Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,504
- 51,099
Nikiangalia hako kajamaaa kalivyoweka mkono na kichwa hicho Yani naMnamuhangaisha huyu mpiga kampeni wa Tume ya uchaguzi kwa kweli, hadi huruma!
View attachment 1583780
Hicho kimahera kinashika nafasi ya pili kwenye rank za wanafki wa duniaMnamuhangaisha huyu mpiga kampeni wa Tume ya uchaguzi kwa kweli, hadi huruma!
View attachment 1583780
Hivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???
Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.
Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.
Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake
Kwani mkurugenzi wa NEC kwa mujibu wa katiba anapaswa kuwa na sifa gani? Nauliza tu,I know magu ana phD ya kuokota watu majalalaniHivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???
Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.
Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.
Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake
Dr Mahela ni mbobezi wa masuala ya Hesabu, sasa hesabu na sheria wapi na wapi.Hivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???
Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.
Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.
Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake
Ukitaka kuwatesa zaidi,sema Uhuru,haki,na maendeleoCcm nà Jpm tumbo joto
Kwani mkurugenzi wa NEC kwa mujibu wa katiba anapaswa kuwa na sifa gani? Nauliza tu,I know magu ana phD ya kuokota watu majalalani
Dr Mahela ni mbobezi wa masuala ya Hesabu, sasa hesabu na sheria wapi na wapi.
Labda atatumia hesabu zake kuiba kura ambazo zitamtokea puani
Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.Akiwa huko Serengeti, Mheshimiwa Lissu ametolea ufafanuzi mzuri, wa kitaalamu na kisheria juu ya utaratibu wa kuitwa kwake kwenye tume ya maadili
Lissu anasema kuwa kwa mujibu wa kanuni za maadili zilizotungwa na tume yenyewe, utaratibu wa shauri la maadili uko hivi
1. Lazima upande unaolalamika, kama ni mgombea mwenyewe, au tume n. k viandae shauri husika kwa maandishi
2. Mgombea mwenye kulalamikiwa mara tu apatapo shauri husika atatakiwa kulijibu shauri hilo kwa ndani ya masaa 48 baada ya kupata taarifa hiyo.
Lissu akasema, hadi sasa hajapata taarifa rasmi ya malalamiko hayo ya tume, na hata kama akiyapata leo ana muda wa siku mbili wa kuyajibu, kwa hiyo suala la kufika kwenye tume kesho tarehe 29 siyo lazima kwa mujibu wa kanuni.
Lissu akasema hilo shauri lazima limfikie yeye mwenyewe, siyo kulipeleka kwenye chama wala nyumbani kwake, na inabidi akabidhiwe yeye mwenyewe mkononi