Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 443
Prof atakuwa Gavana wa benki kuu, CHADEMA ikiwa na dola
Nipe na position ya Jusa plz, yeye atapewa nafasi gani vile?
Prof atakuwa Gavana wa benki kuu, CHADEMA ikiwa na dola
Haki sawa kwa wote
Haki huleta Maendeleo
Haki huleta Amani na Utulivu
CUF chama cha kutetea wanyonge Tanzania, safi sana Lipumba
mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba hivi sasa akimaliza kuwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Tanga waliojitokeza kumsikiliza katika mkutano wa kuwashukuru wakazi wa mji wa tanga kwa kumchagua diwani wa cuf katika kata ya msambweni, ambapo aliwasili jana saa 10 na kupokewa na umati mkubwa wa wakazi wa tanga ambapo alifanya kazi ya kufungua matawi zaidi ya 50 na leo kufanya mkutano mkubwa wa hadhara ambao haujawahi kutokea,
Strategically CUF itasaidia sana kuiangamiza CCM kunako 2015 kwa kuzoa kura Lindi, Mtwara, Pwani na Dar. Huku maeneo yote dume chama dume CDM linatumia nguvu ya umma kuiondoa ccm na thereafter ukarabati wa magereza unaanza kwa ajili ya kuwafunga mafisadi wa ccm.
Haki sawa kwa wote kasoro H.R tih tih tihHaki sawa kwa wote
Haki huleta Maendeleo
Haki huleta Amani na Utulivu
CUF chama cha kutetea wanyonge Tanzania, safi sana Lipumba
Kweli mwenyekiti kushnei, sasa dili zetu zimebakia kwenye UDIWANI wa vichochoro vya pwani, dah!
CUF na CDM watagawana kura mkuu!
kisha ccm itashinda kiulaiiiini kwa kuwa katiba ya sasa ni wengi wape, hata kama akishinda kwa zaidi ya kura 1 ndio mshindi huyo!
CDM itachukua maeneo yenye wakristo na wachaga wengi hasa kaskazini
CDM tukichukua ikulu Lipumba ata kuwa mshauli wa mambo ya uchumi.
Haki sawa kwa wote
Haki huleta Maendeleo
Haki huleta Amani na Utulivu
CUF chama cha kutetea wanyonge Tanzania, safi sana Lipumba
CUF ni chama pekee cha upinzani tangu kuanzishwa kwa vyama vingi kuingia serikalini kwa upande wa Zanzibar kwa mujibu ya katiba ya zenj; tuna madiwani wengi bara kupata chama chochote cha upinzani;
Wenye wivu na chuki watalia sana...na kungoja sana...