Ni profesa wa uchumi wa ngazi ya kimataifa ambaye amesoma na kupata heshima zote kwa juhudi zake bila kusubiri heshima za kuokota na kuzawadiwa kama za yule jamaa aliyeitwa 'dhaifu'.
Anaenda kwenye misiba isiyo na kamera nyingi ambayo baba riz hauwezi kumkuta kwani huwa anahesabu idadi ya kamera kabla ya kwenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.