Lissu amlima barua Shibuda

Nadhani hata kama wangeitisha mkutano wa wananchama wote wa chadema kuamua swala la shibuda nadhani 99.9999% watam dismiss Shibuda kutoka CDM. Sidhani kuna wakumlaumu katika maamuzi yatakayotolewa na kamati kuu.

Kama kamati kuu inaogopa kufanya maamuzi basi waitishe mkutano mkuu waamue tuone kama atachomoka.
 
CHADEMA mtimueni Shibuda am supporting 100% anatuboa pleasea maamuzi yafanyike haraka
 
busara ni kumwacha tu bila kufanya lolote. hata alipokuwa ccm alikuwa hivyo hivyo. tunaijua tabia yake mwacheni tu kuepuka migogoro
 
Shibuda is a ''gwandered gamba'', hakuwahi kujichanganya na wenzie popote pale zaidi ya kukwaruzana na kina Wenje kila kukicha.
Hapa Jf wapo tuliomshtukia kitambo tu.
 
Kuna tetesi hapa Dodoma zinaenea kuwa; Mbunge wa Maswa Mh. Shibuda anajianda kuomba RADHI rasmi mara baada ya kupokea barua kutoka kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani Mh. T.Lissu. Shibuda amemwandikia ujumbe mfupi wa simu ya mkononi SMS katibu wake ( katibu wa mbunge) akisema kuwa mambo yamekuwa serious ( barua ya Lissu) na amemuomba katibu wake ajitahidi kuandaa barua ya kuomba RADHI Chadema, ili jioni hii Shibuda aipitie, kwani -kijana huyo- ambae ni katibu wa shibuda ndie mwandishi wa hotuba ya shibuda. tusubili ikiwa tayari na shibuda kuisaini ( Kuikubali)tutaiweka peupe.
 
Mh, mbwembwe zote zile!
Tusubiri.
 
huyo jamaa inawezekana ametumwa na chama cha magamba.
 
Shibuda kama ana akili timamu hatua kama hiyo nilikuwa naitegemea
 
Haya sasa atatakiwa kuomba kuanzia ile ya bagamoyo
 
Anatishia kuj*mb wakat anah**ha?. Hakuna radh hapo FUKUZA MWIZ YOOO! Wala hakuna haja ya ku2mia nguv hapo
 
Si alisema atafanya ziara nchi nzima kuianika CDM kwa wananchi? Hata akiomba radhi inabidi asamehewe kwa masharti mazito.
 
cdm kuchukua nchi ni ndoto ya alinacha, sioni walichonacho kipya zaidi ya kutaka baadhi ya watu wawe na sauti zaidi ya wengine, kwa nini kila mtu anaehoji cdm anagombana na mbowe?mbowe hutakiwi kuwa rais pole kaka

hapo umenena mkubwa.... Yani cdm wao hawataki kusimwa maovu yao humu ndani
 

Let John Madale Shibuda go. He is a traitor!!!He is a CCM agent!!!

Shibuda Go! Go! Go! Go!
 
namshauri asiombe radhi asubiri kufukuzwa hafai kuwa mmojawapo wa viongozi wa mabadiliko,ni mnafiki asiyefaa hata chembe
 
km wabunge wangekuwa wanapigwa bakora na wapiga kura wao nina uhakika huyu jamaa SHIBUDA angecharazwa bakora nyingi sana, hadi watoto wa chekechea wangemuadhibu aisee.
 
Kick him out..usanii wake umepitiliza, ni hatari kwa afya ya chama na akiachwa madhara yake ni makubwa
 
 
Hapo eeh ni kumkoma NYANI GILADI TU! Hakuna suluhu, CDM Imejitosheleza Kiutaratibu kwa hiyo taratibu zifuate mkondo wake! hakuna huruma kwa mtoto wa mtu. tupo vitani kama askari Ni Deseter anastahili firering squad ili iwe funzo kwa watu wa aina yake. no no sence!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…