gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
hata Nyerere alisema nia ya kumpiga tunayo na uwezo tunao lakini yeye alikaa Ikulu waliokufa ni kaka zako na wadogo zako, sasa nijibu kwa nini Nyerere akwenda front na yeye ndie aliyekuwa Jemedari mkuu