Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,863
- 62,389
Elimu kabla ya kufanya mtihani kwanza
Gazeti la Tanzania Daima liko wapi,liliwasaidia sana CDM.
Elimu kabla ya kufanya mtihani kwanza
MUNGU aliyeonekana kule Gabon... Aonekane na huku pia!
Nyomi si kigezo pekee au kikuu cha ushindi kwenye uchaguzi,kimejaribiwa ikashindikana miaka kadhaa eg kipindi cha Lowassa badilisheni style na mbinu za ushindi.
Ni suala la muda tu... nikiwa hai au ukiwa haupo!Hata ndiyo yale madua ya kuku .. siyo ya kulalia mlango wazi.
Mzee Cleopa Msuya majuzi amekiri wazi kuwa ccm wanategemea dola kubaki madarakani. Otherwise hawanatoshi!Kama tume ya uchaguzi ni chini ya adversary na goli la mkono linaruhusiwa hara uwe na nyomi ya ncho nzima hushindi.
Kutambua wizi ni sehemu ya mchezi na kulia lia ni kuonyesha upoyoyo ni hatua njema kwenye kujizatiti kujipanga strategically.
Pa kuanzia kuweka uhai habari na propaganda. Hili kitengo kingewekwa Moja Kwa Moja chini ya TAL, Mwabukusi, Mdude au hata kupata huduma za Dkt. Slaa ingependeza zaidi.
Nyomi isiyokuwa na tija kwenye hatima ya maamuzi Haina maana yoyote.
Ni suala la muda tu... nikiwa hai au ukiwa haupo!
Inaweza kuchukua hata miaka 200... Wananchi wakijitambua mapema itakuwa mapema zaidiHuu muda kumbuka umeanza kuhesabu tqngia 1995 na wenyewe wakijinasibu wangalipo sana hata miaka 100+.
Mzee Cleopa Msuya majuzi amekiri wazi kuwa ccm wanategemea dola kubaki madarakani. Otherwise hawanatoshi!
Inaweza kuchukua hata miaka 200... Wananchi wakijitambua mapema itakuwa mapema zaidi
Elimu ikikolea pressure itakolezwa!Hilo si jipya Kwani CCM yote inalijua hilo na Hadi vijijini huko wanajua. Tatizo liko kwenye kuwashawishi kutema mzigo. Wanatema Kwa pressure ipi?
Siku zao zaja ,asema BwanaCCM hufunga magoli hata kwa mikono. Yaliwakuta kwa Ali Bongo kama kina Chamisa kwa Munangagwa.
Siku zao zaja ,asema Bwana