Live another Day: JACK BOWER

Guys, naomba msaada wenu. Mwenye uelewa wa namna ku download series naomba anielekeze tafadhari.
  • Hii search engine inakidhi mahitaji utapata series katika quality ya 720p au 1080p
  • Mfano waweza search "Live another Day 720p"
  • Ila utahitaji moja kati ya hizi software: tixati, vuze, bittorrent au uTorrent
Kuna wakati nilikuwa masomoni uswiss nilikuwa natumia WAWACITY lakini niliporudi huku ilikataa baada ya kugunduwa server niliyokuwa natumia ni tofauti
  • Waweza kuendelea kudownload toka hiyo site iwapo utatumia VPN mfano PD Proxy - ambapo utachagua server za huko
 

Nashukuru sana ndugu yangu, that's why napenda JF maana wapo wengine wanaalimishana na wengine ndo hivo unaambulia matusi
 
Ha mkuu mbona unatuokota,nchi gani duniani dvd ya movie unanunua sh laki tatu?Mbona bei za vitu duniani tunaziona kwenye,alibaba,e bay na amazon na kwa movie dvd haziko hivyo hata iwe original?
Hapa Dar utapata wapi DVD original ya series? Uswiss zinauzwa swiss francs 180 ambayo inakaribia laki tatu? Wangapi wananua hapa? Acha madongo bhana wew mwenyew huwezi nunua hata kama una hela vipi
 
Tumia torrent mkuu. Download torrent app thn install alf use kickass torrent as a search engine utapata uko series kibao na movies pamoja na hyo 24

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tumia torrent mkuu. Download torrent app thn install alf use kickass torrent as a search engine utapata uko series kibao na movies pamoja na hyo 24

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Thank u so much guy.. Am glad for ur help
 
Ha mkuu mbona unatuokota,nchi gani duniani dvd ya movie unanunua sh laki tatu?Mbona bei za vitu duniani tunaziona kwenye,alibaba,e bay na amazon na kwa movie dvd haziko hivyo hata iwe original?

Bei hizo unazoona nyingi ni za USA, uliza bei za ulaya, ni tofauti kubwa, maisha ya ulaya ni damn expensive ndugu yangu.. Series kama hujui inauzwa hela nyingi kuliko movie, sasa kwa taarifa yako 24 hours nilinunua swiss frank 120 ambayo ni sawa na laki mbili za kibongo.. Na hapo niliinunua ikiwa imeshatoka muda mrefu sembuse hii ambayo ni mpya.. Bei unazoona kwenye internet ni za USA, siyo za kila nchi
 

Ingia www.g2g.fm iko very simple,me ndio natumia hiyo.
 
Hiyo ya 4 umeitoa wapi? acha kumzingua mwenzio!

Duh hadi episode ya nne? Imeshaonyeshwa? Mim nilifikiri ni hadi ya tatu. Mimi nipo Dar - kunduchi ndugu yangu. Ulidownload?
 
Ingia www.g2g.fm iko very simple,me ndio natumia hiyo.

Kiongozi yaani hii kitu noma, nimeiingia nikaanza kutizama kwenye smu yangu ya iphone4 bila matatizo. Thank u so much. Nimeona na movie nilizokuwa natamani ngoja niweke bundle za kutosha
 
Kiongozi yaani hii kitu noma, nimeiingia nikaanza kutizama kwenye smu yangu ya iphone4 bila matatizo. Thank u so much. Nimeona na movie nilizokuwa natamani ngoja niweke bundle za kutosha

Mbona mie inaniita nicreat account of na mode of payment?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…