Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
IQ yako ni kubwa sana mkuuHahaha, kila Kiranga ana Kiranga wake, mimi mwenyewe nadesa tu hapo.
Hilo huwezi kulijua wewe
IQ yako ni kubwa sana mkuuHahaha, kila Kiranga ana Kiranga wake, mimi mwenyewe nadesa tu hapo.
IQ yako ni kubwa sana mkuu
Hilo huwezi kulijua wewe
Thanks, I hope IQ is meant as a shortcut to some intangible quality, not a concrete indicator.IQ yako ni kubwa sana mkuu
Hilo huwezi kulijua wewe
akili sio kuweza masomo ya darasani...huyo einstein na uharibifu wake wa hydrogen bombs unaita akili!!?..ni kipaji tu kama cha riadha na mpira,generally huwezi sema akili ni nini?
Pyeeeeeeee...... Mudymwenye IQ WA KWANZA DUNIANI NI MTUME MOHAMMED (swa) NA MASAHABA ZAKE NA MITUME WENGINE WOTE NA BABA YANGU NA MAMA YANGU MIMI NDIO NINAO WAJUA
You should be counting from the bottomBASHITE was 13
Swali dogo tu kwako.IQ kubwa sasa ni kompyuta maana inaweza kufanya kazi kubwa kuliko wanadamu.
•miaka 1900 wanasayansi wengi walijua nyota yetu kuna sayari 10 kutokana na mifumo ya hisabati kuweza kutambua.
tokea kompyuta kuanza mfumo huo sasa nyota yetu ina sayari 200 sikosei mpaka sasa zimegunduliwa.
•swala la kisayansi na teknolojia kuanzia elimu,kazi za kiofisi kompyuta imekuwa ikileta mapinduzi makubwa kufanya kazi kwa wakati mmoja
mfano inaweza kuchambua mishahara kwa sekunde,kujibu maswali aka google kwa selunde na n.k
hitimisho kompyuta ndio yenye IQ kubwa sasa
We jamaa ni moja kati ya watu wenye akili kubwa sana niliopata kuwafahamu. Arguments zako za JF zimenijenga sana. Imefikia hatua kuna watu wananishangaa, eti i'm super intelligent!Hahaha, kila Kiranga ana Kiranga wake, mimi mwenyewe nadesa tu hapo.
Asante sana. Nashukuru na nafurahi sana kusikia hivyo.We jamaa ni moja kati ya watu wenye IQ kubwa sana. Arguments zako za JF zimenijenga sana. Imefikia hatua kuna watu wananishangaa, eti i'm super intelligent!
Hua nacheka, then najisemea "hamjui tu, kuna mtu anaitwa Kiranga"
Kudos mkuu Kiranga!
AaaaaaaKipimo cha IQ ni njia pekee inayoaminiwa kupima uwezo wa akili za mtu ambapo kwa kawaida binadamu wengi wana IQ ya kuanzia 90 mpaka 110 lakini watu wachache sana wana IQ level ya kuanzia 140 na kuendelea. Leo nimekuletea hii list ya watu kumi wanaoaminikia kuwa na akili hadi kufikia mwaka 2017.
1: Terrence Tao
Ni mwanahisabati kutoka Marekani ambaye anakadiriwa kuwa na IQ level ya 230. Terence Tao aliweza kufanya hisabati akiwa na miaka 2 na alipokuwa na miaka 7 aliweza kufanya hesabu ngumu za level ya Chuo Kikuu akiwa na miaka 20 alipata PhD. Mwaka 2006 alishinda medali ya Field na mwaka 2014 alipata tuzo ya Breakthrough prize in mathematics.
[http://dxzccmtp98vpc]
2: Christopher Hirata
Ni Mnajimu aliyebobea katika mambo ya anga ambapo kwa sasa anafanya kazi katika Shirika la Mambo ya Anga la Marekani ‘NASA’. Anatajwa kuwa na IQ level ya 225 ambapo akiwa na miaka 13 alipata tuzo ya Mwanahisabati Bora wa Dunia na kuweza kupata PhD akiwa na umri wa miaka 22.
[http://dxzccmtp98vpc]
3: Kim-Um -Young
Anachukua namba 3 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level 210 ambapo mwaka 1990 Kim Ung–yong alishika rekodi ya Dunia ya Guiness kwa kuwa na IQ kubwa. Alipokuwa na na miezi 6 tu Kim Ung-Yong alikuwa anajua kuongea na alipofikisha miaka 3 aliweza kuongea Kijapan, Kikorea, Kiingereza na Kijerumani.
[http://dxzccmtp98vpc]
4: Rick Rosner
Watu wengi hawakuamini baada ya Rick Rosner kugundulika kuwa na IQ level ya 192 kwa kuwa kazi alizokuwa anazifanya hazikuendana na akili yake. Kabla ya kuwa mwandishi wa kipindi cha Jimmy Kimmel Rick Rosner alikuwa dansa wa club za usiku, model na waiter.
[http://dxzccmtp98vpc]
5: Garry Kasaporov
Garry ana IQ level ya 192 na ameweka rekodi ya Mchezaji Bora wa Chess Duniani kwa sasa anajihusisha na siasa kwa kiasi kikubwa ambapo alitaka kugombea Urais wa Urusi dhidi wa Raisi wa sasa Vladmir Putin.
[http://dxzccmtp98vpc]
6: Galileo Galilei
Licha ya kuwa mwanasayansi mkubwa aligundua mambo mbalimbali ya Anga , Hisabati na Fizikia. Galileo ameshika namba 6 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level ya 185. Hadi kufikia mwaka 2017 Mwanasayansi huyu hajatoka kwenye top ten na anajulikana zaidi kwa ugunduzi wake wa umbo la dunia.
[http://dxzccmtp98vpc]
7: James Woods
Ni mcheza filamu kutoka Marekani ambaye ameshinda tuzo mbalimbali za Academy na anatajwa kuwa na IQ level ya 180. Akiwa na umri mdogo Jamaes alikuwa anaweza kufanya hesabu ngumu licha ya uwezo wake wa mambo ya Sayansi Garry aliamua kuwa mcheza sinema.
[http://dxzccmtp98vpc]
8: Judit Polger
Ni mwanamke pekee kwenye list hii hadi kufikia mwaka 2017. Judith anatajwa kuwa na IQ level ya 170 akiwa na miaka 15 tu aliweza kumshinda mshindi wa dunia kwenye mchezo wa chess.[http://dxzccmtp98vpc]
9: Sir Endrew Willes
Ni mwanahisabati na mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Marekani ambapo anatajwa kuwa na IQ level ya 170. Andrew Wiles aliweza kukokotoa hesabu ngumu zaidi duniani zinazoitwa Fermat’s Last Theorem na mwaka 2016 alishinda tuzo ya Abel Prize.
[http://dxzccmtp98vpc]
10: Albert Einstein
Ukitaja jina la Eistein untakuwa unamaansiha “Genious” ambapo mwanafizikia huyu ameweza kujijengea jina kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya Sayansi na mambo ya Anga. Einstein anatajwa kuwa na IQ level ya 160
Bila kusahau na mimi mwenyewe
Source:-Mtandaoni
Peace man!Asante sana. Nashukuru na nafurahi sana kusikia hivyo.
Moja ya njia nzuri kupima mafanikio ya mtu ni kuangalia watu wengine wangapi wamefanikiwa kupitia yeye.
Na kama itakuwa umeweza kufanikiwa kwa namna fulani, kupitia kwangu, hata mimi najisikia kufanikiwa kwa kufanikiwa kwako.
One.
Huoni anavyowachachafya kuanzia waziri mkuu, spika, makamu wa rais na wabunge wote. Yeye kwake rais ndie mkuu basi.You should be counting from the bottom
Pamoja mkuuusiandike now days bali nowadays. Kuwa makini na lugha za watu!!
He doing what?Number 1: kama sio prophet Muhammad hiyo ni uchafu haina maana