Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,141
hii ni hali ya kutojiamini mh makamba katibu wa chama cha majambazi
nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee akageuza sura alipofika mh mdee akawa karibu nae mzee imani ikamshinda akamua kuama siti
tatizo lake asomi nyakati kila mara aoni mwenzake msekwa aisoma dira
pole mzee wetu mtanzania wa jana siyo yule wa leo hii
kila la kheri ukombozi ndio umeanza
nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee akageuza sura alipofika mh mdee akawa karibu nae mzee imani ikamshinda akamua kuama siti
tatizo lake asomi nyakati kila mara aoni mwenzake msekwa aisoma dira
pole mzee wetu mtanzania wa jana siyo yule wa leo hii
kila la kheri ukombozi ndio umeanza