Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wadau,
Kuna dada mmoja toka familia ya Rockerffeller amemvamia Rais Kikwete kwenye facebook Yake. amewachamba na wapambe wake kisawasawa. anadai familia yake imetoa michango mingi tanzania na kusaidia NGO's na serikli lakini hawaoni hela zao zilipokwenda. Anawaonywa watanzania kutokumpigia kikwete Kura
Someni hapa We're in last day... | Facebook
Kuna dada mmoja toka familia ya Rockerffeller amemvamia Rais Kikwete kwenye facebook Yake. amewachamba na wapambe wake kisawasawa. anadai familia yake imetoa michango mingi tanzania na kusaidia NGO's na serikli lakini hawaoni hela zao zilipokwenda. Anawaonywa watanzania kutokumpigia kikwete Kura
Someni hapa We're in last day... | Facebook