j.k mwenyewe anamhara lissu hataki hata kumsikiaKama Jaji F. Welema anamwogopa Lisu. Spika akimwona Lisu kasimama bungeni anaomba muda uishe haraka ama mic zigome jamaa asisikike. Na hawa wote ni wasomi sasa shahidi ambaye hajui A wala Z ya sheria ataweza kusimama na Lisu au ndo kujidhalilisha. Shame on magamba
sikio la kufa halisikii dawa,rubber stamp ndivyo zilivyo,ukasuku wa kukaririshwa ukaulizwa swali yote hupotea.Inakuwa kama story ya mtu mmoja aliyekaririshwa kiingereza,aliambiwa akiulizwaswali lolote aseme yes,akiendelea kuulizwa tena aseme because of money.Basi ikatokea bahati mbaya kubwa yakatokea mauajio maeneo yale katika kamata kamata aliyekaririshwa naye akakamatwa na kuulizwa maswali kamaifuatavyo:
Hakimu:Do you kill that people?
aliyekariri:Yes
Hakimu:why
aliyekariri:because of money
Hii yote haina tofauti na mashahidi wa kesihiikukaririshwa wakati hawajui nini na ni wapi matukio hayo yalifanyika