Lissu amshukia Lowassa

Lissu amshukia Lowassa

Lisu jamani hajapona msaidieni kupata dawa au kumalizia dozi ile aliyopewa na kigwangala.

wewe unapoteza muelekeo,uzi wa juzi uliwaponda wanaomshabikia EL kua wanajipendekeza.sasa na wewe mbona unajipendekeza?
 
wewe unapoteza muelekeo,uzi wa juzi uliwaponda wanaomshabikia EL kua wanajipendekeza.sasa na wewe mbona unajipendekeza?

tatizo la huyu simiyu utadhan mimba iliyotungwa nje ya kizaz,haeleweki
 
Hizi chokochoko za Lisu zimetuchosha kila siku ni malalamiko, ameshindwa kutoa mawazo chanya nikiona Uzi najua ni ufisadi hana jipya.
 
hili suala la siasa za kidini hazifai kwenye nchi yetu wasije2letea mpasuko baina ya dini kwa dini
 
Kuna watu(magamba) siwaelewi kabisa humu jamvin, wanajibu kila post zaid ya mara 20, hawana majukum hau?

Mkuu kwa nini useme hawana majukumu wakati hayo ndio majukumu yao? Ujira wa Elfu saba kwa siku ndio wanao utumikia. Wako kazini hapo hivyo usishangae. Ila sharti la ajira hiyo ni kuwa unaacha akili yako nyumbani kabla ya kuja Lumumba kujumuika na wenzio kazini.
ImageUploadedByJamiiForums1391759098.290369.jpg
 
- No way mimi ni businessman kaka sasa nawekeza kwenye media zaidi, huko siko kaka!! thanks!! nawekeza kwenye media ndio maana mpaka saa hizi nipo ofisini kaka kazi tu!!

- Mzima lakini maana wewe ni watu wa loong time humu, naona turudie tena yale mambo ya muziki kama zamani kuleeee au?

Le Mutuz

Vipi kuhusu vijana wa Kitanzania 160 wanaoaminika kunyongwa huko China...
 
Tundu lissu ni miongoni mwa watu wenye sura mbili..........i dont trust him kabisaaa..........
 
Huyu lisu nae ni mnafik haioni chadema nayo ilivyojaa wachungaji . Chukua mfano dr slaa huyu ni ana doctorine ya theologia . Ungozi wao wote top level ni hao hao asimlaumu wakat chadema ipo kikanda na viongoz wao pia ni wakristo wote
 
Lisu jamani hajapona msaidieni kupata dawa au kumalizia dozi ile aliyopewa na kigwangala.

Hata kama wewe ni CCM huoni kwamba alichoongea Lisu kina maana, wakati mwingine jaribu kuacha uccm wako angalia hoja hata km imeletwa na mtu sio wa chama chako, CCM itaondoka Tanzania itabaki palepale.Au nyie mna nchi ya kukimbilia pindi yanapotokea machafuko?
 
Na Grace Macha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM) wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa anadaiwa kutumia kigezo cha udini kutaka kuungwa mkono kwenye harakati za kukimbilia Ikulu jambo linalohatarisha amani ya nchi.

Aidha Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuweka hadharani majina ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya ambayo aliwahi kulitangazia Taifa kuwa anayo vinginevyo itakuwa ni vigumu kuondoa mashaka kuwa si mshirika wao.

Hayo yalisemwa juzi na Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu na wakati akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga kwenye viwanja vya Ngusero.

Lissu alisema kuwa baada ya Lowassa kuona hana sifa za uongozi kutokana na kuwa si muadilifu wala safi kulingana na tuhuma za ufisadi zinazomwandama ameamua kukimbilia makanisani akiwashawishi viongozi wa dini wamuuunge mkono kwa kigezo cha kuwa ni Mkristo mwenzao.

“Kuna makada wengine wa CCM nao wanazunguka huko misikitini wakisema hii ni zamu yetu sisi Waislam hivyo anashawishi wamchague kwa kigezo cha Uislam tu .Hawa watu wanasahau dini si kigezo wala sifa ya uongozi tuwakataeni, sijui wanalipeleka wapi hili Taifa zaidi wanatutafutia machafuko hawatufai wote hawa,” alisema Lissu.

Akizungumzia muswada wa madiliko ya katiba, Lissu alisema kuwa katiba inasema kuwa nchi ni moja lakini kwa sasa kuna Maamiri Jeshi wawili ambao mmoja ni Mwenyekiti wa CCM, Kikwete na mwingine ni Makamu wake, Dk Mohamed Shein jambo alilosema kuwa ni hatari sana hasa ikitokea wakitofautiana na kupishana kauli ilihali wote wanamajeshi.


JUHUDI ZA KUMPATA LOWASSA KUZUNGUMZIA MADAI HAYA ZILIGONGA MWAMBA BAADA YA SIMU YAKE YA KIGANJANI KUPOKEWA NA MTU MWINGINE AKIDAI MBUNGE HUYO WA MONDULI YUKO KIKAONI AMBAPO ALITAKA APIGIWE BAADA YA SAA MOJA.

ALIPOPIGIWA TENA SIMU HIYO ILIITA BILA KUPOKELEWA

kojoa ukalale kbaraka wa ufpa...Lowasa ndye rais wetu
 
Hivi wewe jerko ni muhudumu wa kaunta bilss au jkon cz saa sta tunajua anakula jkon kwa mbowe anashnda kwa membe
 
Na Grace Macha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM) wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa anadaiwa kutumia kigezo cha udini kutaka kuungwa mkono kwenye harakati za kukimbilia Ikulu jambo linalohatarisha amani ya nchi.

Aidha Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuweka hadharani majina ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya ambayo aliwahi kulitangazia Taifa kuwa anayo vinginevyo itakuwa ni vigumu kuondoa mashaka kuwa si mshirika wao.

Hayo yalisemwa juzi na Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu na wakati akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga kwenye viwanja vya Ngusero.

Lissu alisema kuwa baada ya Lowassa kuona hana sifa za uongozi kutokana na kuwa si muadilifu wala safi kulingana na tuhuma za ufisadi zinazomwandama ameamua kukimbilia makanisani akiwashawishi viongozi wa dini wamuuunge mkono kwa kigezo cha kuwa ni Mkristo mwenzao.

“Kuna makada wengine wa CCM nao wanazunguka huko misikitini wakisema hii ni zamu yetu sisi Waislam hivyo anashawishi wamchague kwa kigezo cha Uislam tu .Hawa watu wanasahau dini si kigezo wala sifa ya uongozi tuwakataeni, sijui wanalipeleka wapi hili Taifa zaidi wanatutafutia machafuko hawatufai wote hawa,” alisema Lissu.

Akizungumzia muswada wa madiliko ya katiba, Lissu alisema kuwa katiba inasema kuwa nchi ni moja lakini kwa sasa kuna Maamiri Jeshi wawili ambao mmoja ni Mwenyekiti wa CCM, Kikwete na mwingine ni Makamu wake, Dk Mohamed Shein jambo alilosema kuwa ni hatari sana hasa ikitokea wakitofautiana na kupishana kauli ilihali wote wanamajeshi.


JUHUDI ZA KUMPATA LOWASSA KUZUNGUMZIA MADAI HAYA ZILIGONGA MWAMBA BAADA YA SIMU YAKE YA KIGANJANI KUPOKEWA NA MTU MWINGINE AKIDAI MBUNGE HUYO WA MONDULI YUKO KIKAONI AMBAPO ALITAKA APIGIWE BAADA YA SAA MOJA.

ALIPOPIGIWA TENA SIMU HIYO ILIITA BILA KUPOKELEWA

Lisu yeye anayaona ya Lowasa tu,ila yake na ubunge wake hayaoni
amezuia wananchi wake wasichangie maendeleo ya aina yeyote ktk jimbo lake na bado kuna matatizo kibao ktk jimbo lake likiwemo tatizo la maji na hospital,barabara na mambo mengine mengi tu.
anatakiwa kwanza kuwapelekea maendeleo watu wake kisha ahoji haya anayohoji sasa baada tu ya wapiga kura wake kufaidi uwepo wake ktk jimbo analoliongoza.
 
Back
Top Bottom