Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,509
- 55,529
Apo kwenye ujerumani nikurekebishe kaka.1. Freeman Mbowe ni mtoto wa tajiri na leo ni bilionea. Tangu utoto haijui shida hajui kuishiwa hajui kukosa ada hajui kutembea na vyeti kutafuta kazi. Anaweza kuamua hata kesho akae ndani miaka na bado afurahie maisha; sio wa kujilinganisha naye. Ukiona anambea lockdown nje ya eneo la Bunge jua kashiba; shibe ni mwanamalevya .USIMUIGE UTAKUFA NJAA
2. Fatma Karume, babu rais, baba mdogo rais pia ana baba mkubwa waziri kwa awamu kibao. Amekulia ikulu hajui hata kuishiwa; hajui shida nini, hajawahi kukosa chakula, hajawahi kuhangaika kuhaso na maisha. Akikwambia lockdown ni njia bora temea mate chini uondoke. UTAKUFA KWA NJAA NDANI KWAKO
3. Zito Kabwe, yeye ana mihula mitatu bungeni anakula pesa na kiinua mgongo, hajui dhiki kwa sasa japo ameipitia. Amesahu amekengeuka hajui shida. Ameshiba anachofikiria ni siasa. Leo wewe na yeye mkikaa ndani, yeye anakuwa kama yupo peponi anatuombea tuwekwe lockdown, hatupendi. UKIMUIGA UTAFIA NDANI, OGOPA.
4. WABUNGE, soon Bunge litavunjwa watakula zaidi ya mil 200 plus na bado wana mshahara wa zaid 9 milioni kwa mwezi; hata wakikaa ndani nao wanomba lockdown halafu kuna watu hawajui hata kesho wale nini wanaunga mkono, very poor. MTAKUFA NYIE, PIGENI KAZI.
U.S.A taifa kubwa leo watu wako mtaani hawataki kuwekwa ndani maisha magumu uchumi wa familia unakufa, wewe Mtanzania unalilia lockdown.
Ujerumani pamoja na kuwa ndio taifa lenye uchumi bora ulaya watu wamegoma licha ya kuwa na kesi zaidi yetu wameruhusu kurejea makazini.
Italy, Spain, Japan, Bolivia. Indian. Pakistan. na n.k wameanza kuruhusu watu kutoka maana hali si hali. Wewe Mtanzania mwenzangu kibarua cha siku ndio ule unawaiga wanasiasa. UTAKUFA KWA NJAA, TOKA KAPIGE KAZI.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka serkali ifanye lockdown uchumi ufe kesho waanze kusema serkali inamipango mibovu imeuwa uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wetu wengine bana nani kakwambia anataka total lockdown ?
Watu wanashauri angalau kuwe na restriction kwa baadi ya biashara ilikuepusha misongama isiyo ya lazima
Kwa mfano leo hii shule zimefungwa baadhi ya waalimu wanamaisha wanaishi katika hali ngumu na maisha yanaendelea katika ugumu ugumu huohuo
Sasa unafungia shule halafu unaacha baa na club wazi usiku kucha ndio utakua umefanya Nini sasa si nisawa bure tu
Umeepusha mwanafunzi asipate korona shule akaileta Nyumbani lakini umeruhusu Baba au Mama akuchukue Corona Baa, Msikiti au Kanisani akamletea mwanafunzi huyohuyo nyumbani
Yaani ni kama umeruka MKOJO umekanyaga MAVI ... Kuna ulazima gani wa kuacha baa na sehemu za mikusanyoko ziendelee wakati umefungia shule???
Ilitakiwa kurestrict baadhi ya shughuli kwa muda maalum kutokana na ulazima wake kwa mfano ibada inaweza kufanywa hata nyumbani sio lazima Kanisani au Msikitini
Kuna baadhi ya shughili zina njia mbadala wa utekelezaji wake na zile zisizo na njia mbadala ziwekewe utaratibu ili mradi kuepusha mpishano na msongamano usio wa lazima
Booogas kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kusema wakenya wagonjwa wanaongezeka kwa sababu wanapima watu wengi, sisi tukipima idadi ya watu kama waliyopima wakenya patakuwa mtafutano hapaPengine utawasifia wakenya wanaozuia watu kwenda nairobi na mombasa ambayo utasema sio total lockdown, lakini wagonjwa wanaongezekana vifo vinaongezeka sasa faida yake ni nini?
1. Freeman Mbowe ni mtoto wa tajiri na leo ni bilionea. Tangu utoto haijui shida hajui kuishiwa hajui kukosa ada hajui kutembea na vyeti kutafuta kazi. Anaweza kuamua hata kesho akae ndani miaka na bado afurahie maisha; sio wa kujilinganisha naye. Ukiona anambea lockdown nje ya eneo la Bunge jua kashiba; shibe ni mwanamalevya .USIMUIGE UTAKUFA NJAA
2. Fatma Karume, babu rais, baba mdogo rais pia ana baba mkubwa waziri kwa awamu kibao. Amekulia ikulu hajui hata kuishiwa; hajui shida nini, hajawahi kukosa chakula, hajawahi kuhangaika kuhaso na maisha. Akikwambia lockdown ni njia bora temea mate chini uondoke. UTAKUFA KWA NJAA NDANI KWAKO
3. Zito Kabwe, yeye ana mihula mitatu bungeni anakula pesa na kiinua mgongo, hajui dhiki kwa sasa japo ameipitia. Amesahu amekengeuka hajui shida. Ameshiba anachofikiria ni siasa. Leo wewe na yeye mkikaa ndani, yeye anakuwa kama yupo peponi anatuombea tuwekwe lockdown, hatupendi. UKIMUIGA UTAFIA NDANI, OGOPA.
4. WABUNGE, soon Bunge litavunjwa watakula zaidi ya mil 200 plus na bado wana mshahara wa zaid 9 milioni kwa mwezi; hata wakikaa ndani nao wanomba lockdown halafu kuna watu hawajui hata kesho wale nini wanaunga mkono, very poor. MTAKUFA NYIE, PIGENI KAZI.
U.S.A taifa kubwa leo watu wako mtaani hawataki kuwekwa ndani maisha magumu uchumi wa familia unakufa, wewe Mtanzania unalilia lockdown.
Ujerumani pamoja na kuwa ndio taifa lenye uchumi bora ulaya watu wamegoma licha ya kuwa na kesi zaidi yetu wameruhusu kurejea makazini.
Italy, Spain, Japan, Bolivia. Indian. Pakistan. na n.k wameanza kuruhusu watu kutoka maana hali si hali. Wewe Mtanzania mwenzangu kibarua cha siku ndio ule unawaiga wanasiasa. UTAKUFA KWA NJAA, TOKA KAPIGE KAZI.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna na hali ya sasa ambapo ugonjwa umeshasambaa nchi nzima kuna haja tena ya hiyo lockdown? Nini kifanyike tena?kinachowasumbua nyinyi ni uelewa kuhusu lockdown au mmeamua kupotosha makusudi, labda mgeuliza lockdown ya namna gani?.
Kupiga karantini miji ili ugonjwa usisambae nchi nzima ni jambo la kawaida katika utabibu.
Hata kipindupindu kikipiga sana kwenye miji, miji hiyo hufungwa kuzuia watu wa miji mingine kuingia au watu wa mji ulioathirika kutoka.
Lockdown ina levels zake, tunaweza tusiwe na uwezo wa kuwafungia watu majumbani mwao lakini kufunga miji iliyoathirika zaidi hilo lilikuwa ndani ya uwezo wetu.
Sasa hivi korona inatafuna watu ile mbaya, huo uchumi unaoulilia hautawasaidia waliokufa kwa korona.
Serikali imeshindwa kulinda watu wake
Walitaka lockdown ili wasifiwe na mizungu sasa mizungu imefungua lockdown imewashinda hawa wamatumbi nao watabadilisha gia angani, bendera fuata upepo.
Zamani ipi wewe acha kupotosha?Mbona uchumi umekufa zamani au ndio nyinyi mnaona kupewa buku saba za bia hapo Lumumba ndio uchumi umekuwa ??
Nyie mlisema nchi iwekwe lockdown hayo ya aina za lockdown unayasema wewekinachowasumbua nyinyi ni uelewa kuhusu lockdown au mmeamua kupotosha makusudi, labda mgeuliza lockdown ya namna gani?.
Kupiga karantini miji ili ugonjwa usisambae nchi nzima ni jambo la kawaida katika utabibu.
Hata kipindupindu kikipiga sana kwenye miji, miji hiyo hufungwa kuzuia watu wa miji mingine kuingia au watu wa mji ulioathirika kutoka.
Lockdown ina levels zake, tunaweza tusiwe na uwezo wa kuwafungia watu majumbani mwao lakini kufunga miji iliyoathirika zaidi hilo lilikuwa ndani ya uwezo wetu.
Sasa hivi korona inatafuna watu ile mbaya, huo uchumi unaoulilia hautawasaidia waliokufa kwa korona.
Serikali imeshindwa kulinda watu wake
Ndugu wewe kaswampe huko nje uondoe umasikini hakuna anayekuzuia. Tembea kifua mbele ufike Hadi chooni mwisho tafuta uondoe njaa yako usizuiliwe popote. Sisi tunajilockdown
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu hapa ni kusaka pesa za kutoshaMboga saba endeleeni kujifungia ndani. Sisi ambao mkate wetu wa kila siku unategemea kutoka na kwenda kupiga debe ubungo stand ya mabus na kufanya kazi za kuchosha mwili kwenye vibarua mbalimbali mtuache tufe na corona.
Njaa haina adabu, ni bora nife na corona kuliko kuua watoto na familia kwa njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu nyingine, utakuta mtu yuko kijiweni asubuhi hadi jioni halafu analilia lockdown.
Kama huoni point nimefafanua vizuri aje?Safi, umejitahidi kufafanua lakini sioni kama kuna point yako yoyote itachukuliwa kwa vile lengo la kuanzisha uzi huu si kuijadili lockdown bali ni ku-tarnish image ya watu waliotajwa hapo mwanzo.
Familia yake ilipoata corona alikuwa na lockdown nusuWetu wengine bana nani kakwambia anataka total lockdown ?
Watu wanashauri angalau kuwe na restriction kwa baadi ya biashara ilikuepusha misongama isiyo ya lazima
Kwa mfano leo hii shule zimefungwa baadhi ya waalimu wanamaisha wanaishi katika hali ngumu na maisha yanaendelea katika ugumu ugumu huohuo
Sasa unafungia shule halafu unaacha baa na club wazi usiku kucha ndio utakua umefanya Nini sasa si nisawa bure tu
Umeepusha mwanafunzi asipate korona shule akaileta Nyumbani lakini umeruhusu Baba au Mama akuchukue Corona Baa, Msikiti au Kanisani akamletea mwanafunzi huyohuyo nyumbani
Yaani ni kama umeruka MKOJO umekanyaga MAVI ... Kuna ulazima gani wa kuacha baa na sehemu za mikusanyoko ziendelee wakati umefungia shule???
Ilitakiwa kurestrict baadhi ya shughuli kwa muda maalum kutokana na ulazima wake kwa mfano ibada inaweza kufanywa hata nyumbani sio lazima Kanisani au Msikitini
Kuna baadhi ya shughili zina njia mbadala wa utekelezaji wake na zile zisizo na njia mbadala ziwekewe utaratibu ili mradi kuepusha mpishano na msongamano usio wa lazima
Booogas kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app