Lissu katusaidia sana kuwajua mamluki

Lissu katusaidia sana kuwajua mamluki

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Kuna Id humu zilikuwa zinaaminika kwa kipindi kirefu sana kama id za watu makini ambao ni wana mageuzi ya kweli.

Id hizi zilijitanabaisha kuwa watu ambao ni wana mageuzi kweli ambao kamwe usingefikiri kuwa ni watu walio kimakakati.

Sakata la Lissu kuibua maovu yanayofanywa na wanasiasa wanaojifanya wanamageuzi limetufanya wengine tuanze kuchuja tena watu ambao tulikuwa tuna waamini.

Hongereni sana wana JF mliosimama katika kweli dhidi ya udhalimu hasa okwi boban sunzu Salary Slip Mshana Jr technically. Mmeonesha kusimama kwenye kweli hasa.

Ingawa naamini CCM itaondoka madarakani ILA tunapoona kuwa nchi yetu ina wana mageuzi walio tayari kusimama kwenye kweli pamoja na kuwepo vishawishi vya fedha nyingi kutoka Chama cha Mapinduzi tunafarijika sana.
 
Hata mfumo wa vyama ulivyoanzishwa umeanzishwa kihuni sana
 
Mmchame ni Muhuni mpigaji wa deal.

...........Pesa mbele.
 
2025 wakamuombe kura Abdul
 
Ni rahisi sana kumjua mpigaji/masikini wa akili/msanii-mbabaishaji pindi tu akihisi njaa imemfikia au kuna dalili ikatamalaki malangoni pake.Mtu wa aina hiyo yupo tayari hata kuchinja watoto wake mwenyewe na kuwala nyama.Kwa ufupi hawana tofauti na wachawi waliokubuhu.
 
Kuna Id humu zilikuwa zinaaminika kwa kipindi kirefu sana kama id za watu makini ambao ni wana mageuzi ya kweli.

Id hizi zilijitanabaisha kuwa watu ambao ni wana mageuzi kweli ambao kamwe usingefikiri kuwa ni watu walio kimakakati.

Sakata la Lissu kuibua maovu yanayofanywa na wanasiasa wanaojifanya wanamageuzi limetufanya wengine tuanze kuchuja tena watu ambao tulikuwa tuna waamini.

Hongereni sana wana JF mliosimama katika kweli dhidi ya udhalimu hasa okwi boban sunzu Salary Slip Mshana Jr technically. Mmeonesha kusimama kwenye kweli hasa.

Ingawa naamini CCM itaondoka madarakani ILA tunapoona kuwa nchi yetu ina wana mageuzi walio tayari kusimama kwenye kweli pamoja na kuwepo vishawishi vya fedha nyingi kutoka Chama cha Mapinduzi tunafarijika sana.
Fact
 
Back
Top Bottom