Kabisa maana hataivyo msaada wao hauhitajiki kabisa..... Priority matibabu.Acheni kulalamika.Kwani mlienda kuutegemea ubalozi.Fanyeni linalowezekana Lissu apone hayo mambo ya ubalozi siyo priority kwa sasa.
Kabisa maana hataivyo msaada wao hauhitajiki kabisa..... Priority matibabu.Acheni kulalamika.Kwani mlienda kuutegemea ubalozi.Fanyeni linalowezekana Lissu apone hayo mambo ya ubalozi siyo priority kwa sasa.
Mkuu huyu ni Mtanzania mwenzetu hamna jambo kama hilo.Wamekatazwa, sio makosa yao.
Mkuu huyu ni Mtanzania mwenzetu hamna jambo kama hilo.
Mkuu, hapo sikubaliani nawe. Pamoja na kuwa na itikadi tofauti za kisiasa. BADO Tundu Lissu ni Mtanzania mwenzetu.Acheni kulalamika.Kwani mlienda kuutegemea ubalozi.Fanyeni linalowezekana Lissu apone hayo mambo ya ubalozi siyo priority kwa sasa.
Acha ubazazi km una hakika na maneno yako peleka Polisi,acha kuongea hovyo km mwenye goviWashapigwa na butwaa kwa failure ya plan yao
Anajua ni nini ANACHOFANYA. Na kwa kuwa Tundu Lissu yuko chumba cha upasuaji na analindwa, Hata BALOZI anahitaji kupitia sheria za HOSPITALI ya Nairobi Hospital. TUSILAUMU bila uelewa.ni mjinga mjinga fulani anaitwa Dkt. Pindi Chana. picha zake ziko hapo chini for references....
View attachment 584170
View attachment 584182
View attachment 584185
View attachment 584186
Wanataka wao ndio wafuatwe mkuu. Ila utaratibu wanajua ila hili tukio lipo kisiasa zaidi na kuchafuana kuliko kumsaidia mgonjwa.Nijuavyo mtanzania yeyote anapokwenda nje yeye ndiye anatakiwa Ku report ubalozini .. Hao viongozi Wã cdm waliomsindikiza inabidi ndio wakatoe taarifa ubalozi .. Ukifika pale kuna kitabu wataweka maelezo kitabu hakimfati mtu
Kufika kwake kusingesaidia maana alipelekwa chumba cha upasuaji punde alipofika.Kama hakuna jambo kama hilo, balozi kashindwa kufika hospital?
Kwani mlitoa taarifa ubalozini kwamba mnaenda na mgonjwa?Chakushangaza hadi sasa tangu tuwasili hatujapata ushirikiano wowote wa ubalozi wa Tanzania hapa Nairobi, Si kwa balozi au maafisa wowote wale wa ubalozi.
Kwa kukusaidia tu. WABUNGE wa pande zote za kisiasa CHADEMA na CCM leo wameamua KUKATWA NUSU ya MSHAHARA wao ili kugharimiwa matibabu yake. Kwa hivyo HOJA yako haina msingi.Sasa kama kumlipia matibabu wamegoma sembuse ubalozi hawatakanyaga hapo kikubwa tuna muomba MUNGU apone haraka
Mkuu hiyo si kauli njema. Tundu Lissu japokuwa yu chama kingine. BADO yeye ni MTANZANIA.Kwani mlitoa taarifa ubalozini kwamba mnaenda na mgonjwa?
Huko Dar mmekimbia nini halafu unataka watu wa ubalozini waje,je mgonjwa akidhurika zaidi utasema maafisa walitumwa kummaliza
Wwe balozi hajipendi au hapendi kazi yake. Yule kiongozi mwenye kisasi cha mbwa atawamaliza. Kitumbua kakaHabari, Mh Tundu Lisu aliwasili usiku majira ya saa Saba hapa Nairobi Jomo Kenyatta International Airport na alipokelewa na team ya Madaktari wa Nairobi hospital pale airport na matibabu yalianza Mara moja kuanzia ndani ya Ambulance hadi hospital. Aidha alipofika Nairobi hospital alifanyiwa vipimo vyote na baadae saa nne asubuhi aliingizwa theatre.
Tangu Jana alipofika alifanyiwa stabilization ili aweze kukabiliana na surgery na zoezi hilo lilifanikiwa vizuri na madaktari wametueleza kuwa hakuna hali yoyote ya hatari na matibabu yake yanaendelea kwa mafanikio. Hadi sasa majira ya saa 9 alasiri bado hajatoka theatre na madaktari wametueleza kuwa wanaendelea vizuri. Nitawajuza atakapo toka theatre.
Chakushangaza hadi sasa tangu tuwasili hatujapata ushirikiano Wwa ubalozi wa Tanzania hapa Nairobi, Si kwa balozi au maafisa wowote wale wa ubalozi. Mh Freeman Mbowe amezungumza na vyombo mbali mbali vya habari pia taarifa yake itatoka punde.
Hemed Ali
Mkuu wa Idara ya Uenezi CHADEMA.
Nairobi hospital.
Kufika kwake kusingesaidia maana alipelekwa chumba cha upasuaji punde alipofika.
Lakini UKUMBUKE pia kuwa leo WABUNGE WAMEKUBALIANA kuwa NUSU ya Mshahara wao UENDE katika kugharimia MATIBABU ya Tundu Lissu.
Nafikiri hiyo ni ISHARA njema ya KUTUUNGANISHA.
UTOFAUTI wa KIITIKADI za kisiasa kusitufanye TUKOSE huruma wakati wa DHIKI.
Sio nusu ya mshahara mkuu ni nusu ya posho ya sikuMkuu hiyo si kauli njema. Tundu Lissu japokuwa yu chama kingine. BADO yeye ni MTANZANIA.
Hata kama wakati mwingine tunatofautiana naye katika itikadi za kisiasa. Kama Watanzania ni lazima TUMTAKIE KHERI ya AFYA na apone haraka.
Ndo maana WABUNGE wa CCM na UPINZANI LEO wameungana PAMOJA ili NUSU ya MISHAHARA yao IKATWE ili KUGHARIMIA matibabu ya Tundu Lissu.
Maana ni Mtanzania mwenzetu.
hata mie makamanda wamepita ofisini nimechanga buku 5 kwenye mfuko wa chadema,ninachopinga ni kupotosha na kuweka chumvi,cha muhimu ni kumuombea Lissu apone haraka badala ya kunyoosheana vidoleMkuu hiyo si kauli njema. Tundu Lissu japokuwa yu chama kingine. BADO yeye ni MTANZANIA.
Hata kama wakati mwingine tunatofautiana naye katika itikadi za kisiasa. Kama Watanzania ni lazima TUMTAKIE KHERI ya AFYA na apone haraka.
Ndo maana WABUNGE wa CCM na UPINZANI LEO wameungana PAMOJA ili NUSU ya MISHAHARA yao IKATWE ili KUGHARIMIA matibabu ya Tundu Lissu.
Maana ni Mtanzania mwenzetu.