Uchaguzi 2020 Lissu atolea ufafanuzi kuitwa kwenye tume ya Maadili

Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.

Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?

Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
Kwendraaaaaaaaaa
 
Hivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???

Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.

Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.

Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake
Tume imejaa wapumbavu watupu.

Ulitegemea wapumbavu wafanye nje ya upumbavu wao ?
 
Umetazama na kuisikiliza hiyo video?

Umeelewa?

Ni ishu ya utaratibu tu na kamwe siyo kulifanya tatizo lake kuwa la wananchi...

Kama NEC wana tatizo na Lissu, ni rahisi tu. WAFUATE UTARATIBU WA KISHERIA waliyoitunga wenyewe....!

Kuumia kwako nadhani ni kwa sababu anelitolea ufafanuzi mbele ya umati wa maelfu ya wananchi...

Kama ndivyo, unaweza kutuambia kama kuna kosa lolote kisheria kufanya hivyo?

Obviously, jibu ni HAKUNA..!

By the way, wananchi ndiyo mahakama kuu na ya rufaa vilevile. Hiyo ndiyo maana halisi ya PEOPLE'S POWER...!!
Una uhakika Tume haijafanya utaratibu iliyouweka na kukubaliana na viongozi wa vyama? Ama unaegemea tu kwa aliyoyasema Lissu?

Tume ina watu makini, waliosoma na wenye weredi maradufu kuliko huyo mpayukaji. Anatingisha kiberiti akiamini na kutegemea umma na jamii ya kimataifa itampa kinga. Kama sheria kavunja atukumbana na nguvu ya sheria na wafuasi wake kamwe hawataingia barabarani.

Ni mtu mwenye ujeuri wa kitoto. Tunawaita watoto watukutu.
 
Nilijuwaga unaakili kumbe na wewe Ni walewale
Nina akili nyingi kuliko huyo unayemsujudia. Mwanasheria asiye heshimu sheria ni mpumbavu wa kutupwa. Muda si mrefu atakula jeuri yake. Wewe utakuwa wa kwanza kumbeza na kumdharau kwa neno moja tu "kumbe!"
 
Nina akili nyingi kuliko huyo unayemsujudia. Mwanasheria asiye heshimu sheria ni mpumbavu wa kutupwa. Muda si mrefu atakula jeuri yake. Wewe utakuwa wa kwanza kumbeza na kumdharau kwa neno moja tu "kumbe!"
Akili zipi unazo? Akili za kupanga njama kuhujumu Lisu ni Akili nzuri hizo? wewe ndiyo mpumbavu tena mbumbumbu kilaza juha peleka uchawi wako huko gheto unaposhinda ukivuta Bangi kukariri ujinga wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM na polepole.
 
Una uhakika Tume haijafanya utaratibu iliyouweka na kukubaliana na viongozi wa vyama? Ama unaegemea tu kwa aliyoyasema Lissu?

Tume ina watu makini, waliosoma na wenye weredi maradufu kuliko huyo mpayukaji. Anatingisha kiberiti akiamini na kutegemea umma na jamii ya kimataifa itampa kinga. Kama sheria kavunja atukumbana na nguvu ya sheria na wafuasi wake kamwe hawataingia barabarani.

Ni mtu mwenye ujeuri wa kitoto. Tunawaita watoto watukutu.
Tume haina watu makini haina wasomi imejaa makada wa CCM wenye vyeti vya kununua wasio na Taaluma halisi vichwani ndiyo maana wamekomalia kufanya mambo ya hovyo hovyo ya kishetani na kishamba, hakuna msomi halisi mwenye Taaluma halisi atafanya ujinga kama unaofanywa na Tumeccm NECCCM, wewe ndiyo una ujeuri wa kitoto kulazimisha uchakachuaji wizi wa kura kisha utake wananchi kukubali ujinga wenu pasipo kuingia barabarani.
 
Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.

Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?

Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
CCM ndiyo mnaweweseka kama mnataka Lisu akae kimya acheni kumtukana acheni mikwara ya kishamba kuwa mtu asipomchagua mbunge wa CCM hampeleki maendeleo mwambie boss wako polepole aache kuwaita wapinzani misukule na acheni uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani.
 
Akiwa huko Serengeti, Mheshimiwa Lissu ametolea ufafanuzi mzuri, wa kitaalamu na kisheria juu ya utaratibu wa kuitwa kwake kwenye tume kwa ajili ya maadili ya uchaguzi

Lissu anasema kuwa kwa mujibu wa kanuni za maadili zilizotungwa na tume yenyewe, utaratibu wa shauri la maadili uko hivi

1. Lazima upande unaolalamika, kama ni mgombea mwenyewe, au tume n. k viandae shauri husika kwa maandishi

2. Mgombea mwenye kulalamikiwa mara tu apatapo shauri husika atatakiwa kulijibu shauri hilo kwa ndani ya masaa 48 baada ya kupata taarifa hiyo.

Lissu akasema, hadi sasa hajapata taarifa rasmi ya malalamiko hayo ya tume, na hata kama akiyapata leo ana muda wa siku mbili wa kuyajibu, kwa hiyo suala la kufika kwenye tume kesho tarehe 29 siyo lazima kwa mujibu wa kanuni.

Lissu akasema hilo shauri lazima limfikie yeye mwenyewe, siyo kulipeleka kwenye chama wala nyumbani kwake, na inabidi akabidhiwe yeye mwenyewe mkononi.

Kwa taarifa zaidi, tazama video hii ya Lissu
View attachment 1583811
Msajili si apande tu bodaboda ampelekee popote alipo, maana leo nasikia atakaua karatu, kwani bodaboda mpaka karatu bei gani?
 
Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitamb
Unaposoma mawazo ya mtu kama huyu, unasikitika kujua watu wa aina hii bado tunao wengi katika nchi hii. Hasara yetu inaanzia hapa.
 
Akiwa huko Serengeti, Mheshimiwa Lissu ametolea ufafanuzi mzuri, wa kitaalamu na kisheria juu ya utaratibu wa kuitwa kwake kwenye tume kwa ajili ya maadili ya uchaguzi

Lissu anasema kuwa kwa mujibu wa kanuni za maadili zilizotungwa na tume yenyewe, utaratibu wa shauri la maadili uko hivi

1. Lazima upande unaolalamika, kama ni mgombea mwenyewe, au tume n. k viandae shauri husika kwa maandishi

2. Mgombea mwenye kulalamikiwa mara tu apatapo shauri husika atatakiwa kulijibu shauri hilo kwa ndani ya masaa 48 baada ya kupata taarifa hiyo.

Lissu akasema, hadi sasa hajapata taarifa rasmi ya malalamiko hayo ya tume, na hata kama akiyapata leo ana muda wa siku mbili wa kuyajibu, kwa hiyo suala la kufika kwenye tume kesho tarehe 29 siyo lazima kwa mujibu wa kanuni.

Lissu akasema hilo shauri lazima limfikie yeye mwenyewe, siyo kulipeleka kwenye chama wala nyumbani kwake, na inabidi akabidhiwe yeye mwenyewe mkononi.

Kwa taarifa zaidi, tazama video hii ya Lissu
View attachment 1583811
Mbona anashindwa kutolea ufafanuzi kuhusu uraia wa nchi mbili?
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom