Lissu: Makinikia yameshaondoka, Hatujalipwa kitu, Acacia bado wanasafirisha dhahabu, Bombardier siyo mpya, Dreamliner haina kibali cha kuruka nje

Okay nimekuelewa. Nadhani wapinzani wasishindane na "leadership personality" ya rais aliyeko madarakani. Watashindwa hapo. Wanaingia kwenye kesi nyingi bila sababu muhimu. Watafute njia iliyo bora zaidi ys kufanya upinzani.

Hiyo njia bora inapatikana wapi? Huko kwenye majukwaa ya siasa watu wanapigwa vibaya. Bungeni wabunge wakiongea mashangazi wao watapigwa. Huyo aliyeko madarakani ndio kajitengenezea mazingira hayo.
 
Mkuu ndo maana mimi nasema aendelee kukaa huko huko,nimejaribu kuelezea hapa juzi matatizo ya Lissu na sababu za mpaka sasa anaishi na vyuma chakavu mwilini watu wakakasirika mpaka kunianzishia uzi hapa.Huyu jamaa ni mropokaji,mzushi,mzandiki na hatari kwa taifa hili. Alikuwa anaongea na kufanya lolote ili ionekane serikali hii haijafanya kitu na ndo anachokifanya baada ya kupata nafuu kidogo.Lissu Lissu dunia ni kijiji,endelea tu ila unachozidi kukitafuta utakipata tu.

Acha kutishia watu maisha wewe, nyie ndo wauaji wenyewe huku.mkijipa jina la wasiojulokana!. Kama nyie vidume kweli jionyesheni mbele ya watu waziwazi kuwa nyinyi ndo mnafanya huo ushenzi wa kuua watu mje muone mziki wake
 
Umejibu vizuri tatizo Lisu ni parrot yaani domokaya chochote akisikia kiwe hearsay yeye lazima abweke kujionyesha yuko well informed nk Ni domokaya hasa huyo aliyempa taarifa hiyo ni Yule mwongo mwingine Zitto Kabwe .Lisu kazivalia kidedea Bila Ku confirm.Highest placed source kwake ni Zitto Kabwe
kammma nawaona hapo shingo zilivowajaa kwa mihasira
mchezohuu hautaki hasira dadaangu
MTAPATA TAABU SANAAAAAA!!
Yaani mchezo ndo umianza
UPYAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Umejibu vizuri tatizo Lisu ni parrot yaani domokaya chochote akisikia kiwe hearsay yeye lazima abweke kujionyesha yuko well informed nk Ni domokaya hasa huyo aliyempa taarifa hiyo ni Yule mwongo mwingine Zitto Kabwe .Lisu kazivalia kidedea Bila Ku confirm.Highest placed source kwake ni Zitto Kabwe
vipi MAKINIKA oops! MAKINIKIA kontena mbona hazionekanooo? naskia mmijaza vumbi tu
 
Lissu acha uongo.. Mainjinia ndio wanarusha ndege? Ndege inarushwa na Pilots na wengi wameshaenda Simulator course ya Dreamliner na wanaruka wazawa.. Kwnn unakuwa muongo hivi?

Kuhusu mainjinia (AME) wameenda type rating course na wamefaulu na wana rating endorsed in their AME licences..!! Kwnini Lissu muongo hivi? Na ni wazawa..!! Alafu sheria ya IATA kuhusu kuruka International flight ni kuwa na ndege zaidi ya moja ya kufanya safari za International flights.. Na sio eti tumekosa IOSA-IATA certificate.. So once tukipata ndege ya pili ya masafa marefu next year, IATA itatoa certificate ya kufanya International flights, so huo ni utaratibu wa kawaida kabisa.. Ila sio hizo sbb Lissu alizosema.. Lissu muongo sana sana.. Hivi vitu ni very scientific & technical sio kama political barking Lissu anayofanya..!!:mad::mad::oops: And no one ana ubavu wa kupinga mambo ya kisayansi haya sio siasa hii..!!:mad::oops:
kammma nawaona hapo shingo zilivowajaa kwa mihasira
mchezohuu hautaki hasira dadaangu
MTAPATA TAABU SANAAAAAA!!
Yaani mchezo ndo umianza
UPYAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Mbona hiyo ni kazi ndogo, watakodisha ndege ya pili kwa muda wa miezi sita au mwaka na zitakuwa ndege mbili, pengine wamo kwenye huo mkakati.

Ubovu wetu sisi wa TZ, tunajua sana kuliko wenye elimu , lakini we are not productive at all. Tunajua kuponda vyakwetu. Leo hii wewe ukipata fursa nzuri au ukabahati mola akakujalia utajiri, basi watakao anza kukuponda na kukujengea mizingwe ni walio karibu yako.

Upuuzi mtupu, watakodisha?, Nani kakwambia kuwa watakodisha, wapi katika business plan yao wamesema watakodisha ndege katika kipindi hiki!
 
Lissu acha uongo.. Mainjinia ndio wanarusha ndege? Ndege inarushwa na Pilots na wengi wameshaenda Simulator course ya Dreamliner na wanaruka wazawa.. Kwnn unakuwa muongo hivi?

Kuhusu mainjinia (AME) wameenda type rating course na wamefaulu na wana rating endorsed in their AME licences..!! Kwnini Lissu muongo hivi? Na ni wazawa..!! Alafu sheria ya IATA kuhusu kuruka International flight ni kuwa na ndege zaidi ya moja ya kufanya safari za International flights.. Na sio eti tumekosa IOSA-IATA certificate.. So once tukipata ndege ya pili ya masafa marefu next year, IATA itatoa certificate ya kufanya International flights, so huo ni utaratibu wa kawaida kabisa.. Ila sio hizo sbb Lissu alizosema.. Lissu muongo sana sana.. Hivi vitu ni very scientific & technical sio kama political barking Lissu anayofanya..!!:mad::mad::oops: And no one ana ubavu wa kupinga mambo ya kisayansi haya sio siasa hii..!!:mad::oops:
Umejibu vizuri tatizo Lisu ni parrot yaani domokaya chochote akisikia kiwe hearsay yeye lazima abweke kujionyesha yuko well informed nk Ni domokaya hasa huyo aliyempa taarifa hiyo ni Yule mwongo mwingine Zitto Kabwe .Lisu kazivalia kidedea Bila Ku confirm.Highest placed source kwake ni Zitto Kabwe
Vipi kuhusu makinikia na kulipwa mahela yetu na wazungu?
Kuhusu kuuziwa bombadia kuu kuu je?
Utoroshaji wa madini nao ni uongo...?
 
Kama Lissu angekufa kwa zile risasi was it worth it? Unaweza kufanya oppositon (upinzani) "in a very wise manner" (kwa busara sana) kuliko hiyo njia ya kuropoka kwa kila kitu. Amefariki India mtu aliyejulikana kwa jina la Karunanidhi aliyekuwa mpigania haki za za Tamil aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tamil Nadu mara tatu. Anakumbukwa. Lissu amekuwa na kile wanachoita "opposition syndrome" (maradhi ya mpinzani). Kupinga tu. Tunataka kuiona busara yake. Amepoteza waunga mkono wengi kwa kushindwa kuchora mstari wa kulinda "integrity" yake (uadilifu wake) kama mpinzani. Hiyo ndiyo point yangu. Wapinzani wamekuwa "disillusioned" yaani (wamepoteza msimamo wa kiitikadi wa kwanza na kugeukia waliyoyakataa mwanzo). Huo ni ukweli uliomo katika upinzani. Wana "defect" (wanatorokea kwa adui) kwa wingi iwe kwa pesa ama la. Hakuna "ideology" (Itikadi) kule tena. Ni kelele tu. Slaa aliondoka na "ideological think tank" (Hazina ya kifikra) ya Chadema. Tulitegemea watu kama kina Lissu wangeendeleza ile "Struggle" ( yale mapambano yao) Hamna kitu!

Kupinga ujinga na ukurupukaji katika kuendesha nchi ni jambo la maana sana na ni adhimu sana na la heshima sana, maana mipango mibovu, utekelezaji mbovu vyote vinakwamisha juhudi zetu katika mapambano dhidi ya umasikini.
Lissu ameifanya kazi hii ya kupinga ukuripukaji katika kuendesha nchi kwa hoja zenye nguvu sana. Kizazi na kizazi kitamkumbuka kwa kazi adhimu.

Eti unazungumzia integrity, nani amebakiwa na Integrity katika chama twawala, jiwe?huoni uhuni katika kuerode misingi ya taifa?, Huoni demokrasia inavyonajisiwa kwa kuvunja sheria za nchi waziwazi?, huoni kodi za wananchi zinavyochomwa tu kurudiarudia chaguzi eti kwa sababu kuna wachumia tumbo wanaunga mkono jiwe?
Huoni watu waliotekwa na kupotea na hawajulikani walipo?
Huoni kauli za kibabe za kupiga mashangazi n.k?
Huoni double standard kwenye kuendesha nchi, baadhi ya watu wanafukuzwa vyeti feki lakini wengine wanapeta?
Huoni uwongo wa mchana, tunaambiwa tumeibiwa sana madini yetu zaidi ya trillion 424, lakini leo hii hatujapata senti hata moja!
Huoni nyongeza za mishshara ya wafanyakazi iliyopo kwa mujibu wa sheria haitolewi?
Wakulima wa korosho pesa yao watu wanataka kuichukua?
Ziko wapi Trillion 1.5?
Watu wanaitwa siyo raia kwa sababu ya mitizamo yao ambayo jiwe halipendi.

Sasa nikuulize wewe Nani Hana Integrity hapo Jiwe au Lissu?
 
Kuna mambo huwa nakubaliana na TL BT kuna mambo pia huwa sikubalian nae,
1.Anajifanya ana akili saaaana kuliko MTU yeyote probably hapa duniani(anaiita report ya makinikia kuwa 'professorial rubbish'). Kama mwana taaluma hii si saws.
2. Anakosoa tu bila kuonesha solution,kwa nn asiseme kama mwanasheria mahili ni nini altimate solution ya anachokosoa??
3. Awe mzalendo kama Zitto,unaweza kuwa unaichukia sana serikali iliyopo madarakani BT huwezi kuichukia NCHI yako. Kushangilia nchi yetu kuendelea kuibiwa au kupata hasara eti kisa tu huipendi serikali nadhani so saws.
4. Ajaribu ku-calm down kidogo,urais mtu hapewi na wapiga kura bali hupewa na 'SYSTEM'. Anaweza kupendwa saaaana na wapiga kura BT kama hajaishawishi system kwa uwezo wa kuwa a leader hawezi kupewa urais.
4. Issue ya kupigwa risasi asiifanye iaminike 100% kuwa ilifanywa na Magu as a person,kisiasa itamsaidia BT kwa system itamharibia zaidi. Hii issue ni complex sana na kuifanyia conclusion kirahisi nadhani si sawa,it might be an inside job too,only God and the assassin know this.
5. Chadema mmeshakuwa,watu wanawaamini na taasisi nyeti zimeanza kuwaamini....jiepusheni na gossips kama mlivyofanya kwa Eddo halafu baadae mkamsafisha. Siasa ni sayansi
wewe acha uzombi wako wa lumumba
TL ameshawashauri mara kibawwo kuwa ili muendeshe ATCL kwa ufasaha lazima mjitoe kwenye ushirika ili mkwepe kupelekwa lupango. je mlifuata ushauri huo? nyammbafff san nyie
matokeo ndege ilikamatwa mkakopa hela kimyakimya mkalipa kimyakimya sany nyie
 
mbona sasa na wewe unadhihirisha ujinga wako wa kukubali kila kitu unachoambiwa au kukisoma?una tofauti gani na hao unaowaponda?wewe binafsi umefanya research ya alichokiandika huyo unayemuunga mkono na ukaridhika kuwa ni ya kweli au aina yake ya uandishi wa kuweka terminologies imekupagawisha ukajikuta usshafanya research na kuconclude juu kwa juu?
nilitegemea umwambie utatafuta muda ili upitie aliyoyasema na u-draw conclusion yako mwenyewe, ndivyo GREAT THINKERS wanavyotofautishwa na NOVICE THINKERS.
makinikia yapooooo ??
 
Kuna vitu vingi tu ambavyo pilots wanarekebisha on air hasa kufuata QUICK REFERENCE HANDBOOK.. QRH, but most QRH these days are digital.. Quick reset items..!! But kuna vitu hadi ndege iwe on ground..!! So due to advanced in aircrafts technology imefanya Aircraft Engineers wasiruke tena..!! Wanabaki hangars wanasubiria tatizo na tatizo siku hizi linajulikana quickly sbb ya computers za ndege..!! Kazi za aircraft engineering zimekuwa rahisi kutokana na computers za ndege..!!
Na kwa uhakika 100% Dreamliner mainjinia ni wazawa na wanatengeneza kama ikileta tatizo.. Na marubani ni wazawa 100%..
sawa umesomeka dadaetu vipi makinikia yetu
 
Nani kasema Lissu anataka kuwa Rais? Maana naona unaongelea kuhusu kupewa urais na system kana kwamba anakosoa ili awe Rais? Ndiyo alivyokwambia? Na unafikiri bila tume huru hiyo system ya chama cha mapinduzi inaweza mpa mtu wa upinzani urais? Hebu acha kumpooza Lissu
Issue siyo tume huru mkuu,unataka kusema Kenya nao hawana tume huru? Ukisoma vzr utaelewa nn maana ya system na nguvu yake. Waulize wamarekani nguvu ya KGB kwenye uchaguzi uliopita
 
Acha kuwa Intellectual hooligan ili kutaka kujenga hoja kuwa Lissu yuko sahihi, that is purely arrogance..!! Hii sio siasa ni Sayansi..!! Be cautious..!!

1: Once Rubani yeyote akiwa na CPL - IR + ATPL, unahitaji Ab-Initio training just 2 weeks za Ground school CBT, i.e Computer Based Training + Sim Flying hours just 1 week.. So in total unahitaji just a month kwa Rubani mwenye hizo licences kupata Rating ktk leseni yake ( Endorsement) ya ndege yoyote ile baada ya kufaulu mtihani wa Ground school and Flight Sim exams.. na ataanza kuruka iwe hata A380s.. Then unaenda jaza few hours like 6-10 hours on type on live airplane.. Off you go.. Then recurrence ya sim every 6 months..!! Keep in mind Pilots are very very quick to learn and act kwa usahihi sana and unajifunza kitu kinaitwa Type rating..!! Meaning unajua kila kitu kuhusu ndege but specifically unasomea ndege husika kipi kipya tofauti na ndege zingine na System course yake..!!

2: AME licence sio kuwa Engineer anaenda itafuta akienda Type rating.. Eg ATCL engineers wanayo AME tayari muda sana, ila kila System Course anayoenda inachukua just 30 days/a month kupata type rating ktk ndege husika.. Hizo 30 days inajumuisha mitihani yote + endorsement kuwa huyu Engineer sasa ame qualify kutengeneza hii ndege na amafaulu System course.. Anapewa type rating ktk AME licence yake..!!

3: Kuna kitu hujui kabisa.. Ukinunua ndege mpya watu wako Pilots and Engineers kadhaa wanakuwa ktk package ya training so wanapewa training na hao hao Boeing au Air Bus... So wao wanawasimamia hadi mna operate wenyewe then wanabaki kama Customer support mkipata tatizo.. So mnakuwa nao bega kwa bega hata miaka 2 mko nao ktk kampuni wakiwapa support yote hata kama mnaweza jiendesha wenyewe ndani ya miezi 2 au 3 au 4 au mwaka bado watawasaidia kisha watawaacha mna operate wenyewe wakiwa kama customer support labda ikitokea tatizo kubwa kabisa linawasumbua watafanya field support hawana shida.. Hii ni biashara kubwa sana they don't entertain any mistake au hata error za kijinga..!! Watawafunza vema sana..!! So jua tuko Very competent Aviation Expert sio siasa zenu hizi za Lissu za kijinga..!!

ATCL is growing and Mh.Rais wetu kasimamia kufa na kupona na mlisema haiwezekani sasa mmeona inawezekana kwa 100%.. Tuache negative mind set.. Na IATA itatoa certificate ASAP once ikija Dreamliner ya pili early next year..!

Hii ni CCM Mpya..!! Mtapata Tabu Sana Chadema..!!
Umbea mtupu mmefail
 
Captain Shahid kumbe ni mtu wa boeing?? Mbona Tundu anadanganya uma
Je, ni full captai?
Bora hizi hela alizonunulia ndege angawekeza katika Reli aunganishe kanda zote kwa reli za kisasa na injini za kisasa kuliko haya mandege! Ndege ni big LOSS!
 
Mbona hiyo ni kazi ndogo, watakodisha ndege ya pili kwa muda wa miezi sita au mwaka na zitakuwa ndege mbili, pengine wamo kwenye huo mkakati.

Ubovu wetu sisi wa TZ, tunajua sana kuliko wenye elimu , lakini we are not productive at all. Tunajua kuponda vyakwetu. Leo hii wewe ukipata fursa nzuri au ukabahati mola akakujalia utajiri, basi watakao anza kukuponda na kukujengea mizingwe ni walio karibu yako.
Umeongea vizuri sana,ila tatizo kubwa mlilo nalo kutokusema ukweli kwa wananchi,wambie ukweli wananchi what is going on,kuwa Rais ni kitu kikubwa sio balozi wa nyumba kumi,unapoongea na wananchi kuwa na kauli moja

Leo unasema tutanunua ndege kwa hela zetu wenyewe bila hata kukopeshwa,kesho unaenda kimya kimya kukodi ndege,unamdanganya nani,ili iweje?

Awe anakumbuka wakati anaongea maneno yake anaongea na watanzania na dunia nzima wenye akili tofauti na uwezo zaid yake wa kuchambua mambo sio kuropoka halafu kesho unakuja na mengine,unadanganya ili iweje,sema ukweli utauungwa mkono
 
Back
Top Bottom