Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
- Unajua mimi kujadili haya ni sawa na kujadili mambo ya Slaa na mke wa watu, siwezi kwenda that low maana haina faida yoyote wka taifa langu, pole sana bro sitajadili this great thinking zako za mitaani mitaani, hapa ni Great Thinkers tunajadili mustakabali wa taifa!
William.
Mkuu Kama Ishu ya Slaa na Mke wa Watu ndiyo iliyopelekea ( Kwa mujibu wa Greta Thinker wewe) Wamama wajifungulie Chini, watoto wasome chini ya Miti, Watu waishi katika Lindi la Umaskini huku Vigogo na Watoto wao wakikonga Raha katika nchi ya akina Lisa, Vigogo na watoto wao wakisoma na Kutibiwa katika nchi ya akina Lisa basi huna Budi Kuijadili. Lisa anazungumzia mambo ya Msingi ambayo hata sisi kila siku tunalia juu yake, Ubadhirifu uliokithiri wa Viongozi wetu walioamua kujikatia sehemu kubwa ya Keki ya Taifa na Kuitumbua wao pamoja na watoto wao na Vimada wao ( Wengine wanaishi katika Nchi ya Lisa)