minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema:
Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo.
Source: Majira 14 september, 2010.
Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?
Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo.
Source: Majira 14 september, 2010.
Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?