Lita 5 ya mafuta kupikia yafikia sh 37,000,/=

Ninyi watu wa serikali mlio kwenye nafasi za Kuregulate hizi Bei za kipuuzi, mnafanya Nini huko maofisini

Pathetic
Aaaaratcfaajavafajkanagrtyjn
Haya mambo yana faida na hasara. Uaghari wa mafuta ya kula watu wameshawishika kula chukuchuku. Miaka ijayo dawa za kutibu kusukari na magonjwa ya moyo soko lake litapungua sana.
 
Tz inazalisha Mafuta 205,000 tonnes kwa mwaka,mahitaji kwa mwaka Ni 570,000 tonnes.

Na bado unaamini huo upungufu wa Mafuta suluhisho lake litakua Ni mwananchi mmoja mmoja kupiga jembe la mkono kulima alizeti

Na ukiitwa motivational speaker unamaindi.
Nguvu kazi ilio lala ikinyanuka kwa jembe la mkono tofauti hiyo inafidiwa bila shaka. Serikali inafumbia macho vijana wanashinda kwenye kamari na umachinga badala ya kufanya shughuli za uzalishaji.
 
Ni mwendo wa futa la kitimoto tu, sasa wenzetu upande wapili ndio majanga kabisaa tena ramadan ndio hiyo 🤣😂😂😂 watakula mapupu sanaa🤣🤣
 
Sawa na 5,800/- yakiwa Singida. Muanzisha Uzi amenunua kwa 37,000/- kwa lita 5, sawa na 7,400/- kwa lita. Wewe hayo uliyoyanunua Singida ukiyauza Dar itakuwa shilingi ngapi!? Fikiria usafiri na faida...

To me, wewe na muanzisha uzi yale yale tu, YAANI WOTE MANJI GA NYANJA... Umejihisi burudani lakini hujapiga hesabu. NI KUJIPA IMANI TU
Tafuta hela mkuu
 
Nusu ya mahitaji ya mafuta Tzn ni imported kwa hiyo yakipanda huko Duniani lazima cha moto kipatikane.

Vipi na huku Algeria ni awamu ya ngapi wanaongoza?👇

Screenshot_20220329-160735.png
 
Ninyi watu wa serikali mlio kwenye nafasi za Kuregulate hizi Bei za kipuuzi, mnafanya Nini huko maofisini

Pathetic
Aaaaratcfaajavafajkanagrtyjn
Yaani sijui tu hii hali, 3 weeks ago nikinunua 29, today more than 5000 imeongezeka
 
Acha kutudanganya basi hata sisi tunajua kusoma Na kuandika.

Na bei ya ngano? Spaggeti je?
Matatizo yakuangalia Wasafi TV,Clouds TV,Maisha Magic muda wote vijana hamjui mambo ya duniani,

Ukraine na Urusi wanazalisha ngano kwa takribani 20% ya mahitaji ya ngano Duniani,uzalishaji kwenye hizi nchi kwasasa hakuna kwasababu ya vita

Hata ngano tunayotumia nchini kwa % fulani tulitegemea kutoka Ukraine na Urusi nchi ambazo kwa Sasa hakuna uzalishaji ndio chanzo cha ongezeko la bei kwenye ngano.Elewa kwenye bei ya ngano lazima itaathiri nchi nyingi kutokana na hii vita.

Nasisitiza ni kweli tuna tatizo la inflation nchini na ni kweli serikali inatakiwa inyooshewe kidole lakini sio kwenye bidhaa zote.Haya mambo kuyaelewa ni magumu kidogo ndio maana mayowe yamekuwa mengi.

Nawashauri vijana msitizame channel za burudani mkasahau channel za habari kama CNN,BBC,Sky News hii itapunguza maswali mepesi kama haya.
 
Jamani hemu tuache kulalamika kwenye kila jambo,

Ni kweli kwasasa kuna inflation,kwenye baadhi ya idara kama ujenzi kunahitaji suluhu ya serikali,mfano kama tatizo ni kodi basi wapunguze kodi ama kama si kodi basi waruhusu bidhaa za nje ambozo kama bei ya bidhaa kutoka nje ni za chini vitaleta ushindani kwenye viwanda vya ndani,hakuna sababu yakulinda viwanda vya ndani wakati wananchi wanaumia.

Kwenye mafuta ya kula ni fursa kwetu,nenda shamba kalime alizeti,wakati wewe unalalamika wenzako wanapiga pesa,watanzania tuache ujinga,kilimo cha alizeti risk ni ndogo sio kama kulima mahindi,alizeti haina matatizo ya kuliwa na wadudu,alizeti haihitaji mvua nyingi hivyo inaendana na haya mabadiliko ya tabia nchi.

Huwezi mwambia raia kwamba kama unaona bei ya nondo ni kubwa jenga kiwanda chako,hapa utakuwa unamtusi kwani ujenzi wa kiwanda cha nondo hataweza na ndio sababu yakuitaka serikali itafute suluhu lakini kwenye mafuta ya kula ni ujinga kulalamika wakati ni fursa kwetu.

Wacha kulalamika nenda shamba kalime alizeti.
Nafikiri umesahau kuwa nchi yetu kuna wakulima na wafanyakazi. Wote tukienda kulima alizeti, nani atafanya hizo kazi za mfanyakazi? Naungana na wanaosema kuna mahali mamlaka zetu zimezembea.
 
Nasisitiza kwenye issue ya mafuta ya kula naomba Mungu bei ipande zaidi ili akili zenu zikae sawa.

Vijana wa dar mmezoea kuzurula mitaani na vibegi mgongoni ambavyo haviina kitu ndani na pesa hakuna mfukoni mnasahau vijijini kwenu.
Kuna watu nikiwemo Mimi, tunakushangaa vitu unavyoongea! Hivi hujui kuwa hata iweje hao vijana lazima wawepo. Sana sana watabadili style ya kuishi. Na style hiyo inaweza kuwa hatari zaidi kwa jamii.
 
Mama Nchi isha mshinda, Kesha zidiwa kete na Wafanyabiashara Ma Papa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Yaani tutamkumbuka, yeye mwenyewe aliwahi kusema "amna kitu kigumu kama uongozi ndugu zangu"

Kwa ninavyojua aliyepo kazi ya kucontrol uchumi imemshinda na usishangae tutafika mahali paajabu sana mafuta ya kupika lita 5 yatauzwa 50,000Tzs. Hapo ndiyo utajua kashindwa nchi hii. Vipoba na piga hela huku walaji na wavuja jasho wakilia lia tu.
 
Shida wote mkikimbilia huko mafuta yanakuwa mengi hadi litre inauzwa buku huku uzalishaji wake ni buku 5
Mimi niko singida ambako pia ni moja ya sehemu wanalima alizeti amna biashara na kilimo hard kwa hapa kama hichi yaani huyu meru mwenyewe usipo kaa sawa anakunyoosha maana yeye ndiyo don wa mafuta singida ana export nje wakati bongo kuna huhitaji.

Mchanganuo wa alizeti na biashara yake mpaka upate mafuta uuze jasho la mku... litakutoka sana, pia meru anatoa kwa wakulima.
 
Mimi niko singida ambako pia ni moja ya sehemu wanalima alizeti amna biashara na kilimo hard kwa hapa kama hichi yaani huyu meru mwenyewe usipo kaa sawa anakunyoosha maana yeye ndiyo don wa mafuta singida ana export nje wakati bongo kuna huhitaji.

Mchanganuo wa alizeti na biashara yake mpaka upate mafuta uuze jasho la mku... litakutoka sana, pia meru anatoa kwa wakulima.
🤣🤣🤣 Hapo kwenye jasho balaa
 
Matatizo yakuangalia Wasafi TV,Clouds TV,Maisha Magic muda wote vijana hamjui mambo ya duniani,

Ukraine na Urusi wanazalisha ngano kwa takribani 20% ya mahitaji ya ngano Duniani,uzalishaji kwenye hizi nchi kwasasa hakuna kwasababu ya vita

Hata ngano tunayotumia nchini kwa % fulani tulitegemea kutoka Ukraine na Urusi nchi ambazo kwa Sasa hakuna uzalishaji ndio chanzo cha ongezeko la bei kwenye ngano.Elewa kwenye bei ya ngano lazima itaathiri nchi nyingi kutokana na hii vita.

Nasisitiza ni kweli tuna tatizo la inflation nchini na ni kweli serikali inatakiwa inyooshewe kidole lakini sio kwenye bidhaa zote.Haya mambo kuyaelewa ni magumu kidogo ndio maana mayowe yamekuwa mengi.

Nawashauri vijana msitizame channel za burudani mkasahau channel za habari kama CNN,BBC,Sky News hii itapunguza maswali mepesi kama haya.
Tafuta kote nilipokoment halafu urudi kusoma jibu lako.
Matatizo yakuangalia Wasafi TV,Clouds TV,Maisha Magic muda wote vijana hamjui mambo ya duniani,

Ukraine na Urusi wanazalisha ngano kwa takribani 20% ya mahitaji ya ngano Duniani,uzalishaji kwenye hizi nchi kwasasa hakuna kwasababu ya vita

Hata ngano tunayotumia nchini kwa % fulani tulitegemea kutoka Ukraine na Urusi nchi ambazo kwa Sasa hakuna uzalishaji ndio chanzo cha ongezeko la bei kwenye ngano.Elewa kwenye bei ya ngano lazima itaathiri nchi nyingi kutokana na hii vita.

Nasisitiza ni kweli tuna tatizo la inflation nchini na ni kweli serikali inatakiwa inyooshewe kidole lakini sio kwenye bidhaa zote.Haya mambo kuyaelewa ni magumu kidogo ndio maana mayowe yamekuwa mengi.

Nawashauri vijana msitizame channel za burudani mkasahau channel za habari kama CNN,BBC,Sky News hii itapunguza maswali mepesi kama haya.
 
Nafikiri umesahau kuwa nchi yetu kuna wakulima na wafanyakazi. Wote tukienda kulima alizeti, nani atafanya hizo kazi za mfanyakazi? Naungana na wanaosema kuna mahali mamlaka zetu zimezembea.
Hivi ukiwa mwajiriwa haiwezekani/umekatazwa kulima?Hujawahi ona waajiriwa wanaojishughulisha na kilimo?Kama aina ya wanafunzi ndio kama wewe Kuna umuhimu mkubwa walimu kuongezwa mishahara.
Kuna watu wameajiriwa lakini wanajishughulisha na kilimo na biashara pia.Sasa wewe ukishavaa tai unaona umeshamaliza kila kitu chief!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom