Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,941
- 122,204
Mama aliposema yeye is equal to mwendazake, alitumia hekima sana kwa wafuasi wa mwendazake.Mama anakwenda vizuri. Bila shaka hata MATAGA wanakiri hilo maana Mama = JPM.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Matendo sasa ndio yewaacha midomo wazi