Lissu alamba sumu kwa miguu

Lissu alamba sumu kwa miguu

Wenzako mapandikizi kina Shonza waliandika saana wakapewa zawadi baada ya kufukuzwa chama!!
Sasa wewe ni nani utapewa zawadi gani??
Mbowe yupo tu hatikisiki Mungu anamlinda, kelele zenu hazina madhara yoyote CDM inazidi kuimalika.
Viva CDM viva Mbowe aluta kontinua!!
 
tumeumia kwa sababu tunapenda democrasia ya kwel(political ethics)siyo utapeli wa kijinga
Democracy tunaijua ss tulio ndani ya CHADEMA huwezi kutufundisha, sasa ccm ndio hamuna democracy kabisa sasa Ili tuone kama angalau kidogo mna ka democracy 2020 toeni ruksa kwa mgombea yeyote mwenye sifa za kugombea achukue form kwa ajiri ya kugombea cheo cha uraisi.
 
Democracy tunaijua ss tulio ndani ya CHADEMA huwezi kutufundisha, sasa ccm ndio hamuna democracy kabisa sasa Ili tuone kama angalau kidogo mna ka democracy 2020 toeni ruksa kwa mgombea yeyote mwenye sifa za kugombea achukue form kwa ajiri ya kugombea cheo cha uraisi.
kwani hujui utamaduni wa ccm wa busara ya kawaida juu mgombea alieongoza miaka 5,anatakiwa aendelee,kama unamtegemea membe mchukueni cdm
 
Back
Top Bottom