Mkuu, kuna vitu vingi vimefichika ndani ya hili sakata.Nimeamua kuwa neutral kwanza nione litaishia wapi? Ludovick na Lwakatare ndiyo wanajua ukweli wa hili jambo.Very soon the truth will be revealed.Kwanza najiuliza kwanini CDM inamhangaikia Lwakatare, au anaki-black mail chama? Na Je huyu Lwakatare akiamua ku-confess kuwa ni kweli amekuwa akifanya mambo haya itakuwaje; hatima ya chama itakuwaje? Mungu ampe uzima huyu Lwakatare ili kesi hii isiishie njiani.apewe chakula sahihi na tiba yake ya kisukari ili awe mzima wa afya tujue ukweli wa sakata hili.
Kama kuna watu wanahongwa kofia tuu siku ya uchaguzi na wanasaliti nchi sembuse huyo aliyepewa elf50 kukisaliti chama!!