Lissu anamwaga cheche Kibaha

Lissu anamwaga cheche Kibaha

UJANJAUJANJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
226
Reaction score
123
Anashambulia jukwaa hapa,anasema yaani kama ni mchezo wa mpira zinebaki dkk 5 mpira kuisha,CCM inakaribia kung'olewa madarakani
 
Anasema CCM kwa kugombana na wafanyakazi wa umna hasa waalimu ambao wamekuwa wakisimamia chaguzi miaka yote,nao wamekasirika sasa,zimebaki dkk 5 CCM inang'oka
 
Anasema zaidi sasa kila siku ya Ijumaa mji kama dsm unajaa wanajeshi na mapolisi,yeye anaziita hizo alama za nyakati
 
Anasema zaidi kwamba CCM haiaminiki tena ndiyo maaba hata kwenye mikutano yao wahudhuriaji huwa ni wachache na kama wapo pia wamepewa pesa. Zimebaki dkk 5,alama za nyakati,anasema ccm ni chama ambavho kimepoteza imani kwa wananchi,na kama chama kilichopoteza imani kwa wananchi kinachobaki ni wananchi kuwang'oa,zimebaki dkk 5
 
Anasema inawezekanaje chama chenye wabunge 300 kama ccm waogope bungu kurushwa live? Zimebaki dkk 5
 
Anasema hata tabia ya kufungiafungia vyombo vya habari ni dalili kuwa ccm kinaondoka madarakani
 
Anasema kutoka kituo cha jeshi Lugalo Kikwete alipata kura chache,yaani hata haungwi mkono na wanajeshi. Kinachobaki ni kumpigia saluti tu wapate mshahara
 
Anazungumzia suala la polisi kuchakachuliwa kwa kuibiwa elfu 50 kwa kilq mwezi kwenye ration yao,anasema zimebaki dkk 5 na kwamba wananchi wajifunze kusoma alama za nyakati
 
Anazungumzia sasa suala la utawala wa JK na kubadilishabadilisha makatibu wakuu wa CCM,ni alama zw nyakati,ni dalili ya CCM kung'olewa,chama hakina stability tena
 
Anasema JK inekuwaje Waziri Wake Mkuu wa kwqnza aliondoka katika mazingira gani? Haijawahi kutokea,ni alama za nyakati,zinebaki dkk 5,CCM inang'oka
 
Safi sana mkuu,masisiem yapo icu....tutahakikisha kwa shida hizi za wananchi tunayazika kabisa.
 
Daa huyu lissu huyu ni kiboko jaman,.. Ndio mana ccm wanakua hawajitambui hata wa kupambana nae, huku lisu, pale lema huku mnyika ma dk
 
Chadema kwisha habari yake

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Anasema kwamva yote hayo yanatwambia kwamba saa ya ukombozi haiko mbali,wananchi waelewe vizuri alama za nyakati
 
Anasema CCM kwa kugombana na wafanyakazi wa umna hasa waalimu ambao wamekuwa [wakisimamia chaguzi miaka yote,nao wamekasirika sasa,zimebaki dkk 5 CCM inang'oka

yani hopo ndio magamba wamejisafishia njia ya kuondoka bye bye the gambaz.
 
Anasema majukumu yetu ni kujiandaa kuanzia jana,tutafakari sawasawa kuhusu alama za nyakati na tuchukue hatua
 
Back
Top Bottom