x-factor
Senior Member
- Aug 20, 2012
- 181
- 212
Acha kumfananisha lisu na vitu vya kijingaUnabishana na ukweli wewe gamba... Lissu ni sawa taasisi ya ccm
Acha kumfananisha lisu na vitu vya kijingaUnabishana na ukweli wewe gamba... Lissu ni sawa taasisi ya ccm
Umri wako tafadhali maana umeropoka
umri wangu sawa na baba yake kwa hiyo niheshimu.
kweli anatishia nafasi ya mbowe, yangu machoBaada ya mwanasheria mkuu wa chadema kutembelea watanzania wanaoshikiriwa na police huku wakidaiwa kupigwa na kikosi kasi bila kupelekwa mahakani kwa zaidi ya siku kumi kinyume na sheria za nchi
Mh Lissu aliongea na vyombo vya habari na kutoa siku tatu kwa jeshi la police ama kuwapeleka mahakamani ama kuwaachia huru
Mh Lissu aliaidi hadi jumanne tarehe 13.9.2016, atafungua shauri mahakamani kuwashitaki vigogo wote wa jeshi la police
Police watangaza kuwafikisha mahakamani vijana haes siku ya j4. Na kila mtuhumiwa atarudishwa mahara alipokamatiwa
Viva KAMANDA Lissu.... Taifa linajivunia uwepo wako
Umri wako tafadhali maana umeropoka
Kabla ya kusema ya kusema mtu kama wewe anza kwa kutueleza wewe ni nani kwanza.Mipasho peleka kwenye taarab.
Alaaniwe mtu anayemlaani mwenzie na watu wote waseme Amina
Sasa viva ya Nani hapo na Hali ndo utaratibu ndo upo hivo??!!Baada ya mwanasheria mkuu wa chadema kutembelea watanzania wanaoshikiriwa na police huku wakidaiwa kupigwa na kikosi kasi bila kupelekwa mahakani kwa zaidi ya siku kumi kinyume na sheria za nchi
Mh Lissu aliongea na vyombo vya habari na kutoa siku tatu kwa jeshi la police ama kuwapeleka mahakamani ama kuwaachia huru
Mh Lissu aliaidi hadi jumanne tarehe 13.9.2016, atafungua shauri mahakamani kuwashitaki vigogo wote wa jeshi la police
Police watangaza kuwafikisha mahakamani vijana haes siku ya j4. Na kila mtuhumiwa atarudishwa mahara alipokamatiwa
Viva KAMANDA Lissu.... Taifa linajivunia uwepo wako
hakika singida mashariki wamepata mbunge na mtetezi wa wanyonge....
Unauliza au unatujulisha?Sasa viva ya Nani hapo na Hali ndo utaratibu ndo upo hivo??!!
hakika singida mashariki wamepata mbunge na mtetezi wa wanyonge....
Nani kakuambia Wote wa humu wameelimika? Nani kasema walumumba wanafunzwa? REMEMBERWakati mwingine inabidi tuache siasa za kishabiki tuongee Kama watu tulio elimika. Kukubali Na kumpa credits mtu Ni uungwana bila kujali chama chako
Bila shaka unaelewa kuwa Lissu ni zaidi ya wabunge wote wa ccm ila ni ubishiacha maneno ya kijinga
Una maana Kidumu chama cha mapinduzi?Ulaaniwe na wote unaowapenda hasa wa kidumuuùuuuuùuuuuuuuuuu, ndioooooooooooooooooooòooooooooooooo