siansakala
Member
- Aug 12, 2012
- 75
- 10
we usituzingue,,,ungeandka UDO SELECTION,,sa umeandika LIST ina maana ya wote waloomba sasa?????take care siku nyingine
plz hebu nichek kwa jina la Rajab s hussein s0390 nipo mbali na internet cafe na simu yngu haisapoti
zote zko poa mkubwa
Upo mkuu, utakutana na habiba abdalla
we usituzingue,,,ungeandka UDO SELECTION,,sa umeandika LIST ina maana ya wote waloomba sasa?????take care siku nyingine
we usituzingue,,,ungeandka UDO SELECTION,,sa umeandika LIST ina maana ya wote waloomba sasa?????take care siku nyingine
Unapiga UDOM mkuu??
Ndo mwenyeji wenu.
Ndo mwenyeji wenu.
NingaR,Hongera Mkuu mimi Jina langu nililiona Udsm,ila kila la kheri Kamanda michakato ya Tcu na Vitetesi tulizijadili toka ile July 15 mpaka sasa we are admitted.
Pamoja sana mkuu utupokee vyema, uko college ipi??