25 goals
in 26 Champions League starts.
Gang Chomba Prediction...
Arsenal 1-3 Bayern Munich
Ofisi zangu za utabiri zipo Magogoni...