Lissu akiwa anatoa mchango
wako kwenye muswaada ulioletwa na serikali, amezimiwa kipaza sauti baada
ya kukaidi maelekezo ya spika ya kuacha kukitaja chama cha Mapinduzi
katika mchango wake.
Lakini Lissu ameendelea kuongea na kukitaja chama cha Mapinduzi mpaka
kipaza sauti kilipo washwa tena, huu ni ujasiri wa ajabu.
Haya yote ni katika kuelezea jinsi alivyo funguliwa kesi ya rufani na
bwana Kinana.