Naifutlia na najua kwamba wanadhulumiwa. Iowa hutaki uekwe Kwenye kundi lá ccm kwannin unawaita magaidi. Ushahidi unao? Dhulma haitawaacha salama.Unaifuatilia vizuri hii kesi? Alafu usiniweke sawa na serikali ya Ccm
kesi iliyopo mahakamani inasemaje? Sio ugaidiNaifutlia na najua kwamba wanadhulumiwa. Iowa hutaki uekwe Kwenye kundi lá ccm kwannin unawaita magaidi. Ushahidi unao? Dhulma haitawaacha salama.
Lissu siyo saizi ya Magufulu, huyo Mbeligiji tumemuacha ahangaike na chipukizi wa UVCCM tu.Hivi hii hoja Magufuli aliwahi kuijibu popote?
Wahuni tena ambao hawajaenda shule.Ukitakaa kuamini Wafuasi Wa CHEDEMA WENGI NI WAHUNI ni Leo Sugu kapita Sokoni Anaiimbiwa Rais, Rais, RaisNimecheka sana Sijui CHADEMA URAIS WANAUCHUKULIAJE ... Hiki chama Kinahitajii Neema ya Mungu kuwepo mpka 2025 maana Kinaongozwa Na Wahuni wapiga deal. Ila Safarii hii kimekutana Na CHUMA mwisho wake umefikaaa
HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUN
Kama laana ni maendeleo haya yanayo okena nchi nzima basi sawa ! Maana hata yule bwana ameanza kusema atajenga barabara za vijijini na daraja la ziwani Victoria kutoka kisorya hadi ukerewe ! Laana oyeee !CCM ni laana
Gari la mkaa liko gereji!Lissu siyo saizi ya Magufulu, huyo Mbeligiji tumemuacha ahangaike na chipukizi wa UVCCM tu.
Pole kwa hizo feelings mkuu.Ibilisi mnywa damu za watu ataijibu hii hoja kweli ? Bloodsucker wa kihutu .
Wakoloni wamefanya yote haya na kuzidi,, umewai kujiuliza kwanini bado tuliwataka waondoke?Kama laana ni maendeleo haya yanayo okena nchi nzima basi sawa ! Maana hata yule bwana ameanza kusema atajenga barabara za vijijini na daraja la ziwani Victoria kutoka kisorya hadi ukerewe ! Laana oyeee !
Povu ruksaaa !
Waliyafanya hayo kwa maslahi yao ! Walijenga reli ilikufanikisha uchukuzi na wizi wa mali zetu. Walijenga shule kufundisha matarishi na vibaraka. Walijenga barabara kufanikisha uchukuzi na wizi wa mali zetu ! Europe heavily underdeveloped African countries (colonies) ! It is crystal clear! Halafu eti yule mgombea anasema atarudisha mahusiano 'mema' na wazungu ! Com'on dude ! Since when the white man is a friend of Africans?Wakoloni wamefanya yote haya na kuzidi,, umewai kujiuliza kwanini bado tuliwataka waondoke?
Sasa kwani Lowassa aliutwaa urais? Mbona hujielewi jombaa?!!kwa nini kila uchaguzi wanasiasa wanatumia Mashek wa uamsho kama kete ya kutaka kura? kama hao mashee wana haki kwa nini hawapewi lkn ktk kila kipindi cha uchaguzi utasikiaa wagombea wana watumia kama kete....halafu uchaguzi ukiisha hakuna atakaye wazungumzia!! Lowasa aliiahidi hivyo hivyo ktk uchaguzi wa mwaka 2015 Lisu naye tena mwaka huu 2020...kuna jambo la kutafakari
Kwenj yeye ataibadirisha sheria? Hao mashehe mnajuaje kama kuna ukwei na walikua ni watu hatari? Mnadhani Rais yeye hajui au watu wa usalama hawajui? Yamkini mnaongela watu hatari sana bila ninyi kujuaView attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
lissu huna akili hivi jakaya kawaacha humo ndani na walikamatwa kipindi chake na yeye ni muislamu mwenzao wewe na upuuzi wako hujui hta kuomba kura unafikiri ndiyo njia ya kupatia kura hiyo? honi sasa zanzibar imetulia? wana kesi ya kujibu hao usifikiri watu hawajui wewe pekeyako ndiyo hujui au unajua akini unajitoa akili tu
Cha ajabu kiko wapi?, Acha wivu sheikh.
Basi leta Uzi wako, halafu uwe watatu kucomment!unakuwa na roho mbaya kama wanachama wa kijani bana. Nimemsaidia kukujibu, bila shaka ameona haina haja ya kukujibu
HAO ni hatari kuliko wauaji kwa mustakabari wa taifa hasa zanzibarRelax mkuu,wapo waliofanya mpaka mauaji na kesi zao zmekwisha,vp hawa masheikh ambao haijulikan hatima yao???
Wanaccm woòoteeeeView attachment 1602807
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.
Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.
Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.
Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Sheria za jf zinakataza mtu kufanya hivyo ?Umeleta Uzi alafu unakuwa mtu wa pili Ku comment baada ya kuanzisha Uzi.
Vituko!
Miaka mitano ni mingi sana kwa magufuliUkiwa kichaa kabisa kabisa, unaweza kumpigia kura Ndugu.
Ukiwa na akili timamu unaweza kumpigia kura Dkt. JPM.
HAO ni hatari kuliko wauaji kwa mustakabari wa taifa hasa zanzibar