Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Goli la mkono walijua kweli ndugu? Unadhani Mbowe kushindwa Hai walikuwa wadhoofu huko kuliko Nkasi?
Brazaj, nguvu ya Umma (People's power) isikilizie mbali! Kumbe binadamu ni kiumbe hatari na cha kutisha akiamua kubadilika.
Sijui Hai ilikuwaje, lakini, kama scenario ingekuwa kama ya Nkasi, Hai pangewaka moto. Mahali askari na wajeda wanainua mikono ni situation ya mzaha hiyo?
Unakumbuka ya (Tunisia/Algeria?) yule kijana baada ya kujiteketeza moto wa petroli?
Ogopa sana 'people's power'!
 
Brazaj, nguvu ya Umma (People's power) isikilizie mbali! Kumbe binadamu ni kiumbe hatari na cha kutisha akiamua kubadilika.
Sijui Hai ilikuwaje, lakini, kama scenario ingekuwa kama ya Nkasi, Hai pangewaka moto. Mahali askari na wajeda wanainua mikono ni situation ya mzaha hiyo?
Unakumbuka ya (Tunisia/Algeria?) yule kijana baada ya kujiteketeza moto wa petroli?
Ogopa sana 'people's power'!

Hakuna aliye na mashaka na nguvu ya umma ila wadhani Nkasi waliwazidi hawa?



Tofautisha jiwe aliyetaka kujikosha kwa majimbo mawili matatu Ili kama wewe aje hapa kilifanyia jimbo moja hilo siasa.

Zanzibar walikufa wangapi chini ya tunaoambiwa mamluki toka Burundi 2020?

Vipi CUF na Mkapa Jan 27, 2001?

Vipi Tiananmen Square 1989?

Vipi Tahrir square na El Sisi, Tahrir square?

Nadhani tofautisha siasa za jiwe Nkasi na nguvu ya umma huko ndugu.
 
Habari ndiyo hiyo.

Zawadini kutofautiana kwenye agenda za kina Mwaipopo na wenziwe kusitufanye kuitelekeza nchi kwa ma CCM.

Aliimba mwuungwana, hata watoto mapacha hutokea wakati wakaacha kuelewana. Sembuse miye na wewe ndugu yangu?

Huoni kuwasusia nchi kwa sababu ya ila za Hapa na pale, itakuwa ni afadhali ya kuwasusia fisi bucha ndugu yangu?
Sidhani kwamba tumetofautiana na wala sio swala la kuwaachia nchi CCM. Lilikuwa ni swala la kutofahamiana lugha ingawa sote tunazungumza na kuandika Kiswahili.

Hili la nchi kuwaachia CCM mimi nangojea akina mdude waongoze maandamano baada ya ule muda walouwka wa siku 30 kumalizika. Hivyo ndivyo nilivyoahidi kwamba tutashiriki pamoja iwapo tu yeye mwenyewe atashiriki. Ninavyofahamu Watanganyika ni waoga naye hatoshiriki. Ukiangalia comment yangu kwenye ule uzi, nilishauri wapate ushauri kutoka kule upande wa pili kwani wao wanao uzoefu wa kutosha, ila wajitayarishe na matokeo ya hayo..

Wasiwasi wangu, hili hawatolifanya kwani wao ni WAOGA.
 
Sidhani kwamba tumetofautiana na wala sio swala la kuwaachia nchi CCM. Lilikuwa ni swala la kutofahamiana lugha ingawa sote tunazungumza na kuandika Kiswahili.

Hili ni jambo la kheri. Wanasema kiswahili ni bahari. Lugha isitufarakanishe adui yetu ni mmoja.

"Wanasema waswahili mchele mmoja ..."

Hili la nchi kuwaachia CCM mimi nangojea akina mdude waongoze maandamano baada ya ule muda walouwka wa siku 30 kumalizika. Hivyo ndivyo nilivyoahidi kwamba tutashiriki pamoja iwapo tu yeye mwenyewe atashiriki.

Hii vita haihitaji kusubiriana. Wakati Mdude anaandaa kuni, hakusimamiahi wengine kuandaa nyanya, mdarasini, pilipili hoho, karoti, au wengine kwenda kuleta chumvi au mafuta ya alizeti.

Ninavyofahamu Watanganyika ni waoga naye hatoshiriki. Ukiangalia comment yangu kwenye ule uzi, nilishauri wapate ushauri kutoka kule upande wa pili kwani wao wanao uzoefu wa kutosha, ila wajitayarishe na matokeo ya hayo..

Watanganyika si waoga ndugu yangu. Kujiridhisha tambua tulili himili vilivyo lile jiwe lenyewe kutokea Chatto.

Kwani Kizimkazi nanyi mna mawe kama yale ya pande za kwetu?

Wasiwasi wangu, hili hawatolifanya kwani wao ni WAOGA.

Kwa vile unasibiri wewe kaa tuli, kwa kutulia ila kitanuka hapa. Dkt. Slaa anao uzoefu sana kwenye harakati ndume hizi.

Hayo pembeni, makwetu twaitisha kurejea ubaoni, Nini maoni yenu? Vipi kuhusiana na ACT huko mwajiona je wenzetu? Nchi mwachukua au nanyi mmejipanga kulia lia kama ilivyo ada?[/QUOTE][/QUOTE][/QUOTE]
 
Hii vita haihitaji kusubiriana. Wakati Mdude anaandaa kuni, hakusimamiahi wengine kuandaa nyanya, mdarasini, pilipili hoho, karoti, au wengine kwenda kuleta chumvi au mafuta ya alizeti.
Sawa nipo nangojea, Mungu akipenda.
Watanganyika si waoga ndugu yangu. Kujiridhisha tambua tulili himili vilivyo lile jiwe lenyewe kutokea Chatto.
Hapa umenena!
Kwa vile unasibiri wewe kaa tuli, kwa kutulia ila kitanuka hapa. Dkt. Slaa anao uzoefu sana kwenye harakati ndume hizi.
Mkuu nimekaa mkao wa kula
Hayo pembeni, makwetu twaitisha kurejea ubaoni, Nini maoni yenu? Vipi kuhusiana na ACT huko mwajiona je wenzetu? Nchi mwachukua au nanyi mmejipanga kulia lia kama ilivyo ada?
Huku huwa tunasubiri filimbi tu. Nadhani una habari na taarifa zake. Historia ni shahidi. Tatizo letu ni kutoka Tanganyika kuingilia kati kwa hofu ya uongo aliyoielezea Lukuvi. Wakituachia mambo yetu kitajulikana.
 
Sawa nipo nangojea, Mungu akipenda.
Hapa umenena!
Mkuu nimekaa mkao wa kula
Huku huwa tunasubiri filimbi tu. Nadhani una habari na taarifa zake. Historia ni shahidi. Tatizo letu ni kutoka Tanganyika kuingilia kati kwa hofu ya uongo aliyoielezea Lukuvi. Wakituachia mambo yetu kitajulikana.

Sikuwa nimeona Hii kabla, mambo mengi:

"Huku huwa tunasubiri filimbi tu. Nadhani una habari na taarifa zake. Historia ni shahidi. Tatizo letu ni kutoka Tanganyika kuingilia kati kwa hofu ya uongo aliyoielezea Lukuvi. Wakituachia mambo yetu kitajulikana."

Nimeipenda hiyo. Ninaamini hata sisi inshallah tuko pazuri kuliko wakati mwingine wowote.

Kuujua ukali wa mlima wa kupanda huwa ni jambo la kheri kuliko kuupanda bila kuwa na ufahamu wote.
 
Back
Top Bottom