whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,758
- 8,897
Unamponda wakati umeshika tekno ya kichina.Haya machina yanatumia mbinu za kizamani sana kufanya ujasusi
Unamponda wakati umeshika tekno ya kichina.Haya machina yanatumia mbinu za kizamani sana kufanya ujasusi
Upepo utahamia oppoBaada ya xiaomi kua leading smartphone Brand kweny shipments basi kasheshe lishaaanza
Utakuwa mshamba sana.Haya machina yanatumia mbinu za kizamani sana kufanya ujasusi
Kampuni gani inamlipa Huawei kutumia 5g?Tujitahidi kuwa waelewa kidogo.
Huawei baada ya kuwa pioneer wa 5g Marekani kamletea figisu. Saivi xiaomi anaongoza Europe wameshaanza.
Wewe unayeponda mchina tambua kwamba bila mchina usingekuwa na simu, hasa waotumia iPhone.
Kumlipa kivipi?Kampuni gani inamlipa Huawei kutumia 5g?
Kakojoe mkuu ukalalweUtakuwa mshamba sana.
Unapokuwa pioneer inamaana tech ni yako, hivyo watu wanaotumia Tech yako inabidi wakulipe. Kama Huawei ni pioneer wa 5G anawauzia kina nani? Na nani anaemlipa Huawei ama Ku license kwake?Kumlipa kivipi?
Jamaa umenichekesha hatariVita za kibiashara na uchumi.... Hawana lolote la maana......
Kuna Giants wapo nyuma ya hili.....
Na hapa Giants wanacho ogopa ni China kuwa "The Hub of Technology"
Wacha warushiane mangumi tu sisi huku tupo tunaupiga mwingi na bibi yetu mwenye jicho lake legevu....
Unahis taarifa hii ni ya kweliNi hatari sana kwa nchi, wewe unajifikiria wewe kama wewe ila hawa wanadukua wananchi wote, na sio China tu hata hizo nchi za magharibi zinadukua.
Just imagine China ama Usa sasa hivi anajua kuna mashoga wangapi, wadada wangapi wanaotaka kuongeza makalio, viongozi gani ni wala rushwa, Weakness za matajiri na kila siri zetu kama Taifa, kinachofuatia hapo nini? Kama sio kutawaliwa?
Qualcomm anamuuzia nani? Teknolojia ya 5g inatumika kwenye vifaa kama simu, dongles n.k, kama unakumbuka Huawei ndo ya kwanza kutoa kifaa kinachotumia 5g.Unapokuwa pioneer inamaana tech ni yako, hivyo watu wanaotumia Tech yako inabidi wakulipe. Kama Huawei ni pioneer wa 5G anawauzia kina nani? Na nani anaemlipa Huawei ama Ku license kwake?
Soma upate maarifaKakojoe mkuu ukalalwe
Qualcomm anauzia karibia watu wote, akiwemo huyo Huawei.Qualcomm anamuuzia nani? Teknolojia ya 5g inatumika kwenye vifaa kama simu, dongles n.k, kama unakumbuka Huawei ndo ya kwanza kutoa kifaa kinachotumia 5g.
Baada ya xiaomi kua leading smartphone Brand kweny shipments basi kasheshe lishaaanza
Dah sio poah..na hapo anabahati angekua kasema US ndo habari yake ingekwisha kabisampaka hapa hatoboi
kamati ya roho mbaya ishakaa kikao tayari.
Dah sio poah..na hapo anabahati angekua kasema US ndo habari yake ingekwisha kabisa
Kabisa..nafkri wanamwambia punguza speed yakoanakumbushwa kwamba wimbi linakuja,ajiandae.
Marekani anataka aaminishe watu kuwa ni tech giant, sawa Qualcomm wanakimbiza hilo halina ubishi. Wangewaacha huawei waendelee na 5g angefukia kampuni zote za marekani, kumbuka sababu ya Foxconn kufunga kiwanda marekani.Qualcomm anauzia karibia watu wote, akiwemo huyo Huawei.
Na sasa hivi Huawei amepigwa pini asitoe simu za 5G. Iweje mvumbuzi akatazwe asitumie technology yake?
Msiamini propaganda za media sana. Huawei anauza infrastructure za 5G bei rahisi haimaanishi yeye ndio Kazi gundua ama ndio wa kwanza kuzianzisha, linapokuja suala la gunduzi na Tech Muhimu za 5G bado yupo Nyuma ya Qualcomm, Nokia na Ericsson, Hao watatu ndio karibia Kila Kampuni inawalipa.
For comparison 2015 mpaka 2020 wakati Huawei anatangaza amepata 1.4 Billion usd kwenye royalities, wakati Qualcomm anapata 7.2B usd ndani ya mwaka tu, hivyo anachopata Huawei ndani ya miaka 5 Qualcomm miezi kama 2 anakipata, tena Modem tu. Hivyo hakuna Hata Comparison karibia Oem wote wanamlipa Qualcomm hata wanaotumia Kirin na Mediatek.