Uchaguzi 2020 Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru

Ukitakaa kuamini Wafuasi Wa CHEDEMA WENGI NI WAHUNI ni Leo Sugu kapita Sokoni Anaiimbiwa Rais, Rais, Rais Nimecheka sana Sijui CHADEMA URAIS WANAUCHUKULIAJE ... Hiki chama Kinahitajii Neema ya Mungu kuwepo mpka 2025 maana Kinaongozwa Na Wahuni wapiga deal. Ila Safarii hii kimekutana Na CHUMA mwisho wake umefikaaa

HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUN
Wahuni tena ambao hawajaenda shule.
 
CCM ni laana
Kama laana ni maendeleo haya yanayo okena nchi nzima basi sawa ! Maana hata yule bwana ameanza kusema atajenga barabara za vijijini na daraja la ziwani Victoria kutoka kisorya hadi ukerewe ! Laana oyeee !

Povu ruksaaa !
 
Kama laana ni maendeleo haya yanayo okena nchi nzima basi sawa ! Maana hata yule bwana ameanza kusema atajenga barabara za vijijini na daraja la ziwani Victoria kutoka kisorya hadi ukerewe ! Laana oyeee !

Povu ruksaaa !
Wakoloni wamefanya yote haya na kuzidi,, umewai kujiuliza kwanini bado tuliwataka waondoke?
 
Wakoloni wamefanya yote haya na kuzidi,, umewai kujiuliza kwanini bado tuliwataka waondoke?
Waliyafanya hayo kwa maslahi yao ! Walijenga reli ilikufanikisha uchukuzi na wizi wa mali zetu. Walijenga shule kufundisha matarishi na vibaraka. Walijenga barabara kufanikisha uchukuzi na wizi wa mali zetu ! Europe heavily underdeveloped African countries (colonies) ! It is crystal clear! Halafu eti yule mgombea anasema atarudisha mahusiano 'mema' na wazungu ! Com'on dude ! Since when the white man is a friend of Africans?
 
kwa nini kila uchaguzi wanasiasa wanatumia Mashek wa uamsho kama kete ya kutaka kura? kama hao mashee wana haki kwa nini hawapewi lkn ktk kila kipindi cha uchaguzi utasikiaa wagombea wana watumia kama kete....halafu uchaguzi ukiisha hakuna atakaye wazungumzia!! Lowasa aliiahidi hivyo hivyo ktk uchaguzi wa mwaka 2015 Lisu naye tena mwaka huu 2020...kuna jambo la kutafakari
Sasa kwani Lowassa aliutwaa urais? Mbona hujielewi jombaa?!!
 
View attachment 1602807

Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.

Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.

Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Kwenj yeye ataibadirisha sheria? Hao mashehe mnajuaje kama kuna ukwei na walikua ni watu hatari? Mnadhani Rais yeye hajui au watu wa usalama hawajui? Yamkini mnaongela watu hatari sana bila ninyi kujua
 
Relax mkuu,wapo waliofanya mpaka mauaji na kesi zao zmekwisha,vp hawa masheikh ambao haijulikan hatima yao???
lissu huna akili hivi jakaya kawaacha humo ndani na walikamatwa kipindi chake na yeye ni muislamu mwenzao wewe na upuuzi wako hujui hta kuomba kura unafikiri ndiyo njia ya kupatia kura hiyo? honi sasa zanzibar imetulia? wana kesi ya kujibu hao usifikiri watu hawajui wewe pekeyako ndiyo hujui au unajua akini unajitoa akili tu
 
View attachment 1602807

Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila.

Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote.

Lissu amewauliza waislam wa nchi hii kwa nini hawapazi sauti kuhusu unyama wanaofanyiwa waislam wenzao? Hapo hapo akawaomba watumie kura yao vizuri katika uchaguzi huu ili ndugu zao waweze kuachiwa huru.

Tundu Lissu ameshangaa iweje mashekhe hao wasipelekwe mahakamani kama kweli wana kesi ya kujibu ili mahakama iweze kuamua kama wamevunja sheria ama lah.
Wanaccm woòoteeee
Someni Waraka wa Mtume Paulo kwa Wakolosai
Sura ya tatu , aya ya 25

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zetu wanateseka miaka mingi magerezani na wanafanyiwa vitendo viovu. God help us!
 
54 Reactions
Reply
Back
Top Bottom