shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 890
- 1,398
Wadau inasikitisha sana, mtu anayetegemewa kuwa mfungwa akirudi Tanzania ananyoa style kama ya dikiteta wa North Korea. Je inamaanisha na yeye ni dikiteta?
Ma dikiteta wanaanzaga hivi hivi, unaweza kukuta anajiandaa kuwa dikiteta huko gerezani
Una tabia mbaya sana. Allah anakuonakichwa chake kinamruhusu kunyoa style hiyo tofauti na bwana yule mwenye kichwa kama kipepe
Ila kiduku kanyoa, na inaonesha ni dikitetaMtasema sana na bado
Uhuni tu..mtu mzima unanyoa utadhani hawa vijana wanaobalehe wa dar es salaam.Wadau inasikitisha sana, mtu anayetegemewa kuwa mfungwa akirudi Tanzania ananyoa style kama ya dikiteta wa North Korea. Je inamaanisha na yeye ni dikiteta?View attachment 1015668
Kweli bado sana kuja kuwa rais maana hakuna mtanzania wa kupigia kura kidukuNa badoooo
Unadhani hizo allegations anazozitoa nyie mnamshangilia zitamuacha salama..?Anategemea kuwa mfungwa kwa kosa lipi?
Ndiyo hapo sasa, anashindwa kunyoa kwa heshima, yaani ananyoa style ya kifungwa au kivuta janiUhuni tu..mtu mzima unanyoa utadhani hawa vijana wanaobalehe wa dar es salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app