Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,483
- 51,057
Akiwa huko Serengeti, Mheshimiwa Lissu ametolea ufafanuzi mzuri, wa kitaalamu na kisheria juu ya utaratibu wa kuitwa kwake kwenye tume kwa ajili ya maadili ya uchaguzi
Lissu anasema kuwa kwa mujibu wa kanuni za maadili zilizotungwa na tume yenyewe, utaratibu wa shauri la maadili uko hivi
1. Lazima upande unaolalamika, kama ni mgombea mwenyewe, au tume n. k viandae shauri husika kwa maandishi
2. Mgombea mwenye kulalamikiwa mara tu apatapo shauri husika atatakiwa kulijibu shauri hilo kwa ndani ya masaa 48 baada ya kupata taarifa hiyo.
Lissu akasema, hadi sasa hajapata taarifa rasmi ya malalamiko hayo ya tume, na hata kama akiyapata leo ana muda wa siku mbili wa kuyajibu, kwa hiyo suala la kufika kwenye tume kesho tarehe 29 siyo lazima kwa mujibu wa kanuni.
Lissu akasema hilo shauri lazima limfikie yeye mwenyewe, siyo kulipeleka kwenye chama wala nyumbani kwake, na inabidi akabidhiwe yeye mwenyewe mkononi.
Kwa taarifa zaidi, tazama video hii ya Lissu
Lissu anasema kuwa kwa mujibu wa kanuni za maadili zilizotungwa na tume yenyewe, utaratibu wa shauri la maadili uko hivi
1. Lazima upande unaolalamika, kama ni mgombea mwenyewe, au tume n. k viandae shauri husika kwa maandishi
2. Mgombea mwenye kulalamikiwa mara tu apatapo shauri husika atatakiwa kulijibu shauri hilo kwa ndani ya masaa 48 baada ya kupata taarifa hiyo.
Lissu akasema, hadi sasa hajapata taarifa rasmi ya malalamiko hayo ya tume, na hata kama akiyapata leo ana muda wa siku mbili wa kuyajibu, kwa hiyo suala la kufika kwenye tume kesho tarehe 29 siyo lazima kwa mujibu wa kanuni.
Lissu akasema hilo shauri lazima limfikie yeye mwenyewe, siyo kulipeleka kwenye chama wala nyumbani kwake, na inabidi akabidhiwe yeye mwenyewe mkononi.
Kwa taarifa zaidi, tazama video hii ya Lissu