Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Nani asiyezijua ghiliba na faulo za CCM? Hii ikiwa tokea kwenye kucheza visivyo na taasisi za umma? Kununua wapinzani na ikibidi hata kukimbia na masanduku ya kura mchana mchana?

Wananchi kote nchini wamechoshwa na uhuni wao huu. Kinachokosekana ni mbadala wa waliodhamiria kufanya kweli kwa vitendo. Siyo kwa maneno!

"Kwamba kote mnakokwenda kuna nyomi la kufa mtu? Kwamba hivyo ni kote hadi usukumani Chatto na hata Kizimkazi, Makunduchi huko?

"Kwani hiyo bado ni habari tena? Tulipo sasa ni kuwa, nyomi ipo; sawa! Halafu?"

CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

Pamoja na nyomi lote, mwizi mbobezi wa kura mbona anamaliza mchezo asubuhi na mapema tu? Kwani Ali Bongo au Munangagwa ilikuwaje? Au hata 2015 na pia 2019/20 nako je?

"Ilihitajika katiba mpya yenye mazingira sawa na ya haki kwa wote. Kuna hatari kuwa katiba mpya haitakuwapo kwenye uchaguzi mkuu huu unaokuja."

Kwani ilikuwa ni lazima ufanyike 2024/25?

Inafahamika kuwa ni kwa maslahi ya CCM, katiba mpya isiwepo. Hii angalau iwe hivyo hadi chaguzi za 2029/30.

Cha kujiuliza, "Kwa hiyo?"

"Hata kama kutakuwa na tume huru, bila Mahakama huru, bado ngoma iko pale pale." Kumbe kimbilio letu wakifanya yale mambo yao litakuwa wapi?

Kususia uchaguzi hakuwezi kuwa dili. Alisusa Seif na bado watu wakala kwa raha zao. Labda kama ni kuusimamisha kabisa, wote usiwepo, kama tunaweza.

"Kama kuusimamisha hatuwezi ni muhimu kujipanga kuona tunashinda uchaguzi huu ndani ya rafu zao zote zilizopo. Hii ikiwa zote tunazozijua au hata tunazoweza kuzibashiri.

Kujipanga kwa ushindi ndani ya rafu zao inawezekana. Hata hivyo huko hakuwezi kufanikishwa tokea majukwaani. Sana sana labda kutokea kwenye drawing boards, chini ya wapanga mikakati wabobezi wenye kueleweka.

Kitengo cha habari na propaganda hakiwezi kuwa hiki kilichopo. Kilichopo hakijui habari ni nguvu wala hata hakiijui nguvu ya habari. Hiki hakijui hata namna ya kuzi shape siasa za nchi kuelekea tunakotaka sisi pasipokuwa na kutumia nguvu au bila ya kutumia nguvu kubwa mno.

Hiki kilichopo, kama kipo, hakifai. Akiita jiwe ni jipu!

"Hiki kilikuwa ni cha kuanza nacho."

Kama chama ni muhimu kuwa na namna thabiti ya kuwadhibiti wanachama wake. Wakiwamo hata wale uchwara wa mitandaoni. Ikibidi hata kwa kuwakana hadharani tu, ilikuwa inatosha sana.

Tutamtoa CCM tukishirikiana na wengine bila kujali majina yao ali mradi tunaokubaliana nao kwa wakati husika. Tukawapate wapi malaika, ya Rabi vidampa sisi?!

Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

Hatutamtoa CCM tukitumia Malaika. Kwenye hilo tunapaswa kuwa wakali kweli kweli, ikibidi hata tukiwa na bakora mikononi.

Chama chenye malengo ya kuchukua nchi hakiwezi kuendekeza upuuzi au hata wapuuzi wachache wenye kujinasibu nacho.

Chama chenye kulenga kuchukua nchi katika hali yetu kinapaswa kudhamiria na kuonekana hivyo ikiwamo hata kwa mwonekano wa usoni tu.

Wawekwe pembeni wote walioko chamani kifursa.

Iwe kazi tu!

Jiwe yeye akisema; "Hapa Kazi tu." Kwa hakika alimaanisha.

Haipo namna nyingine.
 
Nani asiyezijua ghiliba na faulo za CCM? Hii ikiwa tokea kwenye kucheza visivyo na taasisi za umma? Kununua wapinzani na ikibidi hata kukimbia na masanduku ya kura mchana mchana?

Wananchi kote nchini wamechoshwa na uhuni wao huu. Kinachokosekana ni mbadala wa waliodhamiria kufanya kweli kwa vitendo. Siyo kwa maneno!

"Kwamba kote mnakokwenda kuna nyomi la kufa mtu? Kwamba hivyo ni kote hadi usukumani Chatto na hata Kizimkazi, Makunduchi huko?

"Kwani hiyo bado ni habari tena? Tulipo sasa ni kuwa, nyomi ipo; sawa! Halafu?"

CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

Pamoja na nyomi lote, mwizi mbobezi wa kura mbona anamaliza mchezo asubuhi na mapema tu? Kwani Ali Bongo au Munangagwa ilikuwaje? Au hata 2015 na pia 2019/20 nako je?

"Ilihitajika katiba mpya yenye mazingira sawa na ya haki kwa wote. Kuna hatari kuwa katiba mpya haitakuwapo kwenye uchaguzi mkuu huu unaokuja."

Kwani ilikuwa ni lazima ufanyike 2024/25?

Inafahamika kuwa ni kwa maslahi ya CCM, katiba mpya isiwepo. Hii angalau iwe hivyo hadi chaguzi za 2029/30.

Cha kujiuliza, "Kwa hiyo?"

"Hata kama kutakuwa na tume huru, bila Mahakama huru, bado ngoma iko pale pale." Kumbe kimbilio letu wakifanya tale mambo yao litakuwa wapi?

Kususia uchaguzi hakuwezi kuwa dili. Alisusa Seif na bado watu wakala kwavraha zao. Labda kama ni kuusimamisha kabisa, wote usiwepo, kama tunaweza.

"Kama kuusimamisha hatuwezi ni muhimu kujipanga kuona tunashinda uchaguzi huu ndani ya rafu zao zote zilizopo. Hii ikiwa zote tunazozijua au hata tunazoweza kuzibashiri.

Kujipanga kwa ushindi ndani ya rafu zao inawezekana. Hata hivyo huko hakuwezi kufanikishwa tokea majukwaani. Sana sana labda kutokea kwenye drawing boards, chini ya wapanga mikakati wabobezi wenye kueleweka.

Kitengo cha habari na propaganda hakiwezi kuwa hiki kilichopo. Kilichopo hakijui habari ni nguvu wala hata hakiijui nguvu ya habari. Hiki hakijui hata namna ya kuzi shape siasa za nchi kuelekea tunakotaka sisi pasipokuwa na kutumia nguvu au kutumia nguvu kubwa mno.

Hiki kilichopo, kama kipo, hakifai. Akiita jiwe ni jipu!

"Hiki kilikuwa ni cha kuanza nacho."

Kama chama ni muhimu kuwa na namna thabiti ya kuwadhibiti wanachama wake. Wakiwamo hata wale uchwara wa mitandaoni. Ikibidi hata kwa kuwakana hadharani tu, inatosha sana.

Tutamtoa CCM tukishirikiana na wengine bila kujali majina yao alimradi tunaokubaliana nao kwa wakati husika. Tukawapate wapi malaika, ya Rabi vidampa sisi?!

Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

Hatutamtoa CCM tukitumia Malaika. Kwenye hilo tunapaswa kuwa wakali kweli kweli, ikibidi hata tukiwa na bakora mikononi.

Chama chenye malengo ya kuchukua nchi hakiwezi kuendekeza upuuzi au hata wapuuzi wachache wenye kujinasibu nacho.

Chama chenye kulenga kuchukua nchi katika hali yetu kinapaswa kudhamiria na kuonekana hivyo ikiwamo hata kwa mwonekano wa usoni tu.

Wawekwe pembeni wote walioko chamani kifursa.

Iwe kazi tu!

Jiwe yeye akisema; "Hapa Kazi tu." Kwa hakika alimaanisha. Haipo namna nyingine.
Ccm dawa yao imeisha iva , bado kuinywa tu, wamezoea kila siku biashara kama kawa , sasa wasubiri this time , hawataamini macho yao
 
CDM hawaendi na mikakati kisasa kwa vile hawashambulii kiini cha kushindwa kwao uchaguzi,mbinu na mikakati ibadilike ikiwa ni pamoja na wao kuwa karibu na vyombo vya dola badala ya kutumia mbinu za kupambana navyo,matusi,kuvidharau, kashfa nk. aidha CDM wapenye ndani ya mfumo wa ccm,wapo ambao ni hostile humo ndani wawatumie kuungwa mkono na kupata siri za mafanikio, wakurugenzi wa halmashauri wawasogelee(friendly) badala ya kuwashambulia na kujenga uhasama nao, aidha kutegemea majukwaa tu na wananchi pekee kama chimbuko la ushindi haitoshi, kiukweli uchaguzi ni vita mchanganyiko,kulingana na silaha zinazotumika na wenzenu wa CCM ,ni mchanganyiko wa mbinu na silaha ili kuhami kura kisawa sawa ukiwemo uporaji,km alivyo kinyonga huja na rangi mbalmbali kulingana na mazingira na wakati uliopo,CDM kuweni hivyo badala ya kulialia na kususa. Kwa maoni yangu Maridhiano nayo ilikuwa njia mojawapo sahihi isingeachwa kabisa, mkategemea(mabavu) nguvu ya umma pekee, iko wapo, je ushawishi wa mapambano mnao?Kwa kufanya haya labda hapo mtaweza. Kutegemea katiba mpya pekee bila kucheza na mazingira wezeshi ya desturi,utamaduni na fitna za ki ccm, No ushindi! kushinda.Afadhali kwa sasa mnapenya mpaka vijijini na kwenye taasisi za kidini, wanahabari, NGO. Mjikite pia kwenye sera zenu mueleweke. It will take a century bila kupiga mashambulizi covert& overt kwa kila upande in a short and long term bila aibu .Hata hivyo Poleni na kupuyanga au misele ya vijijini!
 
CDM hawaendi na mikakati kisasa kwa vile hawashambulii kiini cha kushindwa kwao uchaguzi,mbinu na mikakati ibadilike ikiwa ni pamoja na wao kuwa karibu na vyombo vya dola badala ya kutumia mbinu za kupambana navyo,matusi,kuvidharau, kashfa nk. aidha wapenye ndani ya mfumo wa ccm,wapo ambao ni hostile humo ndani wawatumie kuungwa mkono na kupewa siri za mafanikio, wakurugenzi wa halmashauri wawasogelee(friendly) badala ya kutegemea majukwaa tu, na wananchi haitoshi, kiukweli ni vita mchanganyiko,kulingana na silaha zinazotumika na wenzenu,ni mchanganyiko wa mbinu nyingi mno kujihami km alivyo kinyonga, badala ya kulialia na kususa. kwa kufanya haya labda hapo wataweza. Kutegemea katiba pekee bila kucheza na mazingira wezeshi ya desturi,utamaduni na fitna za ki ccm, No kushinda.Afadhali kwa sasa mnapenya mpaka vijijini na kwenye taasisi za kidini, wanahabari, NGO. Mjikita kwenye sera meleweke. It will take a century bila kupiga mashambulizi covert& overt kwa kila upande in a short and long term bila aibu .hata hivyo Poleni na kupuyanga!

Bila kwenda both covert and overt hakuna mafanikio.

Kitengo habari na propaganda ni lazima kuwa na watu mahiri wasiolala.

Sasa hivi hata id binafsi za watu zinatema cheche zao kuliko wao. Ushindi upatikane vipi hapo?

Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia
 
Unaweza ukafafanua kwa kina please?

Kuwa na tume huru hakuna maana yoyote kwani kukichezwa rafu anayeamua ni mahakama.

Kama mahakama haikuwekewa mazingira sahihi ya kuwa na uhuru wake kamili malalamiko ya nyani kala mahindi yatamkuta hakimu ngedere kwenye ubora wake. Halafu itakuwa je?

Ni heri kuwa na mahakama huru kuliko hata kuwa na tume huru. Kinacho wabeba Kenya ni mahakama huru.

Zingatia uhuru wa mahakama ni tokea kwenye katiba, uteuzi wa majaji hadi kwenye maamuzi.

Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na hata Rutto wanaijua vyema joto na faraja ya mahakama kuwa huru.

Bila hivyo uchaguzi utaibiwa na hakuna lolote la maana litaidhibiti hali hiyo.
 
icho anachokifanya Lisu ndicho kinachohitajika kufanyika kwa sasaivi, akija kuanza ubaoni atakuwa anaeleweka na kila mtu. sasaivi anaenda uso kwa uso kwa wananchi wamuelewe uso kwa uso.

Anachofanya Lissu kwa kitengo hiki cha habari na propaganda kama kipo kinapewa wapi publicity?

Au unadhani kazi hiyo itafanywa na TBC, Channel 10 au ITV mwaka 2026?

Kulikoni habari zao zinazopotoshwa hapa na pale au hata kupambana na negative publicity kutokea kwa mahasimu wao kama CCM na vibaraka wao?

Kuna wanachama wanaotanga astray Kwa kukosa miongozo. Imekuwa kama vifaranga wa kuku kila mmoja kuchakura kivyake.

"Bila kurudi kwenye drawing board kwanza kuweka mambo sawa, yanayoendelea ni kama kuvuja kwa pakacha.

Nyomi isiyo tafsirika kwenye uwanda wa maamuzi kwa sababu yoyote haisaidii.

Tujipange kwa ushindi ndani au nje ya wizi wao.

Ni wazi kuwa ma CCM na washirika wao hawawezi kuupenda ushauri huu.

Vipi ndugu, wewe ni mmoja wao?
 
Anachofanya Lissu kwa kitengo hiki cha habari na propaganda kama kipo kinapewa wapi publicity?

Au unadhani kazi hiyo itafanywa na TBC, Channel 10 au ITV mwaka 2026?

Kulikoni habari zao zinazopotoshwa hapa na pale au hata kupambana na negative publicity kutokea kwa mahasimu wao kama CCM na vibaraka wao?

Kuna wanachama wanaotanga astray Kwa kukosa miongozo. Imekuwa kama vifaranga wa kuku kila mmoja kuchakura kivyake.

"Bila kurudi kwenye drawing board kwanza kuweka mambo sawa, yanayoendelea ni kama kuvuja kwa pakacha.

Nyomi isiyo tafsirika kwenye uwanda wa maamuzi kwa sababu yoyote haisaidii.

Tujipange kwa ushindi ndani au nje ya wizi wao.

Ni wazi kuwa ma CCM na washirika wao hawawezi kuupenda ushauri huu.

Vipi ndugu, wewe ni mmoja wao?
ameenda kupanda mbegu kwa watu uso kwa uso, wakati wa publicity ukifika ambao ni mwakani serikali za mtaa, itakuwa rahisi sana.
 
Mbona unaongelea Kenya na sio Zambia?

Ningeongelea Zambia usingeniuliza mbona siongelei Kenya kweli?

"Hadi hapo ungali huuoni umuhimu wa mahakama huru?"

Zambia usisahau UNIP replica ya CCM, RPF, MPLA, FRELIMO, NRM nk haipo madarakani.

Kujilinganisha na Zambia isiyokuwa na UNIP madarakani ni kujidanganya.

Tujilinganishe na Rwanda, Uganda, Zimbabwe na wa namna hiyo huko.
 
ameenda kupanda mbegu kwa watu uso kwa uso, wakati wa publicity ukifika ambao ni mwakani serikali za mtaa, itakuwa rahisi sana.

Kwani kuweka mikakati na kusafisha nyumba yote inavyopaswa ni zoezi la siku ngapi ndugu?

Kwanini taarifa zake au Mbowe au Chadema huko au popote hazipewi publicity popote? Kwako hiyo ni sawa?

Na mikakati sahihi tunashindwa uchaguzi huu hata kama ni Kwa goli la mkono.
 
CDM hawaendi na mikakati kisasa kwa vile hawashambulii kiini cha kushindwa kwao uchaguzi,mbinu na mikakati ibadilike ikiwa ni pamoja na wao kuwa karibu na vyombo vya dola badala ya kutumia mbinu za kupambana navyo,matusi,kuvidharau, kashfa nk. aidha wapenye ndani ya mfumo wa ccm,wapo ambao ni hostile humo ndani wawatumie kuungwa mkono na kupewa siri za mafanikio, wakurugenzi wa halmashauri wawasogelee(friendly) badala ya kutegemea majukwaa tu, na wananchi haitoshi, kiukweli ni vita mchanganyiko,kulingana na silaha zinazotumika na wenzenu,ni mchanganyiko wa mbinu nyingi mno kujihami km alivyo kinyonga, badala ya kulialia na kususa. kwa kufanya haya labda hapo wataweza. Kutegemea katiba pekee bila kucheza na mazingira wezeshi ya desturi,utamaduni na fitna za ki ccm, No kushinda.Afadhali kwa sasa mnapenya mpaka vijijini na kwenye taasisi za kidini, wanahabari, NGO. Mjikita kwenye sera meleweke. It will take a century bila kupiga mashambulizi covert& overt kwa kila upande in a short and long term bila aibu .hata hivyo Poleni na kupuyanga!
Ushauri murua kabisa, wasipoufuata wasahau

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ccm dawa yao imeisha iva , bado kuinywa tu, wamezoea kila siku biashara kama kawa , sasa wasubiri this time , hawataamini macho yao

CCM hufunga magoli hata kwa mikono. Yaliwakuta kwa Ali Bongo kama kina Chamisa kwa Munangagwa.
 
Naamini muelekeo wa siasa zetu utaenda kubadilika baada ya miezi miwili ijayo, kuna jambo wapinzani wataenda kujifunza, hapo ndipo watakapotambua siasa zetu zinatakiwa kuhama kutoka kwenye maneno na kuelekea kwenye vitendo zaidi ili kufikia malengo waliyojiwekea.
 
Nani asiyezijua ghiliba na faulo za CCM? Hii ikiwa tokea kwenye kucheza visivyo na taasisi za umma? Kununua wapinzani na ikibidi hata kukimbia na masanduku ya kura mchana mchana?

Wananchi kote nchini wamechoshwa na uhuni wao huu. Kinachokosekana ni mbadala wa waliodhamiria kufanya kweli kwa vitendo. Siyo kwa maneno!

"Kwamba kote mnakokwenda kuna nyomi la kufa mtu? Kwamba hivyo ni kote hadi usukumani Chatto na hata Kizimkazi, Makunduchi huko?

"Kwani hiyo bado ni habari tena? Tulipo sasa ni kuwa, nyomi ipo; sawa! Halafu?"

CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

Pamoja na nyomi lote, mwizi mbobezi wa kura mbona anamaliza mchezo asubuhi na mapema tu? Kwani Ali Bongo au Munangagwa ilikuwaje? Au hata 2015 na pia 2019/20 nako je?

"Ilihitajika katiba mpya yenye mazingira sawa na ya haki kwa wote. Kuna hatari kuwa katiba mpya haitakuwapo kwenye uchaguzi mkuu huu unaokuja."

Kwani ilikuwa ni lazima ufanyike 2024/25?

Inafahamika kuwa ni kwa maslahi ya CCM, katiba mpya isiwepo. Hii angalau iwe hivyo hadi chaguzi za 2029/30.

Cha kujiuliza, "Kwa hiyo?"

"Hata kama kutakuwa na tume huru, bila Mahakama huru, bado ngoma iko pale pale." Kumbe kimbilio letu wakifanya tale mambo yao litakuwa wapi?

Kususia uchaguzi hakuwezi kuwa dili. Alisusa Seif na bado watu wakala kwavraha zao. Labda kama ni kuusimamisha kabisa, wote usiwepo, kama tunaweza.

"Kama kuusimamisha hatuwezi ni muhimu kujipanga kuona tunashinda uchaguzi huu ndani ya rafu zao zote zilizopo. Hii ikiwa zote tunazozijua au hata tunazoweza kuzibashiri.

Kujipanga kwa ushindi ndani ya rafu zao inawezekana. Hata hivyo huko hakuwezi kufanikishwa tokea majukwaani. Sana sana labda kutokea kwenye drawing boards, chini ya wapanga mikakati wabobezi wenye kueleweka.

Kitengo cha habari na propaganda hakiwezi kuwa hiki kilichopo. Kilichopo hakijui habari ni nguvu wala hata hakiijui nguvu ya habari. Hiki hakijui hata namna ya kuzi shape siasa za nchi kuelekea tunakotaka sisi pasipokuwa na kutumia nguvu au kutumia nguvu kubwa mno.

Hiki kilichopo, kama kipo, hakifai. Akiita jiwe ni jipu!

"Hiki kilikuwa ni cha kuanza nacho."

Kama chama ni muhimu kuwa na namna thabiti ya kuwadhibiti wanachama wake. Wakiwamo hata wale uchwara wa mitandaoni. Ikibidi hata kwa kuwakana hadharani tu, inatosha sana.

Tutamtoa CCM tukishirikiana na wengine bila kujali majina yao alimradi tunaokubaliana nao kwa wakati husika. Tukawapate wapi malaika, ya Rabi vidampa sisi?!

Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

Hatutamtoa CCM tukitumia Malaika. Kwenye hilo tunapaswa kuwa wakali kweli kweli, ikibidi hata tukiwa na bakora mikononi.

Chama chenye malengo ya kuchukua nchi hakiwezi kuendekeza upuuzi au hata wapuuzi wachache wenye kujinasibu nacho.

Chama chenye kulenga kuchukua nchi katika hali yetu kinapaswa kudhamiria na kuonekana hivyo ikiwamo hata kwa mwonekano wa usoni tu.

Wawekwe pembeni wote walioko chamani kifursa.

Iwe kazi tu!

Jiwe yeye akisema; "Hapa Kazi tu." Kwa hakika alimaanisha.

Haipo namna nyingine.
I am glad umeiweka hapa
Chadema ziara is enough wananchi wamesikia take a break mdeal na what is at stake.. Nchi imefika pabaya. Okoeni nchi ziara hazitaokoa tulipo..
 
Naamini muelekeo wa siasa zetu utaenda kubadilika baada ya miezi miwili ijayo, kuna jambo wapinzani wataenda kujifunza, hapo ndipo watakapotambua siasa zetu zinatakiwa kuhama kutoka kwenye maneno na kuelekea kwenye vitendo zaidi ili kufikia malengo waliyojiwekea.

Isiwe dua la kuku. Nyomi huchizisha. Kuna hatari kuwa tushindwa kutambua matumizi ya nyomi.

Kumbuka hatukumwunga mkono Ndugai, Bashiru, Pole pole, Mwingira na wengi wengine.

Sasa hivi chawa wameelekeza madongo yao kwa kina Slaa.

Matamko rasmi au muhimu ya chama yanachelewa mno au hata kutokuwapo kabisa.

Kulihitajika chaguzi kwa nafasi zote chamani tokea chini hadi juu. Wakapewa watu nafasi kwa umahiri na kupigwa chini bIla kuchelewa wasipokidhi mategemeo.

Siasa ni sayansi tunaweza kuwa tunakosa mtu wa callibre ya chikwette (cunning} kama mwana mikakati.

Chadema na chikwette mmoja ingechukua nchi mapema asubuhi.
 
I am glad umeiweka hapa
Chadema ziara is enough wananchi wamesikia take a break mdeal na what is at stake.. Nchi imefika pabaya. Okoeni nchi ziara hazitaokoa tulipo..

Wanasema mwenye masikio na asikie
 
Isiwe dua la kuku. Nyomi huchizisha. Kuna hatari kuwa tushindwa kutambua matumizi ya nyomi.

Kumbuka hatukumwunga mkono Ndugai, Bashiru, Pole pole, Mwingira na wengi wengine.

Sasa hivi chawa wameelekeza madongo yao kwa kina Slaa.

Matamko rasmi au muhimu ya chama yanachelewa mno au hata kutokuwapo kabisa.

Kulihitajika chaguzi kwa nafasi zote chamani tokea chibi hadi juu. Wakapewa watu nafasi kwa umahiri na kupigwa chini bIla kuchelewa wasipokidhi mategemeo.

Siasa ni sayansi tunaweza kuwa tunakosa mtu wa callibre ya chikwette (cunning} kama mwana mikakati.

Chadema na chikwette mmoja ingechukua nchi mapema asubuhi.
Gazeti la Tanzania Daima liko wapi,liliwasaidia sana CDM kipropoganda na lilikuwa na wasomaji wengi.
 
Back
Top Bottom