assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Adai atafute shughuli nyingine
chanzo: Tanzania daima
chanzo: Tanzania daima
hawezi kwa lipi?adai atafute shughuli nyingine
chanzo: Tanzania daima
sukari saivi 3000Ha ha ha, unamshindaje, wakati JPM sio mtu wa Ahadi ni utekelezaji tu.. Na amewabana kila kona
si ajiuzulu mbn pm camerun amejiuzulu, only in Africa that never happenila kila mara anaongea maneno yanayoonyesha kujutia urais, kuna kipindi aliongea na Pengo na kusema anatamani saa nyingine asingechukua form, juzi alipokuwa anakabidhiwa ripoti ya uchaguzi na Lubuva alisema anatamani urais ungekuwa ni awamu ya miaka 5 tu kwa sababu ya maneno ya watu.
Mimi naona kweli anafanya kazi, anatamani sana nchi isonge mbele haraka ila ilikuwa wrong kwake kuchukua urais
kwani wewe hapo kwako sukari unanunua 1800?Magufuli yupo vizuri sana katika uongozi. Yeye anafanya kwa vitendo zaidi. Ndani ya kipindi kifupi tu tangu kuingia madarakani ametekeleza ahadi nyingi. KUMHUKUMU RAIS KWA SASA KUWA AMESHINDWA NI UPUUZI MTUPU KWANI KIPINDI CHAKE CHA KUONGOZA MUHULA MMOJA NI MIAKA MITANO.
sukari saivi 3000
maisha mtaanu yamekua magumu
hakuna ajira Mpya wala nyongeza ya mishahara
kuua demokrasia
bunge live
udom scandal
bomoabomoa
ngoja niachie tu HP simalizi
Wapi uliona maombi yanafanya kazi kwenye unafiki na dhuluma?Mbona yeye ubunge umemshinda
Magufuli goooo tupo tunakuombea
wenyewe huenda wamestuka kuwa ni majipuNimemiss sana kusikia PM na Mkuu wa Kaya wakitumbua majipu...
Maana utumbuaji umekua wa kusua sua now days...
Hapana mkuu ila nahisi majipu yaliyobaki ni makubwa mno yanahitaji Maspecialist kutoka India.wenyewe huenda wamestuka kuwa ni majipu
Yeye jimbo lake amefanya lipi la maana tuanzie hapo ndipo tumjadili Rais.adai atafute shughuli nyingine
chanzo: Tanzania daima