Hivi tujiulize kwa dhati tu:
"Hivi kuna yeyote ambaye angeweza kuwapelekea ule moto, kwa moyo na kwa namna ile kama huyu mwamba tena akitokea Konga?"
Si kuwa binadamu tumeumbiwa husuda, kuutaka u star na ikibidi hata kupitia migongoni mwa wengine? Hivi vya udalali navyo je? Kwani bei ya kumwuza Lissu mahakamani ingeweza kuwa kama "Trilioni" ngapi kwa mfano? Au yule ndugu mfanya biashara mkubwa, asiyekuwa mbangaizaji angeweza kuiacha hiyo fursa kama ingemdondokea kihasara hasara kwenye 18 zake?!
Ama kweli kwa vitendo simba katuonyesha: "vita vya kushinda, (hata kama unadhulumiwa) pigana na umejiridhisha mwenyewe! Aliimba Dr. Remmy (rip), "kipenda roho!"
Si kuwa hata kufikia tu hapa tulipo, wale wa ule upande mwingine siku zile wakikubaliana kwa kila jambo pande za Kisutu kwa roho zao za korosho, angalau kijasho chembamba kingali kinawatoka hata sasa kokote kule waliko?
Kwa hoja hizi za Polepole:
Angalizo la Polepole la Wahuni kuwa kila mahali linaonekana kutoeleweka bado. Hata upinzani, Sauti ya Tanzania, TLS, nk, ni dhahiri kuwa nako wapo!
"Lissu hapaswi kumwamini mtu kwenye huu mpambano."
Wahuni si watu wazuri!
"Hivi kuna yeyote ambaye angeweza kuwapelekea ule moto, kwa moyo na kwa namna ile kama huyu mwamba tena akitokea Konga?"
Si kuwa binadamu tumeumbiwa husuda, kuutaka u star na ikibidi hata kupitia migongoni mwa wengine? Hivi vya udalali navyo je? Kwani bei ya kumwuza Lissu mahakamani ingeweza kuwa kama "Trilioni" ngapi kwa mfano? Au yule ndugu mfanya biashara mkubwa, asiyekuwa mbangaizaji angeweza kuiacha hiyo fursa kama ingemdondokea kihasara hasara kwenye 18 zake?!
Ama kweli kwa vitendo simba katuonyesha: "vita vya kushinda, (hata kama unadhulumiwa) pigana na umejiridhisha mwenyewe! Aliimba Dr. Remmy (rip), "kipenda roho!"
Si kuwa hata kufikia tu hapa tulipo, wale wa ule upande mwingine siku zile wakikubaliana kwa kila jambo pande za Kisutu kwa roho zao za korosho, angalau kijasho chembamba kingali kinawatoka hata sasa kokote kule waliko?
Kwa hoja hizi za Polepole:
Angalizo la Polepole la Wahuni kuwa kila mahali linaonekana kutoeleweka bado. Hata upinzani, Sauti ya Tanzania, TLS, nk, ni dhahiri kuwa nako wapo!
"Lissu hapaswi kumwamini mtu kwenye huu mpambano."
Wahuni si watu wazuri!