Lipumba usiwe na ubinafsi kama Lowassa

Lipumba usiwe na ubinafsi kama Lowassa

kwa nini msimchukue Lowassa
maana Dr alishajaribu na hata Lipumba pia
ili kuongeza nguvi mchukueni maana huku CCM tulishamshtukia ni mtu wa Kaskazini

cc Dopa . Stabilaiza
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...owassa-chadema-wawagawa-mbowe-na-dk-slaa.html
Proposal yako ni sawa na kumwambia mtu mzima arudi tumboni mwa mama yake. CDM na UKAWA hawawezi katu kumpokea Lowasaa. Yupo kwenye list of shame ya Dr. Slaa ya Mwembe Yanga. Aende kwa Zitto aka Ayaatollah msaliti ambaye alimtaka tangu awali.
 
Muhimu kumkumbusha Mh Lipumba history ya dini ya mgombea Urais. Nchi haina dini, wagombea wanazo!
 
Mmeshaanza fitna,hamtobaki salama.mwiba uingiliapo ndipo utokeapo.UKAWA wanaxo taratibu ealizojiwekea kumpata mgombea,sasa mnamshambulia lipumba kwani si kafuata kanuni?!why uone Dr ndio anafaa wengine wadione prf ndie anafaa then kura ya kikao iamuwe.halafu hamuwezi kuacha kumtaja zito au bado mnamhitaji?!ukishamuacha mke usiwe na sababu ya kumtajataja,vinginevyo bado utakuwa unampenda.Tunadili kati ya prof na Dr nani kikao kimpe kura ili ccm ilale,lakini kwa hizi statement zinaxoonyesha tunamchukia Fulani hstutafikia lengo.
 
Proposal yako ni sawa na kumwambia mtu mzima arudi tumboni mwa mama yake. CDM na UKAWA hawawezi katu kumpokea Lowasaa. Yupo kwenye list of shame ya Dr. Slaa ya Mwembe Yanga. Aende kwa Zitto aka Ayaatollah msaliti ambaye alimtaka tangu awali.
upo sahihi kabisa
sasa kwanini CDM na UKAWA walishabikia CCM imuingize Lowassa km mgombea URAIS?
huoni walitaka waingie Ikulu kwa kunadi uovu na ufisadi wake
Hushangai leo UKAWA inachanganyikiwa na wao hawamtaki?
Ngoja Mbowe na Mteu watakapomuingiza MuArusha mwenzao
chezea BILLIONI 50 itakayomwagwa?
 
Zanzibar sio kigezo...huko hakuna mbadala
Ubunafsi ni kutaka kuhodhi kila kitu
Hapa suala ni nani rais bora kama ukawa ikipita ..bila ya tochi Lipumba ni candidate bomba kabisa kuliko pombe magufuli.
Slaa azunguke nchi nzima ampigie kampeni ...apite.
Bila ya hivo naiona cuf hio na act na nccr
 
Kwani yeye ndio hataki kujinufaisha kama hao wengine. Tanzania shamba la bibi na ndio maana kila mtu anautaka urais.
 
CUF nao wanataka kuchekesha, yaani wagombee uraisi zanzibar, na huku Bara pia! Kwanza washukuru mbeleko ya Chadema wataongeza viti vya ubunge na madiwani

kwani chadema wangaligombea Zanzibar wangalishinda ??
 
Hoja za lipumba ni nne na muhimu:
1. Hatujaachiwa Zanzibar; CUF kabla ya ukawa ilikuwa na uwezo wa kushinda zanzibar.

2. Majimbo ya bara hatupaswi kupewa china ya 100 hii ni dharau. Cuf tunauwezo na mtaji huku bara wakutosha kugawana angalau sawa na chadema. kutupa chini ya mia ukiunganishwa na kutotoa uraisi ni kurudishwa nyuma.

3. Cuf inamgombea aliyebobea kelimu ya sekula. Dr.Slaa hakubaliki kwa waislam wengi na wanakisasi wanasubiri muda tu wakioneshe dhahiri. Dr.Slaa kasomea elimu ya kanisa tu hakubaliki kwa masheikh .

4. Lazima tujue na kukubaliana kuhusu ilani ambayo tutaitekeleza. hatuwezi kushirikiana bila mipaka halisi.


so Hata kama sio mimi then achaguliwe msomi wa NCCR mageuzi.
 
Unamfananisha LIPUMBA na LOWASSA?
Kama Lipumba ni kichuguu, Lowassa ni mlima Kilimanjaro!
 
Zanzibar sio kigezo...huko hakuna mbadala
Ubunafsi ni kutaka kuhodhi kila kitu
Hapa suala ni nani rais bora kama ukawa ikipita ..bila ya tochi Lipumba ni candidate bomba kabisa kuliko pombe magufuli.
Slaa azunguke nchi nzima ampigie kampeni ...apite.
Bila ya hivo naiona cuf hio na act na nccr

Dr Slaa anauzika zaidi kuliko Lipumba kwa huku Bara,we mwenyewe umekiri hapo kuwa Dr Slaa azunguke nchi nzima ampigie kampeni Prof Lipumba
 
Hatumtaki Padri Slaa tunamtaka Professa wa Uchumi Lipumba kama vipi tugawane mbao nyie bakini kaskazini nasi tubaki maeneo mengine, wabaguzi wakubwa nyie!
 
Back
Top Bottom