Ukiwemo wewe hapo kuongozi mkuu wa wajinga...Hili jukwaa kwa sasa lina wajinga wengi ambao hawajui kama ni wajinga!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku Mh T lissu anatua nchini mapokezi yake yatakuwa makubwa sana,kila kona kwa sasa watu wanauliza ni lini anarudi mkombozi Lissu??
Ni hiyo ya risasi 16?
Kuvuta majani ya arusha asubuhisubuhi ndo shida hii, MTU anaongea reverse tu yaani
Duu angalia jinsi mlivyokuja kwa kasi kama mwewe kisa tuu tangazo kuwa Lissu anarudi na atapokewa kwa shangwe sana?. Woga wa nini sasa?Hili jukwaa kwa sasa lina wajinga wengi ambao hawajui kama ni wajinga!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Why not sir ?!No Way.
Kitu ambacho nakijua, siku akiripoti Bungeni, the way atakavyo kuwa anatembea, kuna wabunge wengi wenye roho za utu na ubinaadamu, watatokwa na machozi kwa alichofanyiwa mtu huyu, halafu uki imagine na kuasume amefanyiwa na nani, kiukweli utafikia hitimisho kuwa Tanzania, kuna watu tunaishi nao, ukiwaona machoni ni kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa hata Lusiferi ana afadhali!.
Unamfanyiaje binaadamu mwenzako unyama mkubwa kama ule?!.
P
Hivi ni kosa kumpokea nduguyo anayetoka abroad ?! Huu kweli uogakijana mwenzangu siku hiyo kama utakua huna kazi naomba ujifungie nyumbani usiende kumpokea kabisa mana natabiri hiyo siku kutakua na upepo mkali ambao utakua unayumbisha risasi zisiende zinakoelekezwa.
Just sixth sense, watu watajitokeza kama kwa Nyerere kwa mioyoni, kwa sababu wataogopa kuonekana.