Ni maneno ya hekima na busara sana kutoka kwake Tundu Antipas Lissu:
"Kwamba watanzania si waoga bali hao wenye kuyasema hayo, ndiyo pekee walio waoga."
Kwamba watanzania wanahitaji kuhamasishwa na kuongozwa na watu wanaowaamini.
Kumbe ni wapi ambako wananchi huko, kuhamasishwa, au kuongozwa na wenye kuwaamini si muhimu? Ni Kenya, Afrika Kusini, Gambia au Guinea?
"Binadamu ni wale wale."
Maneno kuntu kabisa haya kutoka kwake mwana huyu, mzalendo halisi wa nchi hii.
"Mtanzania siyo mwoga."
Mwenye nchi, mwananchi.
Aluta continua!
"Kwamba watanzania si waoga bali hao wenye kuyasema hayo, ndiyo pekee walio waoga."
Kwamba watanzania wanahitaji kuhamasishwa na kuongozwa na watu wanaowaamini.
Kumbe ni wapi ambako wananchi huko, kuhamasishwa, au kuongozwa na wenye kuwaamini si muhimu? Ni Kenya, Afrika Kusini, Gambia au Guinea?
"Binadamu ni wale wale."
Maneno kuntu kabisa haya kutoka kwake mwana huyu, mzalendo halisi wa nchi hii.
"Mtanzania siyo mwoga."
Mwenye nchi, mwananchi.
Aluta continua!