Kamanda Lissu anatakiwa aanze kusherehekea ushindi huu popote pale anapokuwa jukwaani hata kudansi ni sawa tu ili kuhamasisha wananchi kweli zimebaki dakika tano na wao waanze kudansi. Hii ni lugha ambayo wanachi wengi wanaielewa zaidi ya kutumia maneno mengi sana kwani ubongo wetu sisi wengine huchukua machache tu
Cheza na jukwaa kamanda kwa furaha na wanachi nao watacheza kwa mafanikio unayowaambia.
Zimebaki dakika tano!