Hivi Mwafrika umewahi kujiuliza hivi vibweka vyako vyenye elements za kebehi kwa imani za watu wengi humu zinasaidia ama kuathiri vipi maslahi ya chama ama mgombea wako/unayejinasabisha nae hasa wakati kama huu. Being sensitive to other people feelings and faiths is one of the most important political tool that you and some friends of yours need to learn and embrace...
omarilyas
Omar,
Hivi umewahi kujiuliza kuwa kwa nini ninakebehi tu baadhi ya watu na sio kila mtu?
Kuna waislam wangapi hapa JF? je ni wangapi ambao nimewakebehi? Umewahi kusoma majibu yangu dhidi ya watu kama Mkandara, Zitto, Mtu wa Pwani na wengineo?
Kama bado, sijawahi kutumia lugha ya kebehi kwao hata siku moja. Mimi ninajibu wale wanaoleta udini hapa kwa kebehi. Issue ya udini sikuianzisha mimi hapa. Mimi najibu moto kwa moto.
Kampeni za kistaarabu nimewaachia wengine. Umeona CCM wanavyomchafua Dr Slaa, ustaarabu wake haukusaidia chochote. CCM inabidi unawajibu kulingana na wanachokuletea. Wakikuita mdini na wewe wamwagie udini wao, wakileta mambo ya vimada, na wewe wapatie vimada vyao. Hii ndio motto yangu