Elections 2010 Lipumba: Mheshimiwa Kikwete Hawezi Taabu!!!

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
65
:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema:






“Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo.”








Source: Majira – 14 september, 2010.








Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?
 
:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema:




"Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo."








Source: Majira – 14 september, 2010.








Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?


Mimi nafikiri hiki kizazi cha magraduate wa miaka 70 and 80 mpaka kitoke ndipo tutaanza kupata matumaini ya maendeleo TZ. Nafikiri kuna kitu walilishwa pale mlimani!!
 
Mimi nafikiri hiki kizazi cha magraduate wa miaka 70 and 80 mpaka kitoke ndipo tutaanza kupata matumaini ya maendeleo TZ. Nafikiri kuna kitu walilishwa pale mlimani!!
wrong!!!!

Hivi Nchimbi ni wa lini? na magufuli ni wa lini?
 
:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema:

"Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo."

Source: Majira – 14 september, 2010.

Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?

Kauli ya mwezi!!!
 
Mimi nafikiri hiki kizazi cha magraduate wa miaka 70 and 80 mpaka kitoke ndipo tutaanza kupata matumaini ya maendeleo TZ. Nafikiri kuna kitu walilishwa pale mlimani!!

Kama umeliona hilo la magradutes wa yrs 70 and 80 UD (UVCCM member) kuwa ni tatizo kwa ustawi wa nchi hii macho yako yameuona ukweli sasa. kwanza hawa jamaa wamebebwa sana, wamesomeshwa bure toka msingi hadi chuo, hadi mikate na tsh 50 za matumizi njiani wakati wa kwenda likizo walikuwa wanaipiwa na serikali ya mwalimu.Kumbe mwalimu hakujua, yeye anawafundisha somo la uzalendo na kuwapa exposure za kwenda nje ya nchi wao wanatamani kila kizuri kiwe chao wao tu. Na walianza kutengeneza mtandao wao toka wapo chuo, wana mtandao wengine wamedandia basi kwa mbele. Na wale waliosoma nao na kuwajua hawa jamaa sio wote wametoswa mfano Jenerali ulimwengu,Maalimu Seif, Marehemu Kolimba, Lipumba nk waulize hawa jamaa watakuambia jamaa walikuwa vilaza tu tena mkubwa mmoja ana PASS ya BA. ECO. Hivyo hawa hawana maajabu yoyote watakayo leta kwa taifa hili zaidi ya maangamizi tu. ila jamaa ni mabingwa wa kuongea pia ni wanafiki wanajifanya ni masikini kama sisi kumbe wanamiliki mahoteli ya kitalii Bagamoyo na Ngorongoro na sehemu nyingine. Usoni ni wapole na waungwana na wanaonekana wanajalishida za wananchi ukiwaambia wazitatue ni wazito balaa. ukiwaambia wasughuliie mafisadi wanarukaruka tu maana jamaa zao wengi ndio mafisadi na ndio wanaosimamia biashara zao. kama wakirudi madarakani kweli mama Tanzania umekwisha
 
HAPO NDIPO UTAJUA MCHAPAKAZI NA MSANII.

mail

mail

mail
mail
mail
mail
mail



TUMIA KURA YAKO KUSAIDIA KUPATA VIONGOZI WACHAPAKAZI NA SI WASANII
 
Mimi nafikiri hiki kizazi cha magraduate wa miaka 70 and 80 mpaka kitoke ndipo tutaanza kupata matumaini ya maendeleo TZ. Nafikiri kuna kitu walilishwa pale mlimani!!

Mama yangu! Unasema nini Mr. Zero? Hao unaowaombea watoke wako afadhali mara alfu kuliko sisi. Tatizo ni kwamba wameshatuharibu wao halafu hatujui kama tulishaharibika na sisi, na wakati huo huo tuna njaa. Nakwambia sisi ndiyo wabovu zaidi kuliko hao unaowatamani watoke!
 
Kama umeliona hilo la magradutes wa yrs 70 and 80 UD (UVCCM member) kuwa ni tatizo kwa ustawi wa nchi hii macho yako yameuona ukweli sasa. kwanza hawa jamaa wamebebwa sana, wamesomeshwa bure toka msingi hadi chuo, hadi mikate na tsh 50 za matumizi njiani wakati wa kwenda likizo walikuwa wanaipiwa na serikali ya mwalimu.Kumbe mwalimu hakujua, yeye anawafundisha somo la uzalendo na kuwapa exposure za kwenda nje ya nchi wao wanatamani kila kizuri kiwe chao wao tu. Na walianza kutengeneza mtandao wao toka wapo chuo, wana mtandao wengine wamedandia basi kwa mbele. Na wale waliosoma nao na kuwajua hawa jamaa sio wote wametoswa mfano Jenerali ulimwengu,Maalimu Seif, Marehemu Kolimba, Lipumba nk waulize hawa jamaa watakuambia jamaa walikuwa vilaza tu tena mkubwa mmoja ana PASS ya BA. ECO. Hivyo hawa hawana maajabu yoyote watakayo leta kwa taifa hili zaidi ya maangamizi tu. ila jamaa ni mabingwa wa kuongea pia ni wanafiki wanajifanya ni masikini kama sisi kumbe wanamiliki mahoteli ya kitalii Bagamoyo na Ngorongoro na sehemu nyingine. Usoni ni wapole na waungwana na wanaonekana wanajalishida za wananchi ukiwaambia wazitatue ni wazito balaa. ukiwaambia wasughuliie mafisadi wanarukaruka tu maana jamaa zao wengi ndio mafisadi na ndio wanaosimamia biashara zao. kama wakirudi madarakani kweli mama Tanzania umekwisha

Hapana, Mr. Zero hajauona ukweli, amepotoka sana. Tatizo letu sisi tunajisifu wakati hata uzalendo uko kwenye midomo zaidi kuliko kwenye matendo. Mimi nawakubali tu wale ambao wako ndani ya political arena tayari kama akina Zitto Kabwe, hawa wengine tusiongee sana, twaweza kuwa tunajua kuchangia kwenye forums tu lakini tukikabidhiwa madaraka inakuwa balaa. Ebu tulitambue hilo kwanza ili kusudi siku tukija kushika madaraka, tuwe na angalau tahadhari ya kwamba "there are chances tunaweza kutokufanya kile kizuri ambacho kila siku tulikuwa tunalalama kuwa tutafanya". Itatusaidia, after all ni tahadhari tu tena siyoweza kutugharimu chochote kwa mda huu. Ahsante!
 
:eyebrows: Prof. Lipumba anatueleza kwamba Jk hawezi taabu pale anaposema:






“Mheshimiwa Kikwete namjua, nimesoma naye, tangu zamani ni mtu asiyeweza tabu [taabu], asiyependa tabu [taabu] kabisa na ndiyo maana mambo magumu yanayohitaji kujitolea hayawezi, mimi serikali yangu kama itamfikiria basi itampa wizara ya Utamaduni na Michezo.”








Source: Majira – 14 september, 2010.








Prof. Lipumba you can't be serious!!! Kwamba Wizara tajwa ni mteremko tu? Wakuu mnasemaje?

Mkuchika uko wapi?.......kesi ya madai hii uvute mshiko....sasa kama hii wizara ni bomu kwa nini tusiifutilie mbali?
 
Back
Top Bottom