Lissu anaongea kama sio wakili. Hata kama tunasema Acacia wezi, Hakuna sheria ya kuingia migodini na kufanya fujo, hii ni mob justice. Ukiibiwa unapeleka mashitaka yako serikali na huruhusiwi kujichukulia sheria mikononi mwako. Uingereza mwizi akikuingilia nyumbani kwako huwezi kumpiga zaidi ya kujikinga asikuumize.